Ikwanja
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 2,082
- 583
Ukisoma btn lines, utaona kuwa RA amemsifia JK tu na hakuna mtu yeyote ambaye anamwamini ndani ya chama cha magamba. Hivyo kwa wale wanao shangilia wajiulize, kuwa kuli koni na wajiandae kupata masambuli ya kutoka polini (Bashe). Ukisoma vizuri RA ametoa lawama tuu, hadi akafikia kusema gutter politics. Magamba mna kazi.
Pia nawapongeza CDM kwa kufanya maandamano igunga na kutoa matamko ambayo nayo yamefanya huyu mwizi asalimu amri. kilichobaki ni kukusanya ushahidi na kumpeleka mahakamani.
Pia nawapongeza CDM kwa kufanya maandamano igunga na kutoa matamko ambayo nayo yamefanya huyu mwizi asalimu amri. kilichobaki ni kukusanya ushahidi na kumpeleka mahakamani.