Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,922
- 4,716
Duh hao ndio mawazir wa lowasa
Siku hizi mnapenda kuomba uthibitisho. - Naona somo la Lowasa limewakolea kwelikweli. Wote mmegraduate!
2009 List of Shame ni typing error au kasema yeye? Kama kasema yeye basi naye mbumbu tu !!! Alafu iko wazi banah wala hatuitaji kumung'unyaaa maneno kwani yeye si ndie mfadhili wa Lowassa !!! Sasa kuna.ajabu gani hiyo hela ikitumika pia Chadema? Tunajua Rostam banah wewe na Lowassa pete na.kidole akiingia yeye Magogoni we unavuta chupa ya Wine huna wasiwasi nchi utakuwa ushaitia mfukoni
Kufadhili Chadema hajajibu, maana yake ni kweli...
Chadema inafadhiliwa na mafisadi...
Na akiishika ndugu magufuli? Nchi ataiweka kwapani?
Dr. Slaa, amekuwa na kichwa cha Josephine... sio Slaa tena... chezea Wahaya wewe... mzee kapigwa Ka.t.ere_____HAJUI KITU TENA.... haongei tena, kuanza mapenzi ya ukubwani shida sana
Yaani ni hiviii... Ukijitunza kuosha viombo ukubwani lazima uvivunje.
Yaani ni hiviii... Ukijitunza kuosha viombo ukubwani lazima uvivunje.
Kufadhili Chadema hajajibu, maana yake ni kweli...
Chadema inafadhiliwa na mafisadi...
2009 List of Shame ni typing error au kasema yeye? Kama kasema yeye basi naye mbumbu tu…!!! Alafu iko wazi banah wala hatuitaji kumung'unyaaa maneno kwani yeye si ndie mfadhili wa Lowassa…!!! Sasa kuna.ajabu gani hiyo hela ikitumika pia Chadema? Tunajua Rostam banah wewe na Lowassa pete na.kidole akiingia yeye Magogoni we unavuta chupa ya Wine huna wasiwasi nchi utakuwa ushaitia mfukoni
Amtaka Slaa kujitokeza hadharani kuthibitisha kauli zake. Akanusha kuisaidia CHADEMA. Asema Slaa ana historia ya uzushi.
Chanzo: Channel 10
======================