Romney kushinda uhaguzi??TB Joshua

Romney kushinda uhaguzi??TB Joshua

Duh uko dip yalishakukuta nn? Kama ni hivyo bac mpambano uendelee...
Kwan akuna wanaotumia jina la yesu kumbe matendo yao ayaendani na wanayosema, na pia hata bible inasema wapo watakaotumia jina langu lakin siyo,
 
wana jf kuna mganga wa kienyeji wa kenya uko kisumu alitabiri ushindi wa obama kwa kutumia tunguri zake na TB joshwa naye ametabiri kuwa romney angeshinda sasa nani wa kuaminiwa ili tuje kumtumia hapa kwetu 2015 maoni yenu wana jf

TB Joshua, hakusema kitu kama hicho nimeshuhudia live kwenye Emmanuel TV, Mwezi wa tano mwaka huu alisema Obama aangalie kwa makini mpango wake wa Obamacare kuwa watautumia katika kampeni na aliomba waumini kumwombea Obama, pia juzi 4-Nov, alirudia alichosema May 2012 na kuongeza kuwa uchaguzi utakuwa na ushindani sana, alisema kimafumbo, katika fumbo lile mtu muelewa ni kwamba alikuwa anasema Obama ndo mshindi, alipoongelea mshindi anatakiwa anayependa amani na kuepusha vita na anayeonyesha kumaliza vita ambazo tayari zipo.
 
Acha kupotosha TB Joshua hajawahi kutabiri Romney atashinda... alichokisema ni kuwa OBAMA sera yake ya afya itamkosti sana na ndicho kilichotokea... Ingia BBC news uone jinsi hiii sera ilivyo mgharimu ikiwa ni pamoja na kupoteza support ya jimbo muhimu sana la INDIANA ambalo mwaka 2008 lilimpa support kubwa sana
 
wana jf kuna mganga wa kienyeji wa kenya uko kisumu alitabiri ushindi wa obama kwa kutumia tunguri zake na TB joshwa naye ametabiri kuwa romney angeshinda sasa nani wa kuaminiwa ili tuje kumtumia hapa kwetu 2015 maoni yenu wana jf

Huyo ndio nani?

Halafu kama unamaanisha ni Temitope Joshua, weka link ya huo unabii wake mkuu maana kila unabii wake huwa unakuwa documented otherwise habari yako haina mashiko...
 
niliangalia live broadcasting jana kutoka Emmanuel TV
kama sikusikia vizuri naomba maelezo
Tb Joshua alisema uchaguzi wa USA Obama alifanya makosa kwenye health program,alimshutumu Obama wa kufanya makosa, aliongea kuhusu vita,alidai hatutaki tena vita na kwamba uchaguzi utakuwa na small different,mtazamo wangu uliojengwa juu ya maneno ya Tb Joshuani kwamba Obama anashindwa kama kweli maneno aliyoongea yana ukweli,kama Romney akishinda tutegemee vita?

Msalimieni huyo Joshua.
 
wana jf kuna mganga wa kienyeji wa kenya uko kisumu alitabiri ushindi wa obama kwa kutumia tunguri zake na tb joshwa naye ametabiri kuwa romney angeshinda sasa nani wa kuaminiwa ili tuje kumtumia hapa kwetu 2015 maoni yenu wana jf

hakutabiri kwamba romney angeshinda, alisema kutakuwa na utofauti kidogo
 
Romney supportes you managed to silence Obama supporters but glad you were finally fried.
 
wana jf kuna mganga wa kienyeji wa kenya uko kisumu alitabiri ushindi wa obama kwa kutumia tunguri zake na TB joshwa naye ametabiri kuwa romney angeshinda sasa nani wa kuaminiwa ili tuje kumtumia hapa kwetu 2015 maoni yenu wana jf

Wewe ndugu hebu acha uongo jamani. TB Joshua hakutabiri Romney wala Obama kushinda. Alisema imani za wote wawili ziko kinyume na imani yake kwahiyo Wamarekani watachagua rais wao wenyewe isipokuwa alisisitiza kuomba rais ajaye awe atakayeleta amani na si vita. Msikilize hapa na uache propaganda za kueneza uongo juu ya watumishi wa MUNGU.

USA ELECTION 2012 FORETOLD BY TB JOSHUA - YouTube
 
Mie nasema acheni kutoa mapovuuuu Mitt Romney anachukua nchi hivi najiandaa kununua bia na vodka hapa kwa kusherehekea.Mitt Romney for America.


....You Were Saying...???!?? :smiling:
 
wana jf kuna mganga wa kienyeji wa kenya uko kisumu alitabiri ushindi wa obama kwa kutumia tunguri zake na TB joshwa naye ametabiri kuwa romney angeshinda sasa nani wa kuaminiwa ili tuje kumtumia hapa kwetu 2015 maoni yenu wana jf

Ilani kwa watoa mada wote hapa JF.
Mkitoa mada muambatanishe na ushahidi. Wekeni link, attachments, n.k.
Sasa kama mtoa mada wewe, uongo wako umedhhirika mchana kweupe !!
Acheni uongo, wekeni mada za kweli.
 
TB Joshua leo ni Obama day. Imekula kwako.
 
Back
Top Bottom