Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali

kumusoma

JF-Expert Member
Feb 3, 2014
566
889
"Kwanini wanaenda court ya kimataifa na sio hapa nchini? hiyo ni sheria ambayo hauwezi kupata muwekezaji. Hamna muwekezaji atakuja hapa kuwekeza pesa zake halafu kesho unamwambia aende kisutu, Kisutu ambapo mtu yeyote wa Serikali anaweza kumpigia simu jaji akamwambia huyo usimpe hukumu hiyo, usimpe haki yake"

"Nani atakubali kiuwekeza kama halindwi na Sheria za kimataifa, hawezi kuja mtu hapa. Watakuja watu wachina kuleta vitu vidogo vidogo lakini biashara kubwa zinaangalia pia ulinzi wa mali yao. Na ulinzi wa mali zao lazima uendane na sheria za kimataifa, na sheria za kimataifa zinasema hiyo ndio misingi ya kuwekeza"

"Mimi ningekuwa mwekezaji wa nje, halafu nikija unaniambia niwekeze kwa dola bilioni 1, halafu nikipata matatizo niende kisutu siwezi kuleta hela yangu hapa"

Rostam Aziz
Juni 26, 2023

Kauli iliyotolewa jana na mfanyabiashara Rostam Aziz juuu ya Mahakama za Tanzania ni tusi kubwa sana kwa Viongozi wote wa serikali.

=====

UPDATES;

=====

Rostam Aziz atakiwa kutoa ushahidi au kukanusha habari hii kwa uzito uleule.

Zaidi soma;
 
KAULI iliyotolewa Jana na mfanyabiashara Rostam Aziz juuu ya MAHAKAMA za Tanzania ,ni tusi kubwa sana kwa VIONGOZI wote wa serikali.
Hahahaaaaa hizi Makama ZA KISUTU ambazo kiongozi yeyote wa Serikali anaagiza hukumu iwaje kwa Simu
 
Muhimili wa mahakama ,Rostam Aziz kauacha uchi kabisa,,jaji Mkuu bila kuchukua hatua dhidi ya matamshi haya ni bora ukajiuzulu tu
Inaonyesha kumbe muhimili huu hauko huru na umefanya dhulma nyingi kupitia maelekezo ya simu
 
Huu ndiyo ukweli mtakatifu mahakama haziko huru nchi hii bali ni kitengo cha sheria cha serikali. Rais anaweza kufanya lo lote hata kuinyima fedha za kuendeshea shughuli za mahakama na hakuna atakachofanywa!
Katiba mpya muhimu sana
 
Muhimili wa mahakama ,Rostam Aziz kauacha uchi kabisa,,jaji Mkuu bila kuchukua hatua dhidi ya matamshi haya ni bora ukajiuzulu tu
Inaonyesha kumbe muhimili huu hauko huru na umefanya dhulma nyingi kupitia maelekezo ya simu View attachment 2670607View attachment 2670608
Unauliza majibu ambayo yako wazi. Kila Mtanzania anajua haya na JPM alithibitisha hadharani kuwa Mhimuli wake umejichimbia chini zaidi ya mingine. Whether Rostam mwenyewe ni issue or not alichokisema ndicho hicho ambacho Watanzania wengi wanaamini.
 
Muhimili wa mahakama ,Rostam Aziz kauacha uchi kabisa,,jaji Mkuu bila kuchukua hatua dhidi ya matamshi haya ni bora ukajiuzulu tu
Inaonyesha kumbe muhimili huu hauko huru na umefanya dhulma nyingi kupitia maelekezo ya simu View attachment 2670607View attachment 2670608
Enzi za awamu ya kwanza, mwalimu Julius akiwa rais kuna njemba ilisema serikali ipo mfukoni mwake likapewa masaa lisepe nje ya Tz., lakini leo hii kuna njemba zinasema chochote kuhusu serikali nahazifanywi chochote, maana hizo njemba nahis zinajuwa kula na kipofu.
 
UKIONA mtu makini kama Rostam anajitetea kwenye vyombo vya habari wakati hajatajwa kia ana tuhuma yeyote!!

Bas atakua amekata tamaa au anapambana na asichojua!!

Mungu amsaidie MAISHA marefu!
 
UKIONA mtu makini kama Rostam anajitetea kwenye vyombo vya habari wakati hajatajwa kia ana tuhuma yeyote!!

Bas atakua amekata tamaa au anapambana na asichojua!!

Mungu amsaidie MAISHA marefu!
Ktk suala la Bandari soon watanyosha mikono juu.

Spana ziendelee tafadhali 🙏🙏🙏
 
Muhimili wa mahakama ,Rostam Aziz kauacha uchi kabisa,,jaji Mkuu bila kuchukua hatua dhidi ya matamshi haya ni bora ukajiuzulu tu
Inaonyesha kumbe muhimili huu hauko huru na umefanya dhulma nyingi kupitia maelekezo ya simu View attachment 2670607View attachment 2670608
Wameingia makubaliano yaliyo juu ya KATIBA ya nchi.

