Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Rostam Aziz aachia ngazi CCM

3.JPG

Hivi huyo wa katikati ni Tibaigana au nimemfananisha?
 
Naambiwa bado hajaondoka Igunga na timu yake ya waandishi, nafikiri ni wale wale na tutawajua kwa kuangalia magazeti kesho

Hah! Kesho mtu wa watu kishajinunulia lead story za magazeti yote yatakayotoka
. Nani anabisjha?
 
Natamani JF MOD na akina Invisible waifanyie marekebisho JF! Itoweke hewani hadi kesho jioni

There are currently 1982 users browsing this thread. (345 members and 1637 guests)
 
Kweli Rostum Aziz ni kipenzi cha wengi nimeamini...!
There are currently 1955 users browsing this thread. (343 members and 1612 guests)

mkuu mie naangalia nyoka anavyojichubua gamba lake, sio kwamba napenda nyoka.
 
Na mimi nawapa EXCLUSIVE nyingine...PINKY naye ameachia ngazi kule kwenye kazi yake ya siku zote sasa hivi anamtumikia bwana....

1310465551pinky_churchgal.jpg



1310465552pinky_churchgal1.jpg
 
me nadhani hiyo haitoshi inatakiwa sasa aanze kushughulikiwe kwa kuanza na kufilisi mali zake zote alizowaibia watanzania FISADI mkubwa huyo then other legal injections should be imposed against.!
 
hawa wengine lazima waingie kikaangoni tu jamani the only king maker alikuwa rostam peke yake na ameamua kujiuzulu baada ya taarifa ya wamarekani ya juzi kumtaja kama king maker wa tanzania hali hiyo ikasababisha biashara zake za ulaya kutiliwa mashaka na ndio sababu ya yeye kustep down leo
Kumbuka kwamba ni ROSTAM aliyewauzia Symbion kampuni ya Marekani mradi wa Dowans, katengeneza mapesa ya kutosha kisha kaamua kuachana na wajinga wa Kitanzania!!!. Tujiulize kama WILLIAM Ngeleje alipata mgao kutoka kwa bosi wake ROSTAM, kama alipata na yeye huenda akaachia ngazi. Ngoja tusubiri.
 
Naona hii thread imevunja record hapa jamii.
There are currently 2021 users browsing this thread. (356 members and 1665 guests)
 
"Niliseme hili mapema. Mshangao na mshituko wangu haukusababishwa na kutajwa kwa jina langu, la hasha, bali namna uamuzi halisi wa NEC na hususani dhana nzima ya ‘kujivua gamba' ilivyoweza kupindishwa na wajanja wachache na kisha kuendeshwa kwa maslahi binafsi ya kikundi fulani cha watu.

Pili, nilishangazwa na kushitushwa na
hatua ya viongozi wa chama changu ambacho nimekitumikia kwa bidii na uaminifu mkubwa kufanya juhudi kubwa hata kukivisha kikao kitukufu cha NEC uamuzi ambao msingi wa hoja zake ni vita vya kimakundi ya kisiasa yaliyo ndani ya CCM kwa upande mmoja na propaganda za vyama vya siasa vya upinzani na vyombo vya habari kwa upande mwingine.

Tatu,
nilishangazwa na kushitushwa na ujasiri ambao umekuwa ukioneshwa na baadhi ya viongozi wetu wapya wa Sekretarieti wanaolitaja jina langu na kulihusisha na kile wanachokiita ufisadi ambao hata ukweli wa kimazingira na kihistoria ukiachilia mbali ushahidi wa wazi umeshathibitisha kwamba ni porojo za kisiasa zilizotokana na makovu na matarajio ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na ule ujao wa 2015."

Pamoja na hayo bora umeondoka kwani Watanzania wengi ndivyo walivyokuwa wanataka na tena zaidi ya hapo. But kuondoka huku kumenifanya nione zaidi ya kile kinachoonekana kwa macho, yaan kile kisichoonekana but kinachofanya kinachoonekana kwa macho kionekane. From the mountain top I've seen "ANGUKO KUU"


Kama Kings Maker amesalimu amri kwa shinikizo la UMMA, unategemea hao wafalme wataishia wapi!!? Na hapa ndio ninapokumbuka yale waliyoyasema wanaharakati kuwa hata serikali hii inaweza isimalize kipindi chake, kwan Kings Maker mwenyewe kadumu kwa miezi tisa tu. Hakika tunaweza, tukitaka tunaweza
 
.

Unapenda ushabiki wa kitoto sana, ashitakiwe kwa kosa gani. hivi unafikiri sheria ni kama kucheza bao? si afadhali ukasema ukamgonge na gari afe, au uende kijijini kwenu ukamloge afe, alafu eti mali zake zitaifishwe, wewe utafaidika nanini?
Kama imekugusa sana nenda kanywe nae chai kabla hajawa mfungwa
 
who is the next cash heist kingpin to finance ccm ?


Rz1 or

CCM imemfikisha mbali sana! All his success is thru CCM kwa hiyo hawezi kuacha kuilea CCM,bado he can finance!
DU,ila hili ndo gamba la mwaka kwelikweli!
 
Du afadhali sasa anafuata nani? ila chondechonde LOWASA abaki tu maana kwa ccm ndyo anafaa kwa wakati huu kugombea urais
 
Jaamnia hebu nisaidieni mana nataka jua hasa ni kweli jimbo la ubunge Igunga lililokuwa likikaliwa na bwana rostam Azizi ni kweli ameliachia?
 
Kumbuka kwamba ni ROSTAM aliyewauzia Symbion kampuni ya Marekani mradi wa Dowans, katengeneza mapesa ya kutosha kisha kaamua kuachana na wajinga wa Kitanzania!!!. Tujiulize kama WILLIAM Ngeleje alipata mgao kutoka kwa bosi wake ROSTAM, kama alipata na yeye huenda akaachia ngazi. Ngoja tusubiri.
Ila huyu Rostam Azizi mjanja sana! Na hivi hajarudisha kati yake ya ccm ataendelea kuwatesa!
 
Unataka kujua nini sasa ndugu? si habari imeshawekwa hapa kwamba kaachia kila kitu unataka uthibitisho gani tena?
 

Hah! Kesho mtu wa watu kishajinunulia lead story za magazeti yote yatakayotoka
. Nani anabisjha?

Mkuu Mlenga Shabaha: mie huwa nazimia na signature yako tu! Kwa mada iliyopo ni sahihi kabisa!
 
nakubaliana nawe, Mwanahalisi wanajitahidi sana kutupatia current investigative news zenye maslahi ya umma. Raia mwema nao pia wapo vizuri kwa kuibua maovu mengi yanayofanywa na serikali ya ccm, pia Mwananchi, The citizen na Tanzania Daima. wajitahidi tu kuyaweka mtandaoni mapema iwezekanavyo ili waTZ wengi walio nje wanaopenda kufuatilia mambo ya "nyumbani" wayapate.
 
Back
Top Bottom