Amtaka Slaa kujitokeza hadharani kuthibitisha kauli zake. Akanusha kuisaidia CHADEMA. Asema Slaa ana historia ya uzushi.
Chanzo: Channel 10
Babu Slaa atoke sasa aje kujibu tuhuma za Mbatia na Rostam maana jana alibwabwaja kuwa hajamaliza silaha zote.
Hakuna lolote wewe na mwenzio hamuitakii mema nchi hii.kenya hawataki hata kuku ona wewe..pumbavu
Amtaka Slaa kujitokeza hadharani kuthibitisha kauli zake. Akanusha kuisaidia CHADEMA. Asema Slaa ana historia ya uzushi.
Chanzo: Channel 10
Amtaka Slaa kujitokeza hadharani kuthibitisha kauli zake. Akanusha kuisaidia CHADEMA. Asema Slaa ana historia ya uzushi.
Chanzo: Channel 10
rostam hajafikishwa katika mahakama tetoteDr slaa hana kashfa kama Rostam Azz wewe!! endeleen kuwapokea na kuwasafisha ila magufuri akiingia ikulu mahakama ya mafisad itawashughulikia..!!!
Hata Rais, IGP, DTISS?Rostam fisadi la unga kila mtu anajua.
Amtaka Slaa kujitokeza hadharani kuthibitisha kauli zake. Akanusha kuisaidia CHADEMA. Asema Slaa ana historia ya uzushi.
Chanzo: Channel 10
MBONA HAENDI MAHAKAMANI KUMSHITAKI MHE. SLAA KAMA KWELI NI MZUSHI????
BILA KWENDA MAHAKAMANI YEYE NDIO MZUSHI NA AMETULETEA SHIDA SANA KWENYE HII NCHI. MUNGU ANAJIBU VILIO VYA WANYONGE WA NCHI HII. Bado kidogo kikombe cha hukumu kitajaa.
Queen Esther
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani