Rostam Aziz: Slaa ni mpotoshaji

Rostam Aziz: Slaa ni mpotoshaji

Amepotea slaaa mtaani wamemdharau sana
 
Aisee, na ana watu wa chadema humu wanamuunga mkono dhidi ya Dr.Slaa, shikamoo pesa, to chadema naona wao sasa to helll with our moral principles!!

kama lumumba fc mnavyomshangilia yule DR.Slaa mliyekuwa mkitukana siku zote humu jamvini. Marahaba Propaganda.
 
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani

Rostam hayuko na chadema yeye amefanya kujibu tuhuma alizopewa na slaa,tofautisha mambo
 
Kweli njaa na urohoo wa madaraka hatari leo watu wapo upande wa Rostam kila mtu anajua Rostam fisadi ila kwa kuwa amekuwa mfadhili wa CHADEMA leo nae kawa malaika kweli nowadays uokovu ni kazi rahisi pesa kweli mwanaharamu

Kama nyie mlivyo nyuma ya Dr. Slaa aliyegeuka kuwa malaika wenu.
 
Dah! yan mwaka huu, lakin je air time ya jana ni kweli amefadhiliwa na ccm au yey mwenyew kwa uchungu alionao kwa taifa?

Najiuliza press conference ilikuwa ya saa moja lkn muda ukaongezwa,nani alikuwa anawasiliana na vyombo vya habari kuextend muda wakati ye alikuwa yupo stejini anaongea? Nani alikuwa anaratibu?
 
Dr slaa hana kashfa kama Rostam Azz wewe!! endeleen kuwapokea na kuwasafisha ila magufuri akiingia ikulu mahakama ya mafisad itawashughulikia..!!!

Naamini kabisa huamini unachoongea
 
Lowasa choma choma usigope choma sisi Watanzania tuko nyuma yakoa na Allah yuko mbele yako. Tutashinda ni saa ya ushindi sasa, ushindi ni saaaasa.
 
Dr slaa hana kashfa kama Rostam Azz wewe!! endeleen kuwapokea na kuwasafisha ila magufuri akiingia ikulu mahakama ya mafisad itawashughulikia..!!!

Safi sana. Aanze na Escrow, kasha za wizarani kwake, kagoda, Meremeta, Tan Gold, Kiwira, Meno ya Tembo mpaka Deep Green kwa uchache tu. Akifanya hivyo atakuwa shujaa wangu, na shujaa wa watanzania.
 
kama ccm ilivyopata mbeleko ya Slaa.
Kwa hiyo CHADEMA imepata mbeleko ya Rostam Aziz.

Kweli mmeamua kuleta mabadiliko! Sikufahamu kama CHADEMA kupata mbeleko ndio mabadiliko yanahohubiriwa na viongozi wa CHADEMA!
 
Back
Top Bottom