Romney kushinda kesho...

Romney kushinda kesho...

Status
Not open for further replies.
miye bado sijaweka manyanga chini.. kwani hapa Michigan amepewa Obama... lakini kura ndio zinazidi kupigwa ngoja waiondoe ila kama FL inaenda kwa Obama.. well mjaluo anarudi

hadi sasa Obama ana 275 electrol votes dhidi ya 203 za Mitt Romney!

Wafuasi wa Romney wana lia sana!
 
Sasa ngoja tuwasikie maconservatives watakavyomvamia MR kwa vijembe
 
Miye naona jambo la hatari tu.. kimsingi wana mforce Romney to concede...
 
Miye naona jambo la hatari tu.. kimsingi wana mforce Romney to concede...

Mzee huna hata aibu eti PA itaenda kwa Romney?
Haya ule maneno yako, naku-respect lakini hapa umechemsha

406851_3492262685574_1379140517_n.jpg
 
Hongera Obama,nilijua utagaragazwa but umeshinda
 
aisee miye bado nipo... ngoja usiku wa saa tisa muone wenzao wanageuza...
Duh, pole mzee mwenzangu...jana nilikuambia tukutane hapa leo, mwenzio hata sikuwa na wasi wasi! Vitendo vya GOP na Fox News viliamsha mizimu ya DEM toka wakati wa Tea Party! Mimi nina bahati ya kuchanganyikana na watu wa kawaida sana mitaani na kilichojulikana hata kabla ya debate ni kuwa Karl Rove na matajiri wake hawataweza hivi vita. Afrika yes, Marekani no. Hebu fikiria mpaka Gallup poll wakatumbukia ndani!
 
wabongo wengine baana...

hahahahaa. Mkuu naona ulikuwa unapaa na pipa na Romney angani.

Sie tulikuwa on the ground.

Before Obama, ni Rais gani wa Marekani ambaye alishakuwa re-elected wakati hali ya uchumi ukiwa mbaya hivi?
 
Kama uchaguzi hautakuwa na drama za 2000 baso Mitt Romney atashinda urais jwa kati ya 52% ya electoral votes. Obama hata hivyo anaweza kushinda popular votes. Kwa kufuatilia hizi siasa Romney atashinda VA, WI na OH pamoja na FL nai have strong feelings kuwa atachukua PA.

That's my guess work

Mzee sasa vipi; utabiri wako umekwendaje?
 
Duh, pole mzee mwenzangu...jana nilikuambia tukutane hapa leo, mwenzio hata sikuwa na wasi wasi! Vitendo vya GOP na Fox News viliamsha mizimu ya DEM toka wakati wa Tea Party! Mimi nina bahati ya kuchanganyikana na watu wa kawaida sana mitaani na kilichojulikana hata kabla ya debate ni kuwa Karl Rove na matajiri wake hawataweza hivi vita. Afrika yes, Marekani no. Hebu fikiria mpaka Gallup poll wakatumbukia ndani!

unajua kuna uzuri na ubaya vile vile... wamecall election mapema hivi naamini ni strategy.. nikiwa mimi Romney siconcede mapema.. nasubiri with 100% reporting hasa kwenye battleground states.. to me its all interesting... maana kama kweli Romney atapata popular votes then kuna ujumbe mwingine ndani ya ushindi wa Obama.

Guess work yangu iliangalia kama Romney angeweza zile states nilizozitaja ambapo matokeo so far inaonekana hajashinda. Asingeweza kushinda bila kushinda WI, OH, FL au VA... which it seems is exactly what happened.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom