Riwaya: See Me (Nione)

Riwaya: See Me (Nione)

SEE ME

HE IS MY DAD.......
THE LAST CHAPTER*
AGE.................................18+
SEHEMU YA 30/50

"aaaasss! Fuc* me beiby assss ooh yeah". Sauti ya mahaba ikamtoka X baada ya mimi kuzidi kuchochea kitumbua chake bila ya kuchomoa mboo yangu, nilihakikisha nambna vizuri mapajani mwangu ili asiwaze kujitoa nilipiga kitumbua chake kwa kasi na kila kona ambayo ilipaswa kupigwa, nikachomoa mboo yangu na kuipiga piga juu ya mashavu ya kitumbua chake.
" Endelea ally aasss". Akazungumza na kufanya nitabasamu huku jasho la kutosha likitutoka, nikaanza kupikinya kitumbua chake na kidole gumba taratibu na akanibana mkono wangu kwa nguvu hakawa kama anataka kunisukuma, ila nikaongeza kasi ya kupikinya juu ya mashavu yake ya kitumbua na kufanya azidi kupiga kelele.
" Nitombe ally asss ooh yeaa ingiza". Akawa anazungumza kwa tabu huku macho yakimtoka mithili ya mtu alomeza kungu, akaanza kutetemeka na kuhangaika azikupita hata dakika mbili akarusha maji toka kwenye uke wake, nami nikawa naipiga piga makofi ikazidi kutota maji ya kutosha akashika mboo yangu iliyokaza vizuri na kuiingiza kwenye kitumbua chake kidogo,ni kama alikuwa mzoefu lakini sivyo ila utamu ulimnogea, nikaanza kupiga kitumbua chake taratibu na akawa anasikia utamu zaidi kwa jinsi navyofanya kitumbua chake muda wote huo nilikuwa nimemuweka kifo cha mende sikutaka kumchosha kwa staili nyingi, nikaanza kusikia waarabu wanataka kutoka, nikaongeza kasi na kufanya na yeye anibane vizuri, akapitisha mikono yake na kunikumbatia huku akinipapasa mgongo wangu na kunibana vizuri .
" ooh nakupenda ***"
"Ooh "
" asssss ally wewee"
" nakuja beiby ooh allyy nakuja tena asssss ooh"
" ooooh " nikagugumia kwa utamu naopata warabu sasa wakawa washafika kwenye mirija ya kufyatua risasi zangu nikataka kujitoa ila akanibana kwa nguvu na kufanya nifyatue warabu wangu wote ndani ya kitumbua chake huku na yeye akifika mshindo kwa muda huo huo, nikatulia kwa sekunde kadhaa kisha nikataka kujitoa ila akanibana na nikamlalia kifuani nikawa nasikia mapigo yake ya moyo yanavyoenda kasi.
" Mbona unalia". Nikazungumza
" Nakupenda sijategemea hiki kitu ally". Akazungumza kwa sauti nyororo
" tuendelee". Nikazungumza
" mmmh hapana ety kwa leo inatosha". Akazungumza
" kidogo tu"
" mmh utaniua ety" akazungumza na kunishika mgongo wako akaanza kunipapasa nikashtuka kwani nilikuwa na majeraha ya panga aliyonikata yeye mwenyewe miezi iliyopita.
" mgongo wako una nini? " akaniuliza na kujinyanyua shingo kidogo
" Randy". Akaita jina langu halisi na mapigo yangu ya moyo yakaenda mbio kama saa ya mshale iliyopoteza mawasiliano.
*************

Juliana alijua fika binti aliyoolewa na jeradi ni mtoto wake mage ndivyo moyo wake ulivyomtuma miezi iliyopita alimtuma mtu kumfatilia mage nyendo zake zote baada ya kuona simu ya jeradi ikiwa na picha ya msichana ambaye alimfananisha na mtoto wake japo kuwa walipotezana miaka mingi iliyopita ila kuna alama ambazo baba mzazi wa mage alikuwa nazo na aliziona kwa binti huyo, hofu ya kuwa binti huyo ni mtoto wake ikamuingia kilichobaki ni yeye kupata uthibitisho pekee, kwani alikuwa ndani ya nyumba ya mr solo kama mke wa jeradi.
" Anaitwa mage". Akawaza
" anahitaji kulipa kisasi na huakika ni yeye". Akawaza na kabla ajachukua hatua daktari akaja huku uso wake ukiwa na majonzi
" Vipi?" Juliana akauliza
" madam hatupo na mr solo tena". Daktari akazungumza na kufanya juliana kumeza mate alitegemea jambo ilo ila siyo kwa ghafla namna hiyo..
" Amekufa". Akauliza huku ametoa macho
" Ndiyo madam"
" Mage anahusika". Akawaza na kwa haraka akapanda juu kwenye chumba ambacho kalazwa mr solo, akafungua mlango na kumkuta mage akiwa anatizama dirishani, mage akageuka uso kwa uso na kukutana na mama yake mzazi ambaye usiku akuudhulia kwenye swala la yeye kuvikwa pete ya uchumba na jeradi. Akatabasamu na kumtizama mama yake juu mpaka chini huku akitamani kumtafuna.
Juliana akageuka na kufunga mlango wa chumba icho kisha akageuka taratibu na kumtizama mage, huku macho yake yakianza kulengwa na machozi.
" Umenitambua mapema sana". Mage akazungumza na kusogea mpaka alipo mam yake
" Mimi ni mama yako mage". Juliana akazungumza huku machozi yakianza kumtiririka nafsi yake ikaanza kujuta kwa kitu alichokifanya miaka 20 iliyopita akakumbuka yeye ndiye aliyechonga mpango wa mume wake kutekwa.
" Unalia nini Ibilisi wewe". Mage akazungumza
" Nisamehee mwanangu mimi mama yako".
" sina mama kama wewe". Mage akazungumza
" mage nakupenda wewe pekee ndiye faraja kwangu kwa sasa nipo tayari tukaishi mbali". Akazungumza na kuanguka miguuni mwa mage akapiga magoti na kufanya mage kuanza kutokwa na machozi.
" Nimekuja kukuua". Mage akazungumza huku akifuta machozi yake na kufanya mama yake kusimama juu na kumtizama mr solo
" umeua"? . Akazungumza
" Inawezekana". Mage akazungumza
" ma..ge mimi mama yako". Juliana akazungumza na kutaka kumkumbatia mage ila binti yake hakamsukuma na kufanya aanze kulia kwa uchungu baada ya kuanguka kama mzigo.
" Nimekuja kuwaua". Akazungumza na kufungua mlango ila juliana akamuwahi na kumshika pindo lake na nguo,
" Nisamehe mwanangu". Akazungumza na kulia kwa uchungu zaidi.
Sauti ya gari zikiingia ndani ya jengo ilo la kifahari zikafanya juliana asimame na kukimbilia dirishani akaona ugeni wa kutosha pamoja na jeradi mwenyewe kwa haraka akasogelea kitanda alicholazwa mr solo na kuketi kwenye kiti, na sasa yale machozi ndiyo yakahamia kule kwa mr solo, mage akatingisha kichwa kwa masikitiko.
" Mnafiki wewe". Akazungumza na kuondoka akaenda chumbani kwake kuvaa nguo nyengine za heshima zaidi.
******************
" Randy". X akaita jina langu halisi na kufanya nimtizame kwa mshangao
" Nani randy". Nikazungumza na kujitoa kifuani mwake nikanyanyuka huku nikijitahidi kutojulikana.
" Una jeraha mgongoni me na staili yangu ya kumkata mtu hilo ni panga langu"
Akazungumza kwa upole ni kama alikuwa anafikiria kitu.
" Mimi so randy sijuhi unazungumzia kuhusu nini?".
" Hahaaa randy nimegundua ni wewe umefanya plastic surgery usoni mwako". Akazungumza na sasa akanitizama kwa macho makali.
" Umewezaje kuona tena?". X akazungumza na kunyanyuka huku hasira ya wazi ikianza kuonekana usoni mwake.
" umekuja kunitumia, misheni yako ilikuwa kulala na mimi". Akazungumza kwa upole tena huku uso wake ukianza kutokeza mishipa ya damu ni wazi sasa alitaka kunibadirikia
" Ndiyo mimi ni randy". Nikazungumza na kunyanyuka toka kitandani
" Mmenifanyia ukatili ambao sitoweza kusahau katika maisha yangu sasa nipo nahitaji kulipa kisasi lengo langu kubwa lilikuwa ni wewe kwanza, Na nimefanikiwa kwa hilo sasa nafata mke wangu mary na kisha ninyi wote nawamaliza najua uwezi nifanya chochote kwa sasa". Nikazungumza kwa kujihamini huku nikiokota suruali yangu chini
" Hahahh randy ina maana kuna mtu alikusaidia ina maana hukuwa na mapenzi na mimi uwa sipendi mtu muongo lazima nikuue".
" uwezo wangu na hakika bado upo". Akazungumza na kujaribu kupotea ila ikashindika ghafla sote tukashtuka baada ya kuona damu zikimtoka sehemu zake za siri, macho yakanitoka kwa mshangao na kumtizama vizuri.
" ina maana ulikuwa period".? Nikazungumza huku nikikumbuka wazungu wangu walivyopenya kwenye kitumbua chake.
"Oooh shit". Akazungumza na kujitizama huku akinyanyuka toka kitandani na kupepesuka
" Umenipa mimba". Akazungumza na kunitizama
" nilijua wewe ni ally mtu wa kawaida nilijigundua nipo period nilihitaji unipe mtoto nikijua we ni mtu wa kawaida tu, ila wewe ni adui wa black mamba nimefanya kosa kubwa sana kukuhamini". Akazungumza
" Nakuua". Nikazungumza huku moyoni mwangu huruma ya mtoto ambaye kaingia tumboni muda mchache uliopita ikinijia,
" umekuwa dhaifu sasa na sipo tayari kuzaa na wewe". Nikazungumza ila ghafla akaenda chini, nikamtizama na kuona akiwa anafumba macho taratibu, nikamsogelea zaid na kuona mapigo yake ya moyo yanadunda maana alikuwa bado uchi.
" kazimia". Nikazungumza
" nimuue"
Nikawaza ila sikufanya hivyo nikambeba na kumrudisha kitandani nikamfunika shuka,
" Eeeh mungu nini hiki". Nikazungumza kwani na uhakika tayari mimba ilishanasa
"Sipo tayari kuzaa na wewe". Nikawaza na kunyanyuka, x alikuwa dhaifu nguvu zake zote zilionekana kuondoka ule ujasiri wake wote ulitoweka ndiyo maana kazungumza na mimi kawaida sana yaani kama mtu wa kawaida sana.
" huyu mpaka usiku". Nikazungumza kwani itachukua muda kuamka maana mwili wake sasa unaanza upya ule uwezo wake wote unapotea.
" uuuh". Nikatizama saa na kukuta ni saa 8mchana, sasa jioni ilibidi nikakutane na watu wa mr zengo wanikabidhi mary
" watakuja tu hata kama x hatokuwepo uzuri nahisi eneo aliwaambia". Nikazungumza kisha kujiandaa kwenda kwa mr zengo nilipomuacha.
****************

ITAENDELEA......
SEE ME
 
SEE ME

SEHEMU YA 31/50..
THE LAST CHAPTER...
AGE............................18+


**************
Nikampakiza ndani ya buti huku nikiwa nimemfunga kamba kwenye mikono pekee, kisha nikafunga buti ya gari na kuilock na nikaingia ndani ya gari na kuondoka na mr zengo.
" lazima nikuue kosa lako ni kulala na mke wangu". Nikazungumza huku nikitoa gari lile fimbo kuwahi eneo la tukio kabla wahusika kufika, nilikuwa nimejidhatiti vya kutosha kwa ajili ya kupambana na wanaume wenzangu takao wakuta wakati wa mabadirishano, sikuwa na mawazo tena kuhusu X ambaye nimemuacha geust amezimia na nikajua ukifika masaa fulani ataamka.
Nikafika eneo la tukio nikatizama saa na kuona inaelekea saa 2 za usiku, ilikuwa chini ya daraja la kisasa ambalo juu magari yanapita na vyombo vyengine vya usafiri na watu pia, ila chini lilikuwa limetelekezwa nyasi ndefu ziliota na kufanya kuwe pa kutisha ila mwanga wa taa zilizokuwa pembezoni mwa daraja hilo kukafanya walau kuona kila kitu kama kingetokea chini ya daraja hilo, nikapaki gari pembezoni ya nguzo mojawapo iliyoshika daraja lile kisha nikachukua silaha yangu ya moto na kuiweka kiunoni, nikaangaza huko na huko na nikaona taa za gari zikija upande wangu na zikazimwa na nikaona gari mbili nyeusi, nazo zikapaki pembezoni mwa nguzo mojawapo, kama dakika moja hivi milango ikafunguliwa na zikashuka njemba zikiwa na mwanamke aliyefungwa machoni mithili ya mateka huku tumbo lake nikiona likiwa la kawaida, nikawaza mimba imeenda wapi? Au huyo siyo Marry
" Ina maana alitoa mimba ya mke wangu". Nikazungumza huku moyo wangu ukianza kufanya nipate chuki iliyopanda mpaka kifuani kwa haraka nikamtoa kwenye buti na kumfunga mdomo wake kwa kitambaa, nikatoa bastola na kumnyooshea kichwani kisha nikawa na sogea kule walipo nao wakawa wanasogea kunifata kule nilipo mimi, huku nikitamani kumuua mr zengo kwani mawazo yangu nikijua marry atakuwa na tumbo kubwa ila nimeona likiwa flati yani kawaida tu. Tukafika katikati na sote tukasimama
" Jameni mume wangu hii picha mi sielewi jameni unataka kunifanyia drama gani mume wangu unataka kunipa gari au unata kunioa". Sauti ikamtoka huyo mwanamke na kufanya nimtambue zaidi kuwa ni mke wangu marry nikashtuka kwa jinsi anavyozungumza akiwa na furaha moyoni mwake kwani tabasamu lake halikujificha.
" Mume wangu zungumza basi". Marry akazungumza
" nitoe kitambaa mume wangu kipenzi".
Akazungumza tena akijaribu kutoa kitambaa alichofungwa machoni.
" Au jameni kisa umejua nimetoa mimba maana mume wangu ulikuwaga unanambia niitoe, nimewaza sana juzi na nimefanya hivyo nimeitoa kwa ajili yako nakupenda sana mume wangu, yani randy hana nafasi tena nipo tayari kuzaa na wewe". Marry akazungumza na kufanya miguu yangu ianze kuisha nguvu nikajikuta naanza kutokwa na machozi, moyo ukauma kusikia sikuwa na mtoto tena kwenye tumbo la marry mikono ikaanza kunitetemeka, nikamshika mr zengo bega na kuliminya kwa nguvu huku nikiwa na uchungu, mr zengo akanitizama kwa umakini kwa jinsi navyoumia hisia zangu zilionekana wazi, hisia za mapenzi kwa marry mwanamke aliyenibadirisha kila kitu katika maisha yangu, nikajikuta natoa kitambaa nilichomfunga zengo mdomoni mwake.
" Randy". Akatamka hivyo kwa sauti ya chini na kufanya nizidi kuchanganyikiwa akili yangu sasa ikawa katika maumivu ya mapenzi
" si....taki kuhamini weee ni ran...dy".Akazungumza huku akinikagua, akaanza kujaribu kufungua kamba nilizomfunga na akafanikiwa muda wote huo mimi nilikuwa nimeshika silaha huku nimenyoosha kwake yani nilipigwa na ganzi mwili mzima.
" Mwanangu". Mr zengo akazungumza na kufanya sasa nikulupuke toka katika maumivu ya mapenzi na kumkodolea yeye macho
" Umefahamu sina wazazi sindyo unataka unichezee drama". Nikazungumza na sasa sura yangu ikiwa na chuki mpaka kwa marry ambaye alifungua kitambaa na kupigwa na butwaa
" Mbona bastola tena wewe nani unamnyooshea mume wangu". Marry akazungumza kwa ukali, na kufanya mapigo yangu ya moyo yadunde mbio, nikawatizama walinzi ambao muda wote wamesimama tu kujionea filamu hiyo. Nikavuta triga na kumsonteshea nzego ya kichwa nikaona wale walinzi wakimuwahi marry na kumnyooshea ya kichwa huku wengine wakisontesha kwangu.
" nini kinaendelea". Marry akauliza huku akianza kuogopa, moyo wangu ukamchukia marry sasa sikuwa na huruma naye tena kwani nilihisi kafanya usaliti mkubwa wa kumuua mwanangu ni mara kumi angemtoa mr zengo mwenyewe kuliko yeye kwa mikono yake ina maana alikubali kuwa na mr zengo.
Nikampiga risasi ya kifua mr zengo na akashuka chini huku goti lake moja akilisimamisha na jengine kugusa ardhi, wale walinzi wakataka kunishambulia ila akawazuia kwa mkono, na wakabaki wamenyoosha huku wakiwa hawaelewi, nikamuona marry akilia kwa uchungu huku akimtizama mr zengo, nikajua tayari mwanamke huyo alishazama kwenye huba la mzee huyo.
" Piga tena randy"
Mr zengo akazungumza huku machozi yakimtoka, nikamuona marry akitulia na kunitizama kwa kunikagua baada ya kusikia naitwa randy ni kama alikuwa haamini.
" RANDY KILL ME".MR zengo akazungumza kwa sauti huku akipiga piga kifua chake kwa uchungu, sasa nikaanza kupapasa kidevu changu huku mkono mwengine ukiwa kwenye triga na nikiwa nimemnyooshea mzee huyo bunduki, nikapapasa kwa sekunde kadhaa na nikashika ngozi ya bandia ambayo imenatana na ngozi yangu na madaktari walisema nisibandue hivyo kwani nitapata maumivu makali zaidi, lakini sikujali hilo nikashika ile ngozi bandia na kuanza kuitoa kwa nguvu huku maumivu makali na damu kunitoka vikiambatana, nikaitoa yote na kuwaacha wote wamepigwa na bumbuwazi, marry akanitizama na nikamuona akikunja ndita.
" Muueni" mary akazungumza na kumpokonya mlinzi mmoja silaha, akashambulia upande wangu na ikapiga tank ya mafuta ya gari na mafuta yakaanza kuchuruzika na kama akipiga zaidi ya risasi tano basi gari ile ingeripuka, ni dhaili alihitaji kuniua, walinzi wakamuwahi na kuchukua ile silaha,
" SIKUPENDI RANDY MUACHIE MUME WANGU". marry akazungumza
Neno lake likafanya nifyatue risasi nyaengine ya kifua upande wa moyo na mr zengo akashuka chini kama mzigo puu, sasa walinzi wake wakapingana na amri ya bossi wao wakaanza kutupa risasi kuja kwangu, nikaruka kwa haraka na kujibanza nyuma ya nguzo mojawapo ya daraja lile, nikamtizama marry ambaye anakuja kwa mr zengo nikakoki bastola huku nikilenga kichwa chake na machozi mengi kunitoka, sikujua nani alimfundisha mwanamke huyo kutumia silaha ya moto ila nikafahamu ni nyamela aliyekaa naye miezi yote kipindi mimi sipo.
" Randy! Randy! Stop". Sauti kubwa ikasikika sauti ya mwanamume tena mzee nilikuwa nikiijua sauti hiyo ilitoka kule zilipo gari za wale jamaa nikatizama na kuona gari nyengine ya tatu ambayo sikujua imefika saa ngapi, nikamuona don john akiwa ameambatan na mwanamke mtu mzima aliyejifunga kanga ya kimaskini.
" Acheni". Don john akazungumza na wale walinzi
" Huwezi tupa amri don john kwa sasa tunafata amri ya madam na wewe ni adui yetu". Wakamnyooshea bastola
"Randy Mr zengo ni baba yako".
MWanamke yule akazungumza na kufanaya nipigwe na bumbuwazi na kutizama pale chini alipolala mr zengo nikamuona yupo hatua za mwisho za uhai wake, huku marry akiwa amesimama baada ya kusikia maneno yale, wale walinzi nao silaha zao wakashusha taratibu na kutizama kule mwili wa zengo ulipo, mwanamke yule alikuwa chini akilia kwa uchungu
" Najua upo nyuma ya nguzo randy umeua baba yako". Akazungumza na kufanya taratibu nianze kutoka
" Mimi ni mama yako randy, nilikuwa mfanyakazi wa mr zengo miaka mingi iliyopita mzee huyu alinibaka na nikakimbia nilipojua mimi mjamzito nilitoroka kwenye nyumba yake maana mke wake alitaka kuniua". Akazungumza kwa uchungu huku akilia na alikuwa amemshika mr zengo suti yake maeneo ya kifuani, bastola niliyoishika sasa ikaanguka chini nikaanza kupiga hatua kuelekea kule alipo mr zengo na yule mwanamke huku nikiwa na asilimia chache za kuhamini maneno yale.
" Mimi mama yako randy chukua ata damu ya mr zengo sasa hivi kapime ni wewe mtupu". Akazungumza na kujaribu kumuamsha mzee huyo ambaye tayari alikuwa amekwisha kufa, nikamuona marry akirudi kinyume nyume huku akionekana kuchanganyikiwa akili yake kwa muda huo iliwaza kuwa amelala na baba na mtoto, nikafika mpaka pale machozi yakaanza kushuka kama bomba la maji,
" Don john anajua kila kitu". Nikazungumza ghafla mlio helikopta ukasikika nikatizama nakuona pembezoni mwa daraja sehemu yenye mkubwa kukiwa na helikopta ikilanda landa, mwanga mkali ukatupiga wote tukaonekana na mlio wa risasi ukasikika, risasi ikampiga yule mwanamke aliyekuwa chini akilia kwa uchungu na kusema yeye ni mama yangu risasi ikatua ya kichwa na kumwaga ubongo wake chini, nikakoswa na mimi risasi baada ya don john kunilukia na ikapita na kupiga gari yangu, tukaanza kushambuliwa na watu wale nisiyowafahamu.
" HELIKOPTA YA JESHI". don john akazungumza huku akiwa amejibanza nyuma ya nguzo.
" FOCUS kuokoa maisha yako randy". Akazungumza huku akijaribu kunikomboa fikra zangu zilizozama kwenye dimbwi zito la mawazo, nikachungulia kumtizama yule mwanamke aliyesema ni mama yangu alikuwa kwenye nyakati zake za mwisho za kukata roho, nikanyanyuka na kutaka kwenda kumfata hisia zangu zilinambia ni mama yangu mzazi na pia aliyelala chali ni baba yangu mzazi.
" Una uhusiano wowote na jeshi ". Don john akaniuliza na kufanya nisite kwenda kule.
" WAZIRI MKUU". nikazungumza



ITAENDELEA
SEE ME
 
SEE ME

SEHEMU YA 32/50
AGE.........................18+
(THE LAST CHAPTER)

" RUN". don john akazungumza baada ya mwanga mkali kutumulika sehemu tuliyokuwepo, risasi zikaanza kutufata nyuma, mripuko mkubwa ukasikika nikageuka nyuma na kushuhudia gari yangu ikisambaratika kwa moto na kuteketea vipande vipande.
" Marry". Nikazungumza na kutizama kule moto unapowaka, roho ya huruma ikaniingia, nikaanza kurudi kule huku nikiwa makini helikopta isinimulike na taa zake kubwa zinazozunguka huku na kule, sikuona kitu zaidi ya kuona zile gari za wale walinzi wa mr zengo zikiteketea kwa moto, nikatizama na kuona miili ya wazazi wangu nayo ikiteketea kwa moto,
Ghafla kitu kizito kikanipiga kichwani nikajikuta nashuka chini na macho yangu kutizama ukungu huku kwa mbali nikimuona don john akiwa ananibiruza kwa kunishika mkono, nikafumba macho na giza zito kutanda machoni mwangu.....

*********
" Nchini Tanzania sasa kumekumbwa na balaa zito la siasa, hii ni baada ya nchi kupinduliwa na jeshi pamoja na waziri mkuu, kwa sasa nchi imechafuka hakuna amani tena na shughuli zote za kijamii zimesimama kwa muda maana jeshi kwa sasa lipo kila kona,". Sauti ya mtangazaji wa BBC maarufu ikapenya masikioni mwangu ikafanya nifumbue macho taratibu na kutizama paa la nyumba niliyopo sikufahamu ni wapi,? Nikatizama pembeni na kuona Tv ya kichogo ikirusha video za machafuko yanayoendelea tanzania jambo lilonifanya nizidi kuchanganyikiwa zaidi.
" Kwa sasa jeshi limegwanyika vipande wanaomuunga mkono raisi na wachache sana". Mchambuzi toka kenya akazungumza nilimjua baada ya kusikia lafudhi yake pia jina lake ONYANGO KANDURU
Nikajaribu kunyanyuka ila nikashtuka baada ya kuona dripu likiwa limefungwa kwenye mkono wangu, nikajaribu kuvuta kumbukumbu na nikafanikiwa kukumbuka kila kitu kinachonihusu, majonzi yakaanza upya tena baada ya kukumbuka kila kitu, nikatoa mrija wa dripu na kutaka kunyanyuka ndani ya chumba icho chenye vitu vya kawaida,mlango ukafunguliwa akaingia mwanamke mrembo ambaye siyo mara ya kwanza namuona.
"X".Nikazungumza na kujinyanyua ila akaniwahi na kunizuia
" Kwanini utoe dripu na wewe". Akazungumza na kunitizama kwa upole, inaonekana roho yake yote ya kikatili ilimtoka.
" hapa wapi?". Nikamuuliza
"Relax kwanza ". Akazungumza na kuzima tv
"Mmh don john yuko wapi? ". Nikamuuliza huku nikianza kuona mambo tofauti kwani nyumba ni kama ilikuwa ina nesa nesa yani kama boya linaloelea, nikasogelea dirisha lenye pazia nikafungua na kushtuka baada ya kuona maji ya bahari kutokana na muonekana wake nikakimbia upande wa pilinwa dirisha jengine nikafunua napo nikashtuka kwani ilikuwa vile vile, nikageuka na kumtizama X aliyetulia kitandani, nikafungua mlango na kutoka sasa nikakutana na chumba chengine ambacho hakikupakwa rangi za ukuta kama kile, nilichotoka icho kilikuwa na mbao ambazo hazikutiwa rangi nikatoka mpaka juu na sasa nikapata uhakika kuwa hiyo ni bahari, na hiyo ilikuwa ni boat na tulikuwa katikati ya bahari yaani sehemu ambayo huoni nchi kavu, ni kiumbe pekee cha kutisha ambacho ni MAJI.
" NA MBONA HAISOGEI". nikazungumza na kwa haraka nikarudi kwa X
" Nipe ufafanuzi". Nikazungumza kwa sauti nzito na kusimama mlangoni
" Don john ametusaidia sote wawili maana jeshi linatutafuta kama wauaji wa viongozi waliopita, mimi nilimuua rais miaka iliyopita wewe pia mr solo na zengo na wengine, pia wanasema tulishirikiana na rais aliyepo madarakni kufanya mauaji hayo kwakua katiba ya nchi yetu haimshtaki Rais kwa chochote ipo upande wake, kumlinda ndipo wameamua kupindua nchi waziri mkuu na mkuu majeshi, kwa sasa tanzania imechafuka watu wanavutana".
" Uuh kwani hii safari ni ya lini?"
" Umelala hapo siku 3, kwanza ulikuwa hauna maji mwilini pili tulikupiga sindano nusu kaputi maana usingekubali kuondoka tanzania". Akazungumza
" Tunaenda wapi ? "
" Nimefatilia ile rada ya muongozo tunapoenda ndipo nilipo elekezwa na Don john"
" wapi sasa?"
" SOMALIA". Akazungumza na kufanya niume meno kwa hasira kwani huko ndiyo hatari zaidi.
" Ina maana siku 3 tupo njiani,"
" ndiyo?"
" mawasiliano? Yapo"
" hapana mume wangu". Akazungumza na kufanya nikumbuke kuwa tayari ana mimba yangu
" mbona Tv inasoma vizuri"
" hiyo ni rekodi tu uwa natizama nikichoka maana boti tupo wawili tu".
"Nani atatupokea na tumewezaje kuvuga vizingiti vya mpakani jeshi la maji".
" Randy mengine sifahamu yani utajua tu mdogo mdogo". Akafoka na kunyanyuka
" sasa nijibu"
" AL SHAABAB WANAKUJA". akazungumza
" OOH shit bora niliwe na papa wale jamaa nawajua, miaka iliyopita nilimuua Kiongozi wao SAIDY MOHAMED JABER"
X akatoa macho kwa mshangao na kunitizama.
" Ina maana katuuza!". Akazungumza na kufungua pazia kwa haraka, tukapigwa na butwaa baada ya kuona boti nyingi ndogo zikija na watu waliofunika nyuso zao huku kukiwa na bendera zao katika mikono yao, huku wengine wakiwa na bunduki kubwa za kivita

" TUMEKWISHA"

SEE ME
ITAENDELEA..........
 
SEE ME

AGE..........................................18+
SEHEMU YA 33/50
(THE LAST CHAPTER).
*********************

"TUMEKWISHA". Nikazungumza baada ya mimi kufungua dirisha jengine na kujionea buti zaidi ya nne zikiwa na watu wawili wawili wenye silaha za kivita, na bendera yao ya wanamgambo wa AL SHAABAB.
" Kwanini ulimuamini Don john". Nikazungumza huku hofu ikiniandama, nikamtizama X nakumuona akiwa dhaifu hakuwa X yule ambaye alikuwa akipotea na kutokuonekana kabisa machoni mwa watu, alikuwa X mpya kabisa tena mjamzito.
Akatoka kitandani na kuinama chini ya uvungu akatoa sanduku refu na kulifungua akatoa jambia lake na kufanya nitamani kumtukana.
" Mikono juu". Nikazungumza baada ya kuona miale mekundu ya taa ikitumulika mwilini mwetu, akaacha ile silaha chini na aknyoosha mikono juu, tukatoka wenyewe mpaka juu ya boat na jamaa wale wakaanza kushangilia walipotuona, baadhi yao wakapanda ndani ya boat yetu na kutufata tulipo huku wakiwa na mitutu ya bunduki kubwa za kivita hazikuwa na usajili wowote ile kuwa inatoka taifa gani, ila nilizitambua bunduki zile siyo za jeshi la somalia, nikawatizama wana mgambo wale wa AL SHAABAB ambao lengo lao kuu ni kutaka kupindua serikali ya somalia na kuunda serikali mpya na nguvu zao mpaka silaha walikuwa wanatoa toka kwa kundi kubwa la kihalifu AL QAIDA, walitaka kupindua serikali yao inayohaminika kuungwa mkono na mataifa ya magharibi pamoja na umoja wa mataifa, walikuwa ni vijana wenye itikadi kali katika jeshi lao la kihalifu nchini humo.
Wakanisogelea na kunitizama kitako cha bunduki kikatua kichogoni mwangu na kufanya macho yangu kuona giza zito, nisipate fahamu nini kinaendelea....

*************
Sauti za milio ya risasi ikafanya nifumbue macho, nikaona kundi kubwa la watoto wadogo wakipiga risasi ovyo ukutani huku wakishangilia kwa kuongea kiarabu ambacho sikukielewa, nikatizama na kugundua nipo katikati ya uwanja mkubwa wa mazoezi na nipo ndani ya ngome yenye kuta ndefu iliyojaa silaha za kivita pamoja na maneno mengi yalichorwa ukutani, yalikuwa maneno ya kiarabu ambayo sikuelewa yana maana gani, ulinzi mkali wa ngome hiyo ukafanya nimeze mate kwani ukuta wake huwezi upanda bila ngazi na pia kwa juu uliwekwa nyavu za chuma ( seng'enge).
Pia ndani ya ngome hiyo kulijaa nyumba ndogo ndogo zilizojengwa kwa tofali imara, nyumba hizo huenda zilikuwa za askari kupumzika au familia zao.
" nikaona jengo kubwa ambalo lilionekana hapo ndipo kiongozi wao na serikali yao yote iko hapo.
Ghafla kitambaa kikubwa kikatelemshwa ukutani yani kikakunjuliwa kule kwenye lile jengo kubwa kitambaa kile kilikuwa na picha kubwa ya mwanamume mweupe mwenye ndevu za kutosha kwenye kidevu chake huku juu ya kichwa chake akiwa amejifunga kilemba cheusi, nikameza mate baada ya kumtambua kuwa ni mtu niliyemuua miaka 6 iliyopita.
Sauti ikatoka kwenye kipaza sauti na kufanya kutoelewa chochote kwani walizungumza kiarabu,ghafla kundi la watu wanne likaja na farasi toka lango kuu la jengo lile kubwa, walikuwa na silaha za jadi, kila mmoja alikuwa na panga mkononi mwake, wakawa wanakuja kule nilipo taratibu na farasi zao, kile kitambaa kikapandishwa juu na kikashushwa kengine,ambacho kilikuwa na picha ya mtoto wa rais wa umoja wa mataifa, alikuwa ni mwanamziki mkubwa duniani na alipendwa na watu wengi kutokana na nyimbo zake, pia alikuwa ni binti mrembo wa kuvutia kila mwanamume na mpenzi wake inavyosadikika alikuwa ni rais wa marekani, jambo ambalo binti huyo amekuwa akilikana.
" Unashangaa".? Wale jamaa wenye farasi mmoja wapo akazungumza kwa kiswahili tena fasaha, kidogo nikapata haueni
" Mnataka nini?". Nikapata ujasiri wa kuuliza
" tulia bro umesahau una mke wako humu ndani". Akazungumza na kufanya nimkumbuke X mwenye mimba yangu pia moyo wangu ulikwishaanza kumpenda mwanamke huyo.
" sio mke wangu". Nikazungumza
" ile mimba tuitoe". Akazungumza na kufanya nitingishe kichwa kwa kukataa kuwa asiitoe kwani sikuhitaji mtoto wangu mwengine kupotea.
nikaona wanatizama nyuma yangu na wakashuka wote kwenye farasi zao, nikageuka nyuma kuona wanatizama nini? Nikaona wanaume wawili wakiwa wamemuweka mtu kati huku wakiwa wamemfunga kamba mikononi mwake, na uso wake wameufunika na gunia zito jeusi, huku mwili wake ukiwa na boksa pekee, na alionekana amechoka kwa mateso kwani mwili wake ulionekana dhaifu. Wakatufikia tulipo na kumsukuma mtu yule chini, ambaye akadondokea miguuni mwangu.
"Maji". Akazungumza kwa tabu huku akijaribu kujitoa gunia usoni mwake.
" Una mfahamu ndugu yako?". Jamaa yule akazungumza na kufanya nimtizame kwa mshangao.
" Hahaha una shangaa Ina maana mama yako akukuambia mlizaliwa mapacha". Jamaa huyo akazungumza na kufanya nishtuke na kuona ni mchezo huenda ananichezea.
" Don john ina maana hakukuambia ukwel?".
" sijuhi unazungumza kuhusu nini?" Nikazungumza na kumtizma mtu huyo aliyechini, ni kama gunia lake lilionyesha ila sisi ndiyo hatukuweza kumuona uso wake yani ni kama vile vioo ambavyo wa ndani anakuona wa nje ila wa nje hakuoni wewe wa ndani, jamaa yule akashika mguu yangu kwa nguvu na kuanza kulia kwa uchungu, inaonekana alinijua
" unataka kunichezea game"?
" Hahah ina maana Don john ajakuleza kila kitu mr zengo alimpatia mama yako grace watoto mapacha".
" Mmh". Nikaguna huku nikitamani ardhi ipasuke inimeze.
" huyo anakujua vizuri tu anajua wewe ni kaka yake mtu gani yupo radhi, apigwe risasi ili wewe upone". Akazungumza na kufanya nishtuke na kukumbuka tukio la miezi mingi iliyopita la mtu aliyenisaidia afu sikumfahamu
" Alikufa na haiwezi kuwa ivyo sura yake haifanani na mimi kabisa hii ni drama". Nikawaza
" Randy!". Mtu yule akazungumza na akaanza kulia kwa uchungu huku akishika miguu yangu kwa shida kutokana kamba aliyofungwa mikononi.
Jamaa mmoja wapo akamvuta lile gunia na nikapigwa na bumbuwazi baada ya kuona sura ya marehemu wa siku nyingi.
" AMI...DU"....



SEE ME
ITAENDELEAA.......
 
SEE ME

AGE..........................................18+
SEHEMU YA 33/50
(THE LAST CHAPTER).
*********************

"TUMEKWISHA". Nikazungumza baada ya mimi kufungua dirisha jengine na kujionea buti zaidi ya nne zikiwa na watu wawili wawili wenye silaha za kivita, na bendera yao ya wanamgambo wa AL SHAABAB.
" Kwanini ulimuamini Don john". Nikazungumza huku hofu ikiniandama, nikamtizama X nakumuona akiwa dhaifu hakuwa X yule ambaye alikuwa akipotea na kutokuonekana kabisa machoni mwa watu, alikuwa X mpya kabisa tena mjamzito.
Akatoka kitandani na kuinama chini ya uvungu akatoa sanduku refu na kulifungua akatoa jambia lake na kufanya nitamani kumtukana.
" Mikono juu". Nikazungumza baada ya kuona miale mekundu ya taa ikitumulika mwilini mwetu, akaacha ile silaha chini na aknyoosha mikono juu, tukatoka wenyewe mpaka juu ya boat na jamaa wale wakaanza kushangilia walipotuona, baadhi yao wakapanda ndani ya boat yetu na kutufata tulipo huku wakiwa na mitutu ya bunduki kubwa za kivita hazikuwa na usajili wowote ile kuwa inatoka taifa gani, ila nilizitambua bunduki zile siyo za jeshi la somalia, nikawatizama wana mgambo wale wa AL SHAABAB ambao lengo lao kuu ni kutaka kupindua serikali ya somalia na kuunda serikali mpya na nguvu zao mpaka silaha walikuwa wanatoa toka kwa kundi kubwa la kihalifu AL QAIDA, walitaka kupindua serikali yao inayohaminika kuungwa mkono na mataifa ya magharibi pamoja na umoja wa mataifa, walikuwa ni vijana wenye itikadi kali katika jeshi lao la kihalifu nchini humo.
Wakanisogelea na kunitizama kitako cha bunduki kikatua kichogoni mwangu na kufanya macho yangu kuona giza zito, nisipate fahamu nini kinaendelea....

