Romney kushinda kesho...

Romney kushinda kesho...

Status
Not open for further replies.
ABC: Its all over......Jaluo 275 electoral college votes so far!

Source: Wavuti
 
Nimekubali Kushindwa.............dahhh
Mkuu umechukuwa muda sana.BTW CNN wamesha project kuwa Obama kashinda uchaguzi wa 2012,na party kidogo kisha naenda kulala,poleni sana na mtabiri wako Mwankijiji,nadhani atakuwa dissapointed sana.Sijui hii thread atachangia tena ama vipi?Poleni sana manazi wa wabaguzi(no pun)
 
  • Thanks
Reactions: BAK
 
Last edited by a moderator:
Wapi MM na Ogah, 275EV as we speak, vp tunaendelea?
 
miye bado sijaweka manyanga chini.. kwani hapa Michigan amepewa Obama... lakini kura ndio zinazidi kupigwa ngoja waiondoe ila kama FL inaenda kwa Obama.. well mjaluo anarudi
 
Kama uchaguzi hautakuwa na drama za 2000 baso Mitt Romney atashinda urais jwa kati ya 52% ya electoral votes. Obama hata hivyo anaweza kushinda popular votes. Kwa kufuatilia hizi siasa Romney atashinda VA, WI na OH pamoja na FL nai have strong feelings kuwa atachukua PA.

That's my guess work

Huu si uchaguzi kama wa Afrika ambapo mshindi anajulikana mapema
 
Ukweli husemwa:


MMK, that was zero prediction. No more tea party.

Yes we can part 2
 
miye bado sijaweka manyanga chini.. kwani hapa Michigan amepewa Obama... lakini kura ndio zinazidi kupigwa ngoja waiondoe ila kama FL inaenda kwa Obama.. well mjaluo anarudi
Duh!Michigan tena?Ha ha ha!Duuh!Goodnight anyaways maana naona siyo kwamba sintokuelewa,bali hatuta elewana,btw unatizama fix?Daah!
 
Kama uchaguzi hautakuwa na drama za 2000 baso Mitt Romney atashinda urais jwa kati ya 52% ya electoral votes. Obama hata hivyo anaweza kushinda popular votes. Kwa kufuatilia hizi siasa Romney atashinda VA, WI na OH pamoja na FL nai have strong feelings kuwa atachukua PA.

That's my guess work

Usheikh Yahya hukugraduate.
 
406851_3492262685574_1379140517_n.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom