Rostam Aziz: Slaa ni mpotoshaji

Rostam Aziz: Slaa ni mpotoshaji

rostam ni tumaini jipya ndani ya chadema kwa sasa kwa maoni yako????

Hawa Chadema waliobaki sasa ni vituko kabisa! Leo wako bize kumwona Rostam mtaji? Wakati Rostam ndo gamba kuu na CCM walipata taabu kumkalisha pembeni. Leo hii anapewa hifadhi na Chadema? Huyu mbulushi mwenye kashfa nyingi? Ama kweli wafuasi wa Chadema wana limited intellectual ability!
 
Sasa hv Chadema na CCM wanashindana kwa tuhuma

Na huo ndo mziki ulipo!
Wamekazana lowasa fisadi ajabu ni waliopo kwao ni wengi kuliko wanaye mtuhum ila hilo hawalioni!

Eti hatumpi nchi fisadi!
Cha ajabu majimbo yao yote wamewapitisha mafisadi!
Hapo ndo siwaelewi kabisa ccm
 
CCM sasa wana mbinu za kitoto sanaaa na wameishiwa hoja za maana.teh teh teh MSIMAMO WETU NI KUMPIGIA KURA EDWARD LOWASSA.
 
Rostam Kibaka anayevaa suti rudisha familia yako Tanzania kwanza tujue wewe ni mwenzetu mnatumia watu hapa ile hali familia yako inakula bata dubai
 
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani

Mkuu Pohamba wewe pia unapotosha hapa. Kwenye post hii ni nini kimeonesha kuwa Rostam yuko na Chadema? Rostam kamjibu babu yeye kama individual kwa kuwa alitajwa Serena juzi na Slaa, hajaijibia Chadema hapa unless kuna reference nyingine unaituma zaidi ya hii post.
 
CCM mtumieni hela ya ndege Docta wa mihogo Slaa aje kujibu hoja huku
 
MHESHIWA ROSTAM AZIZI BAADA YA KIMYA KINGI; AMEJITOKEZA KWA KUTOA MAONI YAKE KUHUSU RICHMOND; KWA KUMTAJA DR SLAA KUWA MCHONGANISHI ;

ROSTAMA AZIZI AMETAJWA MARA NYINGI NA LOWASA NI WATU WA KUOGOPWA WANAOFILISI NCHI NA NI MAFISADI PAPA

VYOMBO VYA HABRI KUPITIA WAANDISHI WAKE , WAMEAMBIWA NA ROSTAM KUHUSU DR SLAA PRESS CONFERENCE APUUZWE
1. RAI
2.NIPASHE
3.MAJIRA

KAMA INAYOONESHA HAPO KWENYE ATTACHMENT



DSC09941.jpg

DSC09955.jpg
DSC09933.jpg
 
Dr Slaa wala hatakatisha wiki na umaarufu wake utakuwa umeisha kabisa kwenye medani za siasa.
 
Rostam leo ni mzuri kuliko Slaa, sioni dhamira ya dhati toka Ukawa katika kuleta mabadiliko wanayoyaubiri
 
Rostam leo ni mzuri kuliko Slaa, sioni dhamira ya dhati toka Ukawa katika kuleta mabadiliko wanayoyaubiri
 
Miaka yao ote ya uongozi waliwasaidia vipi watanzania mapaka wawasaidie leo? acheni kuwahadaa watanzania
 
Nani kakwambia Rostam yupo chadema acha uwongo,kaa na huyo yuda wako Zitto usitafute kick

Hajasema yupo cdm kasema yupo na cdm, akimaanisha cdm na rostam wanampinga slaa, wakati huohuo slaa anapingana na cdm
 
Back
Top Bottom