Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 242
- Thread starter
- #841
Naam, kila mtenda naye hutendewa. Lakini pongezi pia ziende kwa chama cha magwanda ambao kwa kiasi kikubwa kiliwaamsha wananchi kuhusu maovu ya huyo Muirani.
Ndio unajua leo?Ahahahaha! Siasa za Bongo usanii mtupu
😆😆😆😆😆Hatimaye karudi.shenzi
Baada ya kujivua gamba akawashawishi wananchi wa Igunga walie machozi ya kinafiki eti wamempoteza mtu muhimu sn...Uzi umefufuka!
Teknolojia nyoko aisee.