*************
Sauti za milio ya risasi ikafanya nifumbue macho, nikaona kundi kubwa la watoto wadogo wakipiga risasi ovyo ukutani huku wakishangilia kwa kuongea kiarabu ambacho sikukielewa, nikatizama na kugundua nipo katikati ya uwanja mkubwa wa mazoezi na nipo ndani ya ngome yenye kuta ndefu iliyojaa silaha za kivita pamoja na maneno mengi yalichorwa ukutani, yalikuwa maneno ya kiarabu ambayo sikuelewa yana maana gani, ulinzi mkali wa ngome hiyo ukafanya nimeze mate kwani ukuta wake huwezi upanda bila ngazi na pia kwa juu uliwekwa nyavu za chuma ( seng'enge).
Pia ndani ya ngome hiyo kulijaa nyumba ndogo ndogo zilizojengwa kwa tofali imara, nyumba hizo huenda zilikuwa za askari kupumzika au familia zao.
" nikaona jengo kubwa ambalo lilionekana hapo ndipo kiongozi wao na serikali yao yote iko hapo.
Ghafla kitambaa kikubwa kikatelemshwa ukutani yani kikakunjuliwa kule kwenye lile jengo kubwa kitambaa kile kilikuwa na picha kubwa ya mwanamume mweupe mwenye ndevu za kutosha kwenye kidevu chake huku juu ya kichwa chake akiwa amejifunga kilemba cheusi, nikameza mate baada ya kumtambua kuwa ni mtu niliyemuua miaka 6 iliyopita.
Sauti ikatoka kwenye kipaza sauti na kufanya kutoelewa chochote kwani walizungumza kiarabu,ghafla kundi la watu wanne likaja na farasi toka lango kuu la jengo lile kubwa, walikuwa na silaha za jadi, kila mmoja alikuwa na panga mkononi mwake, wakawa wanakuja kule nilipo taratibu na farasi zao, kile kitambaa kikapandishwa juu na kikashushwa kengine,ambacho kilikuwa na picha ya mtoto wa rais wa umoja wa mataifa, alikuwa ni mwanamziki mkubwa duniani na alipendwa na watu wengi kutokana na nyimbo zake, pia alikuwa ni binti mrembo wa kuvutia kila mwanamume na mpenzi wake inavyosadikika alikuwa ni rais wa marekani, jambo ambalo binti huyo amekuwa akilikana.
" Unashangaa".? Wale jamaa wenye farasi mmoja wapo akazungumza kwa kiswahili tena fasaha, kidogo nikapata haueni
" Mnataka nini?". Nikapata ujasiri wa kuuliza
" tulia bro umesahau una mke wako humu ndani". Akazungumza na kufanya nimkumbuke X mwenye mimba yangu pia moyo wangu ulikwishaanza kumpenda mwanamke huyo.
" sio mke wangu". Nikazungumza
" ile mimba tuitoe". Akazungumza na kufanya nitingishe kichwa kwa kukataa kuwa asiitoe kwani sikuhitaji mtoto wangu mwengine kupotea.
nikaona wanatizama nyuma yangu na wakashuka wote kwenye farasi zao, nikageuka nyuma kuona wanatizama nini? Nikaona wanaume wawili wakiwa wamemuweka mtu kati huku wakiwa wamemfunga kamba mikononi mwake, na uso wake wameufunika na gunia zito jeusi, huku mwili wake ukiwa na boksa pekee, na alionekana amechoka kwa mateso kwani mwili wake ulionekana dhaifu. Wakatufikia tulipo na kumsukuma mtu yule chini, ambaye akadondokea miguuni mwangu.
"Maji". Akazungumza kwa tabu huku akijaribu kujitoa gunia usoni mwake.
" Una mfahamu ndugu yako?". Jamaa yule akazungumza na kufanya nimtizame kwa mshangao.
" Hahaha una shangaa Ina maana mama yako akukuambia mlizaliwa mapacha". Jamaa huyo akazungumza na kufanya nishtuke na kuona ni mchezo huenda ananichezea.
" Don john ina maana hakukuambia ukwel?".
" sijuhi unazungumza kuhusu nini?" Nikazungumza na kumtizma mtu huyo aliyechini, ni kama gunia lake lilionyesha ila sisi ndiyo hatukuweza kumuona uso wake yani ni kama vile vioo ambavyo wa ndani anakuona wa nje ila wa nje hakuoni wewe wa ndani, jamaa yule akashika mguu yangu kwa nguvu na kuanza kulia kwa uchungu, inaonekana alinijua
" unataka kunichezea game"?
" Hahah ina maana Don john ajakuleza kila kitu mr zengo alimpatia mama yako grace watoto mapacha".
" Mmh". Nikaguna huku nikitamani ardhi ipasuke inimeze.
" huyo anakujua vizuri tu anajua wewe ni kaka yake mtu gani yupo radhi, apigwe risasi ili wewe upone". Akazungumza na kufanya nishtuke na kukumbuka tukio la miezi mingi iliyopita la mtu aliyenisaidia afu sikumfahamu
" Alikufa na haiwezi kuwa ivyo sura yake haifanani na mimi kabisa hii ni drama". Nikawaza
" Randy!". Mtu yule akazungumza na akaanza kulia kwa uchungu huku akishika miguu yangu kwa shida kutokana kamba aliyofungwa mikononi.
Jamaa mmoja wapo akamvuta lile gunia na nikapigwa na bumbuwazi baada ya kuona sura ya marehemu wa siku nyingi.
" AMI...DU"....



SEE ME
ITAENDELEAA.......
 
SEE ME
SEHEMU YA 34/50
AGE............................................18+
(THE LAST CHAPTER)
*****************************

" AMI.....DU!!". Nikamuita mtu yule aliyekuwa chini yangu alikuwa ni amidu kijana aliyekufa Tanga baada ya kupigwa risasi ya moyo iweje awe hai, wakati nilishuhudia mpaka alipokata roho na anakuwaje pacha wangu.
" Alizuia risasi iliyotaka kukupiga wewe, mtu wa kawaida hawezi fanya hivyo kama unaona siyo ndugu yako basi tumuue". Jamaa yule akazungumza na kunitizama kisha akanisogelea mpaka kwenye sikio langu la kushoto na kusogeza mdomo wake
" Don john anajua kila kitu kuhusu ninyi ". Akazungumza.
" Ndugu pekee uliyebakiza ni huyu". Akazungumza
" Inawezekanaje". Nikawaza huku chuki dhidi ya don john ikijengeka kichwani mwangu, nilitambua mzee yule aliyenisimamia mpaka nakuwa hivi anajua kila kitu changu, nilitamani nijue kila kitu kuhusu mimi.
" Randy Don john ni mbaya kwetu, nilimsikia akizungumza na mtu kwenye simu kuhusu wewe na alisema wewe ni mtoto wa mr zengo nilitaka kujua ukweli wote kuhusu wewe nilijikuta nataka kugundua chimbuko la familia yako nami nikajikuta ni pacha wako". Amidu akazungumza
" Don john anafahamu ukweli wote kuhusu sisi". Akazungumza na machozi yakaanza kunitoka imani ikanituma huyo ni ndugu yangu wa pekee aliyabakia duniani pacha wangu tusiyefanana sura, zaidi ya urefu pekee nikainama na kumnyanyua pale chini nikamkumbatia kwa nguvu huku nikitaja jina la don john.
" mfungue". Jamaa yule akazungumza na kwa haraka nikamfungua zile kudu na alizofungwa na akanikumbatia kwa nguvu huku akilia kwa uchungu, nami nikamkumbatia huku maisha yangu nikiona ni kama mchezo wa drama naenda huku mara huku.
" Nikiwa hai DON JOHN utanijibu maswali yote". Nikawaza
" Twende ukaonane na mkuu". Jamaa yule akazungumza na akapanda kwenye farasi kisha mtu mmoja wapo akaja na mfuko mweusi na kunivika kichwani, huku mawazo yakiniandama kuwa ilikuwaje amidu akapona? nani alimsaidia? Na huku kafikaje?
Sikuwa na majibu ya maswali hayo ambayo don john lazima angejua kila kitu kuhusu mimi na amidu ambaye asilimia chache alifanana na yule mwanamke aliyepigwa risasi ambaye alijitambulisha ni mama yangu mzazi.
" Uuuh". Nikavuta pumzi na kuitoa huku uso wangu ukiwa ndani ya gunia ambalo sikuona chochote, nikahisi nashikwa na mtu mkono na akaanza kuniongoza kwenda kule kwenye lile jengo kwa mawazo yangu nilihisi ndiyo huko napoenda.

