Rostam Aziz: Slaa ni mpotoshaji

Rostam Aziz: Slaa ni mpotoshaji

Bado kuna mengi sana tutarajie kuyaona na kuyasikia mpaka uchaguzi umalizike hapa tz bana duuuh!!!! Ewee mola tuepushe na balaa hili la kuchafuana.
 
mpaka lowassa kaamua kutumia slaa zote alizozihifadhi mjue mabomu ya slaa yalikua hatari,bado karamagi,ataitisha press conference kummaliza slaa soon
 
Maajabu ya dunia ni magufuli kushangaa twiga kupanda ndege!!
Majabu mengi ni magufuli kuogopa kutamka neno ccm oyeeeee !!

Hahaha...Kweli kabisa hayo ni maajabu mkuu
 
Aisee, na ana watu wa chadema humu wanamuunga mkono dhidi ya Dr.Slaa, shikamoo pesa, to chadema naona wao sasa to helll with our moral principles!!

Nawee kuwaga unafikiri kabla hujapost...
 
hakuna kurudi nyuma tupiganie mabadiliko Hawa wanaoasi historia itakuja kuwahukumu .tusichoke tuipitishe ukawa Na mgombea Wetu mh.Edward lowassa ni safari ndefu lakini tutafika mungu yuko pamoja nasi.
 
Rostam fisadi la unga kila mtu anajua.


Kwa nini kama mnalijua, HAMLIKAMATI MLIPELEKE MAHAKAMANI?

Huu ndio ushetani wa ccm kwa Wananchi. Kutunza wahalifu mkiwa mnawajua, hamuwachukulii hatua halafu mwshi mnarudi kulalamika kama naninyi hamuongozi serikali.

Na hapa ndipo ccm inapojimaliza. Imejiondolea uhalali wa kuongoza nchi kwa sababu sasa haina uwezo wa kusimamia maslahi ya taifa, inaacha uharifu unakomaa huku ikiwa imelaa usingizi huku wananchi wanatseka.

Ccm kufa kwa mateso.
 
Rostam na Lowassa leo wazuri?

Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa leo mbaya?

Hao ndiyo chadomo.
 
Last edited by a moderator:
Maajabu ya dunia ni magufuli kushangaa twiga kupanda ndege!!
Majabu mengi ni magufuli kuogopa kutamka neno ccm oyeeeee !!

sijakuelewa, kwahiyo unamaanisha rostam ni msafi sasa na ni shujaa kwako na kwa chadema!!!!
 
hakuna kurudi nyuma tupiganie mabadiliko Hawa wanaoasi historia itakuja kuwahukumu .tusichoke tuipitishe ukawa Na mgombea Wetu mh.Edward lowassa ni safari ndefu lakini tutafika mungu yuko pamoja nasi.

Nyie ndo mmeasi kufanya kazi na mafisadi papa Lowassa, Rostam, Mengi na vikaragosi Sumaye na Mungai!
 
Back
Top Bottom