Romney kushinda uhaguzi??TB Joshua

Romney kushinda uhaguzi??TB Joshua

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,441
niliangalia live broadcasting jana kutoka Emmanuel TV
kama sikusikia vizuri naomba maelezo
Tb Joshua alisema uchaguzi wa USA Obama alifanya makosa kwenye health program,alimshutumu Obama wa kufanya makosa, aliongea kuhusu vita,alidai hatutaki tena vita na kwamba uchaguzi utakuwa na small different,mtazamo wangu uliojengwa juu ya maneno ya Tb Joshuani kwamba Obama anashindwa kama kweli maneno aliyoongea yana ukweli,kama Romney akishinda tutegemee vita?
 
Kelele nyingi za nini imebaki siku moja na nusu yani masaa 36 tu, utapata matokeo ya uhakika :biggrin1:

Kwa kukupoza navyo ona mimi Obama anashinda 😛oa
 
Rosemarie alichokifanya ni kupata msaada wa tafsiri wa kile alichokisikia. Sasa mnaanza kumshambulia badala ya kumpa analysis ya kile aambacho yeye alishindwa kupata ufumbuzi. Nadhani kufanya hivyo sio sahihi, tunakuwa kama nzi anaeshabikia harufu bila kujua imetokea wapi...Tuwe wastaarabu jamani.
 
Kiingereza sio lugha yetu, na wala hatuitumii mara kwa mara. Tutafute clip ya hayo mahubiri ili tuweze ku play na ku rewind hadi tupate ukweli wa alicho ongea TB Joshua
 
Hakika sikusikia ila kama kuna aliyesikia atujuvye.
 
Hayatuhusu, yakwetu yanatushinda, tunaanza kutolea macho ya marekani
 
Alisema wote wapo kinyume na imani yake kwa Yesu Kristo kwahiyo hawezi kusema nani atashinda ila ni ukweli kwamba Rais lazima apatikane na kwamba jambo la muhimu ni kuomba atakayeshinda asibabishe machafuko duniani kwa njia ya vita.
 
Parables!!!!!!!!!! Hata yesu alitumia mafumbo ili wajinga wasing'amue............
 
Mleta mada hueleweki pia wewe ndiyo uliangalia kipindi unataka wachangiaji ndiyo watabiri? Ulipoangalia ni wazi hukuelewa alichosema TB ingekuwa vema wakati yuko live ungepost ili walioko kwenye tv wangekusaidia kilichosemwa.
 
TB Joshua alitabiri kuwa Nigeria kutatokea mvua na mafuriko baadhi ya sehemu na kweli yalitokea sasa kwa hili ngoja tusuburi kua utabiri wake huu utakua kweli au ndoooo ivyo!
 
Back
Top Bottom