Nikatolewa ule mfuko na macho yangu yakakutana na mwanamume mtu mzima umri miaka kama 60 kichwa chake kilikuwa na kipara na alijaa ndevu za kutosha mithili ya msanii rick ross, alikuwa katika vazi la kanzu na alikuwa amesimama mbele yangu tunatizamana katika chumba ambacho kilijaa ramani za mataifa mbalimbali ndani ya afrika akakaeti kwenye kiti na mimi pia wale jamaa wakaniketisha kwenye kiti.
" Randy". Akaita jina langu na nikatambua kuwa hawa jamaa wananijua kiundani zaidi maana hata yule mwingine kanielezea kila kitu kunihusu, ambapo bado nipo njia panda.
" Eeh". Nikaitika huku nikiwa mnyonge zaidi
" Karibu Somalia". Akazungumza kwa kiswahili fasaha
" Asante"
Akafunua karatasi mbili zilizokuwa mezani moja akanisogezea upande wangu nyengine akabaki nayo zilionekana ni picha za watu, nikaishika na kuitizama nikamuona yule binti niliyeonyeshwa nje dakika zilizopita ni yule msichana wa rais wa umoja wa mataifa, nikameza mate huku nikijua kuna kazi napewa kutetea familia yangu iliyobaki hapa.
" TYLAT msanii maarufu kwa sasa dunia na kila mtu anamfahamu ata mtoto mdogo anayetambaa". Akazungumza kwa msisitizo kisha akasogeza picha ya pili nayo nikaishika na kuitizama kwa umakini nikatoa macho na kumtizama mzee huyo.
Akatabasamu baada ya kuona ushangao wangu akakohoa na kujifuta na kitambaa mdomo wake na kisha akanitizama kwa macho makali.
" Tushakutafutia Visa na paspot bandia za kuingia kila taifa tutakalo kutuma kwenda, safari yako itaanza kesho kutwa hasubuhi kwenda South afrika, utapokelewa na watu watakao kupa huduma zote muhimu, kuhusu hiyo kazi utapumzika siku mbili na kazi yako itaanza pale ambapo Tylat atakapokuja afrika ya kusini kutoka ujerumani, kazi ni moja tu kumteka, maana tumesumbuka miaka mingi kumtia mikononi mwetu ukisha fanya hiyo kazi ndugu yako atakuwa salama sisi uwa tunatimiza ahadi zetu". Akazungumza
" uuh". Nikashusha pumzi
" maelekezo mengine utapata huko huko mpaka silaha na ukifanikiwa kumteka utaenda naye mpaka nchini NAIJERIA utapokelewa na wana mgambo wa kundi la Boko haramu maana sisi tupo dunia nzima mpaka kwenu tanzania". Akazungumza na kutabasamu
" Utamuacha hapo, na kazi ya pili ni hiyo picha ambayo ni maisha ya wake zako". Akazungumza na kupiga mluzi mmoja tu, na mlango ulokuwa pembeni yetu ukafunguliwa wakaingia wanawake wawili wakiwa wameshikwa mikono na majemba yenye miili mikubwa, nikajikuta nasimama baada ya kuwaona mmoja alikuwa ni X mwenye mtoto tumboni na mwengine alikuwa ni Mage ambaye tumbo lake lilikuwa kubwa, na nilipata uhakika mimba ile ni yangu na siyo ya jeradi, waliponiona wote nyuso zao zikaanza tokwa na machozi nikatamani X awe yule wa zamani wa kutoweka kama upepo.
" Mmoja atabaki, mmoja ataongozana na wewe". Akazungumza na mapigo ya moyo yakaenda kasi kusikia kauli ile kwa sasa nilihitaji kuwa na familia na familia yangu ndiyo hiyo iliyobaki sikutaka kuwapoteza hata kidogo
" Mage kafikaje huku?". Nikawaza huku nikiwatizama wote wawili
Nikaketi chini taratibu na kumtizama mzee yule kwa macho makali
" Unataka nifanye nini?". Nikazungumza
" Anaitwa OSAMA BIN LADEN marekani na OBAMA ilidanganya dunia kuwa walimuua, osama hajafa kazi yako ni moja tu". Akazungumza na kunikazia macho wakati muda huo mimi nikiwa nimepigwa na bumbuwazi kwani ile picha niliitizama mwanzoni na nilihisi kumtambua mtu huyo ila nilishindwa kutokana ni zamani sana alitoweka kwenye uso wa dunia sasa nilipata majibu kuwa alikuwa ni OSAMA BIN LADEN kiongozi wa kundi hatari la AL QAIDA.
" Yupo ameshikiliwa katika gereza kubwa lililopo kisiwani na lenye ulinzi mkubwa, kwanini ashikiliwe? Kuna kitu gani anacho? Majibu ya hayo maswali utayapata baada ya kumaliza kazi A hiyo kazi B ni moja tu Kamuue hili asiendelee kushirikiana na marekani,". Akazungumza na kufanya nitabasamu kwani ni kazi ngumu mno
" hahaha ". Nikacheka kama kichaa na kumtizama
" kazi zote hakikisha haufi yani fanya ufanyavo usife uwe hai maisha ya wake zako yatakuwa salama ukifa familia yako yote imekufa". Akazungumza na kufanya ninyamaze.
" Utaenda na huyo mwenye mimba changa, nimesikia habari zake toka kwa don john kuwa ni hatari zaidi ya moto, kama akijaribu kutoroka aua mtoroke atakufa, mwilini mwake tumemuwekea cheap ndogo ambayo ikitolewa anakufa yani mpaka sisi tuizime na akikimbia tutajua na kumuua". Akazungumza na nikamuona X akitoa macho kwa mshangao.
" Osama muue akikisha unakuwa na ushahidi wake tuone kafa kweli ili sisi tuzidi kupewa nguvu na kundi lake la zamani". Akazungumza na kunikazia macho.
" Don john nitakuua". Nikazungumza kimoyo moyo huku zile picha nikizibinya binya na zikaharibika.

*******************
SEE ME
ITAENDELEA............
 
SEE ME
SEHEMU YA 35/50
AGE.........................................................18+
( THE LAST CHAPTER)

Mzee yule baada ya kunipa maelezo yake akaondoka huku akiwa amenipa dakika tano pekee za kuzungumza na mage pamoja X tukiwa peke yetu, tukabaki tumetizamana.
" uko ha!" Mage akazungumza na kunitizama huku akiwa kama haamini nikatingisha kichwa kuwa niko hai, wakatizamana na X kisha wote kunisogelea kwa wakati huo hakuna aliyekuwa na wivu na mwenzie kwakua tulikuwa sehemu ngumu zaidi ambayo hata wivu wa kimapenzi usingeweza fanya kazi kwa muda huo.
" Sielewi yani imekuwaje nimefika huku". Mage akazungumza na nikahisi uenda watu hao wamenifatilia toka muda mrefu na huenda walimteka mage ili nifanye kazi yao kwa urahisi zaidi.
Mage akamtizama X kisha akanikumbatia huku machozi yakimtoka.
" Hii ni mimba yako Randy". Akazungumza na nilikwisha fahamu ilo swala toka nilipomuona, nilijua tu mimba ni yangu
" Nafahamu"
" Umewezaje wakati nilikuwa na mahusiano na mtu mwengine"?
" akili tu imenituma hivyo".
" Imekuwaje upo hai nilisikia umekufa".
"Kwa sasa hayo mambo siyo ya muhimu mage"
" unahisi hizo kazi utarudi ukiwa hai". Akazungumza na kuanza kuangua kilio, Nikambembeleza kwa kugusa gusa mgongo wake, akajitoa na X akanisogelea na kubaki amesimama huku akinitumbulia macho, hakunikumbatia zaidi ya kunishika mkono wangu huku uso wake ukiwa na huzuni kama alivyo mage nikamvuta na kumkubatia na kumuita mage kwa ishara naye akaja na wote watatu tukakumbatiana nikapata maumivu makali moyoni mwangu maumivu ambayo niliyipata nilipojua zengo ni baba yangu mzazi, maumivu niliyoyapata baada ya kumuua mzee huyo na kushuhudia akifa mbele ya macho yangu, sasa yakaongezeka zaidi baada ya kukumbuka mama yangu aliyepigwa risasi na ndege ya jeshi ambayo kwa asilimia mia iliagizwa na waziri mkuu, na alijuaje niko pale nikazidi kuchanganyikiwa baada ya kumkumbuka marry ambaye mpaka sasa sijuhi yuko hai au amekufa, niliumia moyo wangu kwa usaliti alioufanya kwa kumuua mwanangu tumboni, chuki ikajaa zaidi kila nimkumbukapo DON JOHN.
X bila ya aibu akaniwahi mdomoni na kuninyonya denda ambalo mimi ndiye niliyemfundisha nikampa sapoti huku nikiwa nimefumba macho, akajitoa na Mage naye akafanya hivyo hivyo kisha wakakumbatiana na X moyo wangu ukafarijika baada ya kuwatizama wawili hao.
" kuwa salam randy na mke mwenzangu". Mage akazungumza kwa unyonge
" Usijali Niite diana". X akazungumza na kujitoa kifuani mwa mage kisha wakashikana mikono.
" Mage". Akamtajia jina na mlango ukafunguliwa wakaingia jamaa wawili na kumchukua mage ambaye alikuwa anapiga kelele wamuachie.
"Nakupenda mume wangu nakupenda nakupenda randy nakupenda aa". Akazungumza huku akitolewa nikajikuta nakunja ngumi kwa hasira huku machozi yakinimwagika, sikuwa na la kufanya zaidi ya kutulia huku nikijaribu kutuliza hasira zangu, nilihisi mungu hayupo upande wangu hakuwa msaada wangu tena nilihisi amenitupa na kunitelekeza, amenipa laana nije kuishi duniani kwa mateso, nikamkumbatia X huku machozi yakinitoka uzao wangu wote upo katika matatizo hakuna aliyesalama kwanzia ndugu yangu amidu, mpaka wapenzi wangu wote wawili nilitamani ardhi ifunguke na kunimeza nikapumzike kwa amani lakini isingewezekana.
" Njooni". Tukamuona mtu aliyetuita na tukatizamana na X kisha kumfata mtu huyo ambaye alikuwa mbele yetu, nilitamani kufanya chochote lakini nisingeweza kufanikiwa.

