Romney kushinda kesho...

Romney kushinda kesho...

Status
Not open for further replies.
You're 100@ right Mkuu EMT. BO' is electoral votes total is 309 (including Ohio's 18 EVs)...if we subtract 18 EVs from that 309 EVs BO' is still the winner.

He is only interested in Ohio, not Michigan. Even if Romney does not concede Ohio, Obama will win election with Colorado victory
 
Last edited by a moderator:
Well well well, what more can I say. Congratulations for team Obama!.
 
hivi fikiria wakisema baadaye usiku kuwa "earlier projections" hazikuwa sawasawa wanaiondoa OH kwa Obama au Michigan kwa Obama... it won't be good...

Projection with what degree of confident...it should be 99% and above ..below 95% hutangazi mshindi .

Unaweza fanya hii hesabu...wapiga kura wako 100 mpinzani wako kapata kura 60 na kura hazijamaliza kuhesabiwa utabisha ujashindwa mpaka kura zote zihesabiwe..usijitoe wazimu bana.
Watu na career zao hawa project kama ww ...Obama ni for four more year..nilikwambia subiri ulipo weka hii ramli jana ..huu ndio muda wa ku project kwenye tight race..
 
haya ita majina yote umalize ili ujisikie raha zaidi uso kama mbuzi wa mnada.

ha ha ha....kweli uso wake kama mbuzi..........watu wengine wanapenda ku pick on people hasa je Romney angeshinda? watu wote waliokuwa wanatabiri on this election nao ni watabiri fake, i'm sure walifanya hivyo based on numbers na jinsi election map ilivyokuwa
 
406851_3492262685574_1379140517_n.jpg
 
ha ha ha....kweli uso wake kama mbuzi..........watu wengine wanapenda ku pick on people hasa je Romney angeshinda? watu wote waliokuwa wanatabiri on this election nao ni watabiri fake, i'm sure walifanya hivyo based on numbers na jinsi election map ilivyokuwa

Watabiri wa ukweli ni wale wanao bet. Wakati polls zilisema kuwa Romney angeshinda, walio-bet put their money on Obama. Na ukiona mtu anaweka pesa yake rehani jua amefanya utafiti wa kutosha. Siyo hizi polls za ku-guess.
 
ha ha ha....kweli uso wake kama mbuzi..........watu wengine wanapenda ku pick on people hasa je Romney angeshinda? watu wote waliokuwa wanatabiri on this election nao ni watabiri fake, i'm sure walifanya hivyo based on numbers na jinsi election map ilivyokuwa


ndio watu wasiojua siasa wanafikiri ni uadui wa aina fulani ambapo mtu akishindwa basi ndio akome. Wenzao hapa wanafundisha siasa kama tofauti tu za msingi. Wengine wanazungumza kana kwamba I'm the only person who ever predicted Romney's win. Ni kwamba we got it wrong it is as simple as that.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom