Naam, kila mtenda naye hutendewa. Lakini pongezi pia ziende kwa chama cha magwanda ambao kwa kiasi kikubwa kiliwaamsha wananchi kuhusu maovu ya huyo Muirani.
Nimesikia Kubenea anaandaa bonge la party mahali fulani hapa Dar akiwaalika comredi wake katika mapambano, kwa ajili ya kupongezana kwa bonge la kazi iliyofanyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.