Rostam Aziz: Slaa ni mpotoshaji

Rostam Aziz: Slaa ni mpotoshaji

Hah hah hah Rostam sasa anakuwa mtetezi wa mabadiliko!
 
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani

amahakika allah anawaumbua watu.leo watu wanampenda rostam tena wanachama wa cdm.ndiomaana nasema tanzania hakuna fisadi bali cdm waliudanganya umma wa tanzania.
 
Slaa alikua ni risasi moja pekee ndani ya bunduki ya CCM, sasa wamefanya timing vibaya wameshoot bila kupima shabaha wamekosa.
 
maajabu ya dunia eti leo bavicha na bawacha wako upande mmoja na ROSTAM aziz!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Maajabu ya dunia ni magufuli kushangaa twiga kupanda ndege!!
Majabu mengi ni magufuli kuogopa kutamka neno ccm oyeeeee !!
 
Aisee, na ana watu wa chadema humu wanamuunga mkono dhidi ya Dr.Slaa, shikamoo pesa, to chadema naona wao sasa to helll with our moral principles!!

Does the voters cares about moral principals? Maana always tunaona CCM which is rotten to the core inashinda kwa kishindo
 
Nakuomba chonde chonde Mtukufu Rais Mtarajiwa, Mh. Lowasa Edward Ngoyani, endelea kuwachoma hao ma-ccm, kwao umekuwa mwiba mkali. Wewe endelea na kampeni yako mkisaidiana na Sumaye, mpaka kieleweke.
Ninyi ndio mmekuwa ukombozi wa kweli kwa Mtanzania. Kura ni zenu na ushindi ni wenu. Mwaka huu Ikulu ipate mpsngsji mwingine





BRAVO DON ROSTAM AZIZ! Kama kawaida the Kingmaker on move! Kauli yako imetimia SIASA UCHWARA... Leo ukiamua CCM sawa Kesho CDM sawa...... Twanga Kote Kote....... SABODO Yuko wapi?
 
Amtaka Slaa kujitokeza hadharani kuthibitisha kauli zake. Akanusha kuisaidia Chadema. Asema Slaa ana historia ya uzushi.

Chanzo: Channel 10
11986348_1624294394496271_4490263252369599123_n.jpg
 
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani

. Mkuuu hapa nakupa like kwa coment hii umenikumbusha mbali sana kipindi zito tunamshambulia kukisaliti chama tegemeo ya watanzania.....kauli yake mpaka leo ata mimi napenda iniongoze kuwa.."Akili ndogo haiwezekani kamwe kuingoza akili kubwa".Tumeyaona ya mh.mbowe akili ndogo.
 
Nadhani alipokuwa bado Kanisani alikuwa anaota tu joto la wake zetu!!
 
Chadema ya Lowassa ni watu wabaya sana, kweli???
leo mko against Dr.Slaa kwa huyu jamaa??
Huu ni USALITI uliotukuka.

Kama yeye mwenyewe kaanza usaliti wao wafanyaje? Mpende akupendae asiyekupenda achana nae, kwa nini yeye peke yake awe tofauti na viongozi wenzake? What is so special about Dk Slaa to make him different from other leaders? Yes to hell with Slaa
 
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani
mkuu Hapa. Ndipo ccm ilipotufikisha ndo maana tunataka kuing'oa.
 
Dr umewachoma wengi ujue...ahsante kwa kukataa unafiki
By the way, kulingana na kauli aliyokwishaitoa Dr Slaa miezi michache iliyopita ni kwamba: Magufuli anastahili kuwa gerezani kwa tuhuma ya kuuza nyumba za serikali kifisadi . Wakati huo huo wiki hii amesema: Lowasa naye ni mchafu kwenye kashfa ya Richmond, hafai kuwa rais!

Ni bahati mbaya kwamba waandishi wa habari nao walisahau kumuuliza Dr Slaa hili swali: "Sasa kwa maoni yako kura tumpe nani kati ya hao mafisadi wawili? Magufuli au Lowassa?" Sasa Dr Slaa atuache tuchague the lesser evil!
 
Back
Top Bottom