ibrahimdeni2
New Member
- Aug 27, 2015
- 2
- 0
Kweli kabisa mzee slaa hana hoja za msingi, maybe alishajiandaa kuwa Rais
Lipelekeni mahakamani.Rostam fisadi la unga kila mtu anajua.
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani
Politics is a game of dynamics.
Aliyekuwa adui yako kisiasa jana, ni obviuosily anaweza kuwa the best friend ever leo!
Examples;
Rostam Aziz v/s CHADEMA/UKAWA
Richard Tambwe Hizza v/s CUF/UKAWA
Edward Ngoyai Lowassa v/s Frederick Tluway Sumaye
Zitto Zubeir Kabwe v/s Dr Wilbroad Peter Slaa
.....Na ipo siku inakuja na yaja upesi sana, Mwigulu Lameck Madelu Nchemba atakuwa rafiki wa Chadema!!
Hivi naye alijivua u ccm?Rostam fisadi la unga kila mtu anajua.
Dr umewachoma wengi ujue...ahsante kwa kukataa unafiki
Ha ha ha. Uchungu kwa Taifa upi jamani? Kama angekuwa na uchungu si angeenda kusaidia wagonjwa badala ya hela kulipia vyombo vya habari na kuanza kukoroma kwa mapovu na hasira!
maajabu ya dunia eti leo bavicha na bawacha wako upande mmoja na ROSTAM aziz!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ipo siku mzimu wa slaa utawatafuna watu.
maajabu ya dunia eti leo bavicha na bawacha wako upande mmoja na ROSTAM aziz!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani
Na kuongeza tu leo wanachadema wote wako nyuma Ya Rostam kumshambulia Slaa,
Rostam fisadi la unga kila mtu anajua.
Sio kwamba yuko na chadema ila kakataa kuambiwa ni mfadhili..uwe unaelewa
Umempa kadi?[/QUOTE
Ukipenda Boga upende na Ua lake. Hao ndo marafiki zake walochangia kununua chama
Kwani kuna anayetenda kosa na kukubali? Hata jambazi aliyekamatwa kwa mauaji na amekutwa na silaha eneo la tukio bado atakataa