Romney kushinda uhaguzi??TB Joshua

Romney kushinda uhaguzi??TB Joshua

To close to call .obama will have to win 80 percent of white and Romney 35 percent minority .We have to pray for peace
Una maana ya "Too close to call". Naomba kesho usiingie mitini, uwepo hapa mpaka 00:00 Eastern time.
 
Zitto for pesident ohh samahani Obama for America
 
.....Obama will win but not by landslides....!!!!

Romnesia is a totally liar....
 
Ni nini Obama ataweza tekeleza aliyoshindwa miaka tano chini ya masaa ishirini na manne? Hii nikujaribu kufanya raia wa marekani mapimbi. sandy or no sandy Obama alishindwa na kazi

Tusubirie mda si mrefu ukweli utatoklezea
 
Wapi Nyani Ngabu hahahah
President Barack Obama has been re-elected to a second term, defeating Republican challenger Mitt Romney.
 
Last edited by a moderator:
wana jf kuna mganga wa kienyeji wa kenya uko kisumu alitabiri ushindi wa obama kwa kutumia tunguri zake na TB joshwa naye ametabiri kuwa romney angeshinda sasa nani wa kuaminiwa ili tuje kumtumia hapa kwetu 2015 maoni yenu wana jf
 
niliangalia live broadcasting jana kutoka Emmanuel TV
kama sikusikia vizuri naomba maelezo
Tb Joshua alisema uchaguzi wa USA Obama alifanya makosa kwenye health program,alimshutumu Obama wa kufanya makosa, aliongea kuhusu vita,alidai hatutaki tena vita na kwamba uchaguzi utakuwa na small different,mtazamo wangu uliojengwa juu ya maneno ya Tb Joshuani kwamba Obama anashindwa kama kweli maneno aliyoongea yana ukweli,kama Romney akishinda tutegemee vita?

huyu nae hana anachokijua. hii sio land of CCM. Just shut upppppppppppppppppppppppppppppp

406851_3492262685574_1379140517_n.jpg
 
So washindanisha nguvu za Mungu na nguvu za giza???
wana jf kuna mganga wa kienyeji wa kenya uko kisumu alitabiri ushindi wa obama kwa kutumia tunguri zake na TB joshwa naye ametabiri kuwa romney angeshinda sasa nani wa kuaminiwa ili tuje kumtumia hapa kwetu 2015 maoni yenu wana jf
 
So washindanisha nguvu za Mungu na nguvu za giza???

Kwan akuna wanaotumia jina la yesu kumbe matendo yao ayaendani na wanayosema, na pia hata bible inasema wapo watakaotumia jina langu lakin siyo,
 
Back
Top Bottom