Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Nachukua fursa hii kukupongeza Rais mpendwa wa wanachi JK kwa kuchukua maamuzi magumu ambayo ni cherekeo kwa watz wakiwemo wana CDM. Juhudi zako za kusafisha chama zimezaa matunda. Tamko ulilitoa Dodoma moezi 3 iliyopita lilpokelewa na WAPINZANI hasa wana CDM kama utani!. Leo hii ni dhahiri kuwa ZOEZI la KUJIPIMA kwa watuhumiwa ndani ya chama ilikuwa ni kauli ya DHATI kutoka mdomoni mwa MWENYEKITI wa CHAMA ambaye ni AMIRI JESHI.
Wenye akili tulijua maneno yako hayakuwa POROJO bali ni KAULI THABITI ya kusafisha cham ambacho ni kimbilio la watz wa makundi yote.
Tumeshuhudia leo MKOA wa Tabora ukirudia HISTORIA ya matukio makubwa nchini, RA akibwaga manyanga!!!!!!. RA alikuwa ni mti mkuu ambao umeshaanguka, twategemea miti midogo EL na AC wakitafakari la kufanya sio kama kuachia ngazi fasta fasta.

CDM mlie tu hamna HOJA tena juu ya CCM kukumbatia UFISADI.

JK twakutakia uongozi mwema ili watanzania wazidi kuneemeka!
ULAGHAI MTUPU RA ni mchezaji wa nje atakayehakikisha EL anakuwa Rais subiri!!!!!!!
Atapambana na NEPI ya Jaa la kaya vizuri akiwa nje ya ulingo.
Kumbuka ameondoka kwa chuki akisema gutter politics ohooo tungoje tu>>>>>>>
 
Crap .we are still waiting for more to go as soon as they can including himself.
 
sikumbuki kushuhudia tread ikiwa na watu wengi kiasi hiki hapo kwenye nyekudu humkosi JKi..
There are currently 1850 users browsing this thread. (322 members and 1528 guests)
 
who is the next cash heist kingpin to finance ccm ?


Rz1 or
 
Congrats Rostam!!! umechukua maamuzi magumu sana. Ila nina wasiwasi na aliyesababisha jina lake kuchafuka kama atapona, vinginevyo aombe Mungu Rostam asifungue mdomo wake maana ile triangle haitenganishwi! RA amekubali kujitoa mhanga ili wengine waendelee kukalia viti vyao. Maana bila EPA wengine wasingekuwa madarakani hakyanani.....!
 
Naomba kujua amejiuzuru vitu gani? ni kwamba amejitoa uanachama na ubunge? au ndo tunadanganywa kua amejiuzulu vyeo ambavyo ni kama Mlezi wa Vijana tarafa ya Nkinga?
Soma hotuba yake utapata majibu yako wazi,kwa nn tunakuwa wavivu kwa kiasi hiki??
 
.


Unapenda ushabiki wa kitoto sana, ashitakiwe kwa kosa gani. hivi unafikiri sheria ni kama kucheza bao? si afadhali ukasema ukamgonge na gari afe, au uende kijijini kwenu ukamloge afe, alafu eti mali zake zitaifishwe, wewe utafaidika nanini?

wewe toa upumbavu wako hapa, kama huyo fisadi amekutuma uje umtee mwambie akafe mbele huko, mwizi na jambaz mkubwa wa kodi za wa tz.
 
Kwa uhakika, nimeaminia JF na CDM, tumewweza. Dr. Slaa, media oyeeeeeeeeeeeeee
 
Acha kushabikia ujinga!!CCM haina dhamira yoyote kupambana na ufisadi.Hilo liko wazi hata kwa mtoto wa 4 years.Mfikisheni basi mahakamani afungwe na kufilisiwa aliyotuibia ndio mfungue midomo.List of shame bado inaendelea kuwala.Jiulize kwanza Dowans ambayo ilisemekana mwenyewe hajulikani imeuzwa kwa Symbion power hivi muuzaji ni nani???Watanzania wake up!this is too much now tutauzwa tena utumwani kwa hali hii.
 
Angejiuzulu na ubunge ingependeza sana lakini mi naona bado ni kiini macho tu
Hivi huwa mnaangalia tu heading hamsomi contents?? Hii ni aibu sana zaidi ya watu 20 wamechangia wakiserma angejiuzulu na ubunge!!
 
Nachukua fursa hii kukupongeza Rais mpendwa wa wanachi JK kwa kuchukua maamuzi magumu ambayo ni cherekeo kwa watz wakiwemo wana CDM. Juhudi zako za kusafisha chama zimezaa matunda. Tamko ulilitoa Dodoma moezi 3 iliyopita lilpokelewa na WAPINZANI hasa wana CDM kama utani!. Leo hii ni dhahiri kuwa ZOEZI la KUJIPIMA kwa watuhumiwa ndani ya chama ilikuwa ni kauli ya DHATI kutoka mdomoni mwa MWENYEKITI wa CHAMA ambaye ni AMIRI JESHI.
Wenye akili tulijua maneno yako hayakuwa POROJO bali ni KAULI THABITI ya kusafisha cham ambacho ni kimbilio la watz wa makundi yote.
Tumeshuhudia leo MKOA wa Tabora ukirudia HISTORIA ya matukio makubwa nchini, RA akibwaga manyanga!!!!!!. RA alikuwa ni mti mkuu ambao umeshaanguka, twategemea miti midogo EL na AC wakitafakari la kufanya sio kama kuachia ngazi fasta fasta.

CDM mlie tu hamna HOJA tena juu ya CCM kukumbatia UFISADI.

JK twakutakia uongozi mwema ili watanzania wazidi kuneemeka!
Waacheni WAFU wawazike WAFU wenzao..............MAANA HATA JAMBAZI AKIFANIKISHA UJAMBAZI BILA KUKAMATWA HUWA ANASIFIWA NA MAJAMBAZI WENZIE
 
Naambiwa bado hajaondoka Igunga na timu yake ya waandishi, nafikiri ni wale wale na tutawajua kwa kuangalia magazeti kesho
 
Kweli Rostum Aziz ni kipenzi cha wengi nimeamini...!

There are currently 1955 users browsing this thread. (343 members and 1612 guests)
 
Mafilili, Umeisoma hotuba ya RA wakati wa kuachia ngazi? Kama hujui sasa ndo kazi ya CDM inakuwa nyepesi. Wame-prove kwamba waliyokuwa wanasema tangu enzi za mwembe yanga ni kweli. Hivyo basi mtakulana pole pole.
 
Watanzania wanajali maendeleo kama hakuna umeme hata ukimfukura nani kwenye chama haisaidii kwani tatizo si kupunguza manemo na si kuleta maendeleo
 
Back
Top Bottom