uliishia wapi mkuuKaribia atafika nilipo ishiaga
Hapo bado sana mkuu ila nikipata muda nitaendeleza alipo ishia kwa nilizo nazo ikiwa mwenye post ataridhia.uliishia wapi mkuu
Naamini hakutakuwa na shida kama ukimsaidia kupost wakati mwingine shida ni internet bundlesHapo bado sana mkuu ila nikipata muda nitaendeleza alipo ishia kwa nilizo nazo ikiwa mwenye post ataridhia.
Itakuwa vyema mkuu msaidianeHapo bado sana mkuu ila nikipata muda nitaendeleza alipo ishia kwa nilizo nazo ikiwa mwenye post ataridhia.
Itakuwa jambo jema.Hapo bado sana mkuu ila nikipata muda nitaendeleza alipo ishia kwa nilizo nazo ikiwa mwenye post ataridhia.
Jamaa anahitaji kifurushi cha internet cha TZS 3,000/=Mmmmh jamaa kimyaa! Anatumia voda
Habarini wakuu.
Bando la wiki linaisha leo. Kama anayeweza kujitolea 3000 namba ni 0652 212391. Kama hakuna tutaedelea na Hadithi hadi ila itachelewa kidogo.
Tupia mkuuHapo bado sana mkuu ila nikipata muda nitaendeleza alipo ishia kwa nilizo nazo ikiwa mwenye post ataridhia.
Tuliza munkari jamaa hiyo ni fiction 😂😂😂😂Hawa jamaa wanafanya operation kubwa km hiyo bila kushirikisha ofisi yao ya usalama! Kila siku hawaonekani kazini na bosi hana pressure.