**********************
" oooh yeah nyonya beiby oooh assss". Sauti iliyojaa hisia kali za mahaba ikamtoka mwanamume huyo ambaye alikuwa mtupu kitandani, alikuwa akinyonywa sehemu zake za siri na mwanamke hukum mara kadhaa akinyonya kengele za mwanamume huyo akiziingiza zote mdomoni na kuzinyonya kama ananyonya pipi kubwa ya kijiti.
" naku.....penda sana asee ooh". Akazidi kugugumia kwa utamu anaoupata akahisi raha ya ajabu kwa jinsi anavyonyonywa makende yake.
" Don nipe sasa". Mwanamke aliyekuwa anafanya hayo mambo akazungumza na kuacha uboo wa john na sasa akashika shika kitumbua chake, na kwenda kukalia uboo wa don john na ukazama wote ndani ya kitumbua chake, akafumba macho kwa utamu anaouopata, akaanza kukatikia mashine ya don john kwa ufundi anaoujua yeye.
" Sihamini kama kesho RAIS anakuteua kuwa makamu wake". Mwanamke huyo akazungumza huku akinyonya lipsi zake na akiwa amefumba macho.
" oooh yeah".
" Mr zengo kakutesa sana". Mwanamke huyo akazungumza huku akiongeza kasi ya kujipiga kwenye uboo wa don john.
" ooh ongez...a ooh". Don john akagugumia kwa raha na kuanza kuitandika ikulu ya mwanamke yule, akamkamata kwa nguvu naa kuongeza kasi mpaka waarabu weupe kumtoka na akatulia tuli, huku yule mwanamke akijilaza kifuani. Na mboo ikiwa bado kwenye kitumbua chake.
" Lazima aniteue maana nilimsaidia kumuonyesha eneo ambalo ndege zake wote wapo". Don john akazungumza huku akikumbuka siko aliyotaka kutoroka nchini ila akasita moyo wake ukamuambia mr zengo ana mkono mrefu kila kona akachukua maamuzi ya kumsaliti mzee huyo akapanga mipango,na kumuuza mr zengo alihisi kuchoka kumtumikia mzee huyo, alihitaji sasa kuwa mkubwa kama yeye pia akakumbuka jinsi alivyokuwa anampenda grace mama yake na randy, sasa aliona ni bora naye awe mkubwa alikubali kuuza uzao wote wa randy kwa waziri mkuu na makubaliano yao ni yeye kumuapisha kuwa makamu wake na siyo kwamba hawakufahamiana walifahamiana maana zamani wote walikuwa wanajeshi wa taifa hili...
" Sitaki kuwa chini ya mtu tena". Akazungumza huku akishika shika makalio ya mke wake na kuyapiga piga makofi yalikuwa malaini kama unga wa ngano..
" Sihamini kama unaenda kuwa mtu mkubwa ndani ya taifa hili".
" ndiyo hivyo mke wangu kila jambo mungu anapanga". Akazungumza huku akiendelea kushika shika makalio ya mke wake.
" Watoto wangu sasa watarudi tanzania kwa amani ngoja nchi itulie kwanza"
" kweli mume wangu nimewamiss sana tu". Mke wake akazungumza na kujitoa kwenye uboo wa mume wake uliokuwa tayari ushalala.
" Yule kijana wako una uhakika Al shaabab watamuua".
" ndiyo sikutaka kumuua kwa mikono yangu maana nilikuwa nampenda sana mama yake nadhani nilikwambiaga kabla".
" ndiyo nakumbuka sna tu ila ulinitesa sana kipindi kile"
" Hahahha nilikuwa nampenda sna yule mwanamke mara ya mwisho kumpenda vile mwanamke ni mama wa watoto wangu".
" oooh ko mimi hunipendi sindiyo don". Mwanamke akabwatuka
" Nakupenda ila nasema kwa zamani"
" mmmh nina wasi wasi na wewe kuhusu mimi". Akazungumza kwa upole
" nakupenda sana mke wangu niamini mimi sawa"
" Watoto wako kumbuka yule wa kiume anavyonichukia".
" Usijali kila kitu nitatimiza kwako".
" kweli ?"
" ndiyo sina mawazo kabisa pesa nilozopokea toka somalia ni nyingi mno". Don john akazungumza na kujinyanyua kitandani
" nimelelewa na wale jamaa ujue kabla sijawa mwanajeshi wa tanzania".
" mmmh wewe yani mambo yako ya siro sana"
" Nitakueleza ukweli nikiapishwa mimi ni nani? Na Tanzania nini kimenileta". Akazungumza huku akitabasamu na kumfanya mwanamke huyo kushangaa.
" Siri zangu unajua nyingi sana." Don john akazungumza
" mmh siyo zote bana". Mwanamke huyo akazungumza
" Unataka kunijua mimi ni nani?".
" mmmh jameni".
Don john akazungumza na kuinama chini ya kitanda chake akashika shika na kutoa kisu kikubwa kama cha jeshi.
" hiki kisu kina historia kubwa na mimi".
" mmh achana na hayo basi unanitisha".
" Nilimuua Mke wangu nilipogundua ananisaliti". Don john akazungumza na kufanya mwanamke yule aanze kupatwa na presha uwoga ukamuingia ghafla akanyanyuka kitandani na kuketi huku akivaa taulo jeupe.
" Napogundua mtu ananisaliti uwa na muua hapo hapo,". Don john akazungumza na kufanya mwanamke yule kumtizama don john kwa wasi wasi
" Mbona unaniogopa?"
" Unahisi nakisaliti". Akazungumza kwa uwoga
" 2PAC ni nani?".

SEE ME
THE LAST CHAPTER
ITAENDELEAAAA........... ( WIKI HII NAMALIZA HUU UZI)
 
SEE ME
SEHEMU YA 36/50

" 2pac ni nani?". Don john akamuuliza yule mwanamke na kufanya uso wa yule mwanamke kupigwa na butwaa huku uwoga ukimuingia zaidi akilini mwake,mwili wake ukaanza kutetemeka baada ya don john kutaja jina hilo, ni kweli alikuwa akimsaliti kwa mwanamume mmoja aliyejiita 2pac jina la msanii maarufu zaidi duniani.
" Do...n" Akazungumza na kuanguka chini na kupiga magoti huku akikumbata mikono yake kuomba msamaha.
" Nataka kumfahamu sitokufanya kitu". Don john akazungumza kwa upole na kurudisha kisu uvunguni kisha kumsogelea mwanamke yule pale chini na kumshika mashavu yake.
" Ni mtu wa..ngu wa zaman......i". Akazungumza huku akifumba macho yake alikuwa tayari anaona kifo kipo mbele yake lakini sivyo don john alimpenda sana huyo mwanamke na 2pac alimjua toka zamani sana.
" Una miezi 6 unanicheat". Akazungumza na kufanya mwanamke huyo azidi kuogopa kwani ni kweli anafanyaga hivyo.
" Nisamehe mume w..angu". Akazungumza na kulia zaidi
" Sikupi nini au kisa kitandani sikukojoleshi". Don john akazungumza na kumbana shingo mwanamke yule kwa nguvu, ambaye alianza kutapatapa kwa kukosa pumzi.
" Mboo yangu ndogo". Akazungumza huku akiendelea kuibana shingo ya msichana huyo
" Mpigie simu aje". Don john akazungumza na kumuachia shingo na mwanamke yule akaanza kutafuta pumzi ya mungu ya bure ambayo alikuwa anaenda kuikosa akapumua kwa tabu huku akishika shingo yake kwa maumivu anayoyasikia,hakuwahi muona don john katika hali kama hiyo toka amjue miaka minne iliyopita tangu alipoanza naye mahusiano.
" Mpigie simu aje". Akafoka na mwanamke yule akachukua simu huku akitetemeka.
" Weka loudspeaker". Don john akazungumza baada ya kusikia simu inaita.
" Haloo beiby". Sauti ya mwanamume ikasikika na mwanamke yule akakaa kimya huku roho yake ikiuma akajikaza na kuongea kama hakuna kitu.
" beiby uko wapi?".
" ooh mama niko mishe mishe halafu nimekumiss kishenzi". Akazungumza
" njoo kama umenimiss".
" Acha utani aseeh"
" kweli njoo kwangu".
" aseeh nakuja hapo dakika kumi yani nakuja kuipiga"
" sawa njoo nimekumiss sana". Akazungumza
" Dah nakupenda sana atleast leo umenizingatia".
" usijali 2pac". Akazungumza
" poa nakupenda sana". 2pac akazungumza na kukata simu inaonekana alikuwa anatembea kwenda sehemu tena alikuwa speed kutokana na sauti za mchakacho zilizokuwa zinasikika.
" Kaoge". Don john akazungumza na mwanamke yule akanyanyuka huku uso wake ukiwa hauna raha, alikuwa muoga kupindukia akajikongoja na kwenda bafuni na kujifungia kwa ndani huku akiacha simu kitandani.
" Fungua mlango". Don john akazungumza na mwanamke yule akafungua
" Usifunge mlango kwani kitasa takivunja na risasi moja tu toka kwenye bastola yangu". Akazungumza na mwanamke yule akatikisa kichwa.
" sawa".
" Oga haraka Ashura". Don john akazungumza na kutoka bafuni kisha akaenda kupaki risasi kwenye bastola yake.
" Duuh leo nifanye kitu ata akinitambua mimi ni mpelelezi ni sawa tu mchezo utakuwa umeishia hapa siwezi ruhusu 2pac akafa mbele ya macho yangu, kazi ya umoja wa mataifa itaishia hapa". Akawaza na kufungua bomba la maji na yakaanza kumwagika mwili mwake baada ya kutoa taulo,alipomaliza ashura bado alikuwa njia panda akamkuta don akiwa nyuma ya pazia kubwa la dirishani akitaka kujificha huku mkononi akiwa na bastola yake, Ashura akameza mate baada ya kusikia sauti ya 2pac nje mapigo yake ya moyo yakaenda mbio kwani hakutaka kijana wawatu asiyekuwa na hatia aangamie kwa ajili yake akamtizam don john anayempa ishara ya kwenda kufungua mlango, Ashura akajifunga kanga huku bado akiwa njia panda kwani akisema apambane na don john kazi yake aliyofanya kwa muda mrefu ingearibika akakumbuka umoja wa mataifa ulivyomuamini na kumpa kazi hiyo ya kupeleleza kundi hatari la black mamba lililoanzishwa na serikali ya TANZANIA kupitia chama tawala kwa siri sana, kundi hilo kazi yake ilikuwa ni kuua na kuteka watu wanaopinga au kwenda kinyume na serikali tawala, watu wasiokuwa na hatia walitekwa na wengine kutekwa na kupotea kabisa kwenye ramani ya tanzania, ni kundi la wa uwaji ni zaidi ya watu makatili zaidi duniani liliua watu na kuwapoteza kabisa katika uso wa dunia. Ashura akajikaza na kusogelea mlango kisha akafungua mlango na akakutana na kumbatio zito toka kwa 2pac.
" Mmh mlinzi leo kanifungulia kwa wepesi sana siyo kama siku zote mlinzi wako kawa mpole zaidi vipi ulimwambia nikifika asinizuie"? 2pac akazungumza alikuwa ni kijana mwembamba mwenye umbo dogo kama la msanii 2pac ambaye ni marehemu, pia alikuwa na kipara hiyo uwenda ndo sababu ya kujiita 2pac.
Akaingia ndani na kuanza kuangaza angaza moyo wake ukapata mshtuko baada ya kuona bastola ikimtizama na sura ya DON JOHN ikionyesha chuki ya wazi.
" Una mtomb* sana mke wangu eeh". Don john akazungumza na akaseti kiwambo cha kuzuia sauti ya mlio wa risasi.2pac akaanza kuweweseka huku mapigo yake ya moyo yakienda mbio aliona kifo kipo karibu yake.
(****************)