Mkataba hautakiwi kuweka chini Katiba ya nchi, yaani Eti tukitaka kupinga ktk mahakama zetu tujibiwe Eti mahakama zetu za juu hazina capacity.

Hatutakubali.
 
Rostam ni mfanyabiashara mkubwa ila kwenye kuzungumza awezi anapuyanga mwanzo mwisho.
asijibizane atoweza, kina Dr.Slaa kuongea ni fani yao ndo maana akiongea lazima pachafuke.,hali ya hewa lazima ivurugike kwa muda.
 
Muhimili wa mahakama ,Rostam Aziz kauacha uchi kabisa,,jaji Mkuu bila kuchukua hatua dhidi ya matamshi haya ni bora ukajiuzulu tu
Inaonyesha kumbe muhimili huu hauko huru na umefanya dhulma nyingi kupitia maelekezo ya simu View attachment 2670607View attachment 2670608
Wakati wa Jiwe wewe Mamluki ulikuwa unashangilia maamuzi ya kijinga ya Mahakama kwa maagizo ya Jiwe , leo unashangaa nini mnafiki mkubwa wewe ?
 
Huu ndiyo ukweli mtakatifu mahakama haziko huru nchi hii bali ni kitengo cha sheria cha serikali. Rais anaweza kufanya lo lote hata kuinyima fedha za kuendeshea shughuli za mahakama na hakuna atakachofanywa!

Kama mahakama zinafuata maelekezo? What else?
Hamna mahakama
 
bado hajaeleweka

Kwahiyo ikishindikana afrika kusini ,wataenda mahakama ya usuluhishi au hapana ,kama ndio Tanzania haipo huko kimikataba
 

"Kwanini wanaenda court ya kimataifa na sio hapa nchini? hiyo ni sheria ambayo hauwezi kupata muwekezaji. Hamna muwekezaji atakuja hapa kuwekeza pesa zake halafu kesho unamwambia aende kisutu, Kisutu ambapo mtu yeyote wa Serikali anaweza kumpigia simu jaji akamwambia huyo usimpe hukumu hiyo, usimpe haki yake"

"Nani atakubali kiuwekeza kama halindwi na Sheria za kimataifa, hawezi kuja mtu hapa. Watakuja watu wachina kuleta vitu vidogo vidogo lakini biashara kubwa zinaangalia pia ulinzi wa mali yao. Na ulinzi wa mali zao lazima uendane na sheria za kimataifa, na sheria za kimataifa zinasema hiyo ndio misingi ya kuwekeza"

"Mimi ningekuwa mwekezaji wa nje, halafu nikija unaniambia niwekeze kwa dola bilioni 1, halafu nikipata matatizo niende kisutu siwezi kuleta hela yangu hapa"

Rostam Aziz
Juni 26, 2023

===
Kauli iliyotolewa jana na mfanyabiashara Rostam Aziz juuu ya Mahakama za Tanzania ni tusi kubwa sana kwa Viongozi wote wa serikali.
Yuko sahihi asilimia kubwa
Biashara za kimataifa husimamiwa.na sheria za kimataifa na mahakama za kimataifa hata wakaguzi wa mahesabu yaani Auditors huwa lazima wawe wa kimataifa sio.local
 

"Kwanini wanaenda court ya kimataifa na sio hapa nchini? hiyo ni sheria ambayo hauwezi kupata muwekezaji. Hamna muwekezaji atakuja hapa kuwekeza pesa zake halafu kesho unamwambia aende kisutu, Kisutu ambapo mtu yeyote wa Serikali anaweza kumpigia simu jaji akamwambia huyo usimpe hukumu hiyo, usimpe haki yake"

"Nani atakubali kiuwekeza kama halindwi na Sheria za kimataifa, hawezi kuja mtu hapa. Watakuja watu wachina kuleta vitu vidogo vidogo lakini biashara kubwa zinaangalia pia ulinzi wa mali yao. Na ulinzi wa mali zao lazima uendane na sheria za kimataifa, na sheria za kimataifa zinasema hiyo ndio misingi ya kuwekeza"

"Mimi ningekuwa mwekezaji wa nje, halafu nikija unaniambia niwekeze kwa dola bilioni 1, halafu nikipata matatizo niende kisutu siwezi kuleta hela yangu hapa"

Rostam Aziz
Juni 26, 2023

===
Kauli iliyotolewa jana na mfanyabiashara Rostam Aziz juuu ya Mahakama za Tanzania ni tusi kubwa sana kwa Viongozi wote wa serikali.
Alichosema ni ukweli mchungu ambao unagusa karibu nchi zote za Afrika isipokuwa nchi chache sana, e.g. South Africa.
Mahakama zetu wenzetu wa Magharibi wanaziita "Kangaroo Courts", kiasi kwamba haziaminiki kabisa.
 
Back
Top Bottom