Viongozi wenye uchu wa madarka wote walikuwa wamekutana katika meza moja ya chakula ilikuwa ni hafla kubwa ya kusheherekea kupindua serikali ya raisi aliyekuwepo ambaye alimtumaga kazi randy ya kumuua mr solo, hakudumu katika kuongoza nchi alipinduliwa na watu wenye nguvu serikalini toka chama kikubwa na chenye wafuasi wengi, utawaambia nini wakati wao ndio walioshika dola, utawaambia nini? Wakati wao ndiyo wenye kila kitu katika nchi hii, sasa walikuwa wakipongezana kwa kitu walichokifanya waliona wapo sahihi kutawala hii nchi na kulithishana wao kwa wao

SEE ME..
 
SEE ME

SEHUMU YA 37/50
( THE LAST CHAPTER)

Sasa 2pac akaona kifo kipo karibu yake akatizama mdomo wa bastola ukiwa mbele ya macho yake huku mshikaji akionekana kutokuwa na huruma kabisa,
" shuka chini". Don john akazungumza na kufanya 2pac uoga uonekane zaidi kwenye uso wake, akageuka nyuma na kumtizama Ashura ambaye muda wote yupo mlangoni huku uso wake ukiwa na hofu.
" We malaya funga mlango". Don john akazungumza na ashura akatii akafunga kitasa na kubana na funguo, kisha don john akaomba arushiwe akazichukua na kuzitia mfukoni kisha akaketi kwenye kitanda.
" Umepazoe sana hapa yani hujafikia ata sebleni umepitiliza mpaka chumbani". Don john akazungumza huku akimtizama 2pac
" Sa...mahani siku....fahamu". 2pac akazungumza huku jasho jingi likimtoka mwanzoni alidhani ni baba yake ashura lakini alivyoona chupi ya ashura ikiwa kitandani na shuka la kitanda likiwa limevulugwa na jinsi ashura alivyovaa wazo likaja kichwani kuwa huyo ni mtu wake na siyo baba yake.
" ISRAEL". don john akazungumza na kumtizama 2pac kwa macho makali, alitaka kumfanyia jambo la kikatili mwanamume huyo.
" Nipe mafuta". Don john akazungumza na kumfanya 2pac atoe macho akasogea kwa don john ila don john akamnyooshea mdomo wa bunduki na kufanya 2pac aanze kulia kwa uchungu.
" Bora uniue mzee niue". 2pac akazungumza huku machozi mengi yakimtoka machoni mwake, hakuwahi kufanyiwa jambo ilo la kikatili katika maisha yake ameutunza uanaume wake toka alipozaliwa mpaka sasa, halikuwa tayari kufa lakini siyo kufanyiwa jambo ilo la kikatili, mapigo yake ya moyo yakaenda kasi huku akiwa amekumbata mikono yake kuomba msamaha, alitia huruma mithili ya mtu aliyekuwa anataka kumchinja Ngamia.
" Nipe mafuta". Don john akazungumza na kumtizama ashura
" Hapana don hapana nakuomba tusamehe". Ashura akapiga magoti chini.
" Kijana unatembea na mke wangu kwanini ".
" Nisamehe mzee wangu sitorudia tena mzee wangu na sikujua".
" ooh ukujua kama kama mtoto mrembo wa aina hii hakosi mtu"?.
" Nisamahe mzee nakuomba me mwanao". Akazungumza na kulia zaidi
" laiti ningejua nisingetembea naye mzee wangu". Akazungumza na kulia zaidi huku kamasi zikimtoka
" Unafanya kazi gani?".
" nauza duka tu mzee". Akazungumza na don john akacheka
" Kijana we muongo sindiyo wewe si unauza magazeti". Don john akazungumza na kukoki bastola yake.
" nd...i..yo".
" kwanini udanganye?"
" samahani nakuomba nisamahe sitomjua tena ashura wala kumsumbua".
" hii sura ubaya ushaiona na kesho utaiona tena ikiwa serikalini". Don john akazungumza na kufanya kijana huyo kumeza mate na kutumbua macho, hakumeza mate ya matamanio ila alimeza mate ya uwoga.
" Nisamehe mume wangu". Ashura akazungumza
" usilie ashura niletee mafuta tafadhali".
" mzee".
" ashura lete mafuta nitamshoot". Don john akazungumza kwa msisitizo na kufanya ashura anyanyuke haraka na kumpatia don john kopo la mafuta ya losheni.
" Panda kitandani". Don john akazungumza huku akivua mkanda wa suruali yake na mkono mmoja ukiwa umenyoosha bastola kule alipo 2pac, ashura akatamani kufanya kitu ila akasita.
" hujawahi pigwa risasi". Don john akazungumza na kufyatua risasi iliyopiga chini na kufanya 2pac aogope na kuchanganyikiwa haikutoa mlio maana alifunga kifaa cha kuzuia sauti lakini 2pac mapigo yake ya moyo yakenda kasi zaidi, mzee akapiga ya pili na kumfanya 2pac achanganyikiwe na kuanza kunyanyuka taratibu.
" Unajua maumivu ya risasi wewe". Akazungumza na kumkazia macho, 2pac akajikuta akitii kwa haraka akapanda kitandani huku akitetemeka.
"Njoo umtoe kaptula yake". Don john akazungumza na kumuamrisha ashura kutii amri yake, ashura akabaki ameduwaa huku akiona ukatili ule unaokwenda kufanyika.
" Sitokuua nataka nikupe pigo la milele". Akazungumza na kutoa kaptula ya kijana yule aliyekuwa ameikamata kwa nguvu ila kila alipotizama mdomo wa bunduki nguvu zilimuisha, halikuwa muoga alishindwa kurusha ata ngumi huenda angefanya chochote uwoga ulimjaa na kufanya awe dhaifu.

**********************
AFRIKA YA KUSINI
CAPE TOWN CITY.

Mwanamume na mwanamke wakaja kutupokea nikiwa mimi na mpenzi wangu X, uwanja wa ndege unaopatikana katika jiji hilo la cape town, pirika pirika za hapa na pale ziliendelea kama ilivyo kwetu tanzania, sasa tulikuwa ndani ya gari ndogo TOYOTA yenye rangi ya kijivu, mimi na mke wangu X tulikuwa siti za nyuma huku wale wenyeji wakiwa za mbele nilitamani kufanya chochote kile ila nisingeweza maana wainishika sehemu ambayo lazima nitii maagizo yao, upande wa nje nikaona mabango yakiwa na picha ya msanii tyalat ambaye ndiyo lengo kubwa lililonipereka afrika ya kusini. ILIKUWA ni jioni ya saa 12 kwenda saa moja usiku tukafika kwenye hoteli kubwa yenye hadhi ya nyota tano. Wakatupokea wageni kisha wenyeji wetu wakateta nao jambo kisha tukapelekwa moja kwa moja mpaka vyumba vya juu vya hotel hiyo, tukiwa na mwenyeji wa kiume yule wa kike tukiwa tumemuacha nje.
" chumba chenu ndiyo icho sawa". Jamaa huyo akazungumza huku uso wake ukionyesha ukarimu toka alivyotupokea.
" mkitaka huduma yeyote unabinya alamu ile pale". Akazungumza na kutuonyesha batani nyeupe mezani
" Watakuja wageni wenu baadae". Akazungumza na kuondoka huku akitembea kama wa kike, jamaa anaonekana alikuwa shoga na ndiyo ilivyokuwa maana alilegeza macho yake mpaka sauti na alijaa makalio kumshinda ata mke wangu X. X akaenda na kufunga mlango kwa ndani na tukaanza kukagua chumba icho.
"Don john". Nikawaza kichwani huku ubongo wangu nikihisi umevulugwa
"Kwani hatuwezi fanya chochote tuka...". Nikamfumba X mdomo baada ya kuona kinasa sauti kikiwa chini ya meza nikamuonyesha na akaktimiza, tukatizama kwengine na kuona camera ndogo ikiwa imeweka juu ya ua la urembo ila ikaonekana ni kama mdoli ila lile jicho lake niliweza kutambua ni camera,
" uuh". Nikashusha pumzi nzito kisha kuelekea chooni na X naye akanifata,nikagua na kuona kinasa sauti kwenye bomba kwa juu, nikakitoa na kukinyaga nikajua lizama watajua tu, nikafungulia bomba la maji na yakaanza kutumwagikia huku tukiwa tumekumbatiana na tukaanza kulia kama watoto, nilijua hawatotusikia kutokana na sauti za maji na pia hakukuwa na camera bafuni humo.
" Sijategemea kama tutakuwa hivi Randy"
" maisha yangu THIS IS THE LAST CHAPTER". nikazungumza na kubinya bomba la maji kwa nguvu mpaka nikaumia.

See me
The last chapter


( WIKI HII INAISHA YOTE SIMULIZI HII IJUMAA).
SEE ME
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom