simulizi ya maisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    JamiiForums Tanzania Simulizi Yenye Funzo la Maisha: "SINA CHAGUO"

    SINA CHAGUO Simulizi tamu ya maisha, iliyosheheni visa na mikasa ya kuzisisimua hisia chanya za msomaji. Ukafumbuka macho uone, yazibuke masikio usikize kwa usahihi kila kilichotamkwa na kuzungumzwa na mwandishi kupitia wahisika bora waliochorwa kwa taswira za kuvutia. Utavutiwa na mengi...
  2. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    THE STORY MASTER. Mapenzi,Ujasusi,usaliti na mambo yasiyotazamiwa. BY HANCY ABDON "SEE ME" SEHEMU YA KWANZA 1/1O ***** ****** "Mpigie simu Randy mara moja mtumie location hawahi sehemu ya tukio". "Boss hata me naweza hiyo kazi nipe tafadhali". Jamaa mmoja akazungumza huku akimtizama boss...
  3. britanicca

    JamiiForums Tanzania Nje ya siasa ntakuja na Simulizi ya Maisha ya waafrika nje ya Africa na wanavyopata pesa Asia, Ulaya na Marekani, wengi wanawake wanateseka episode 10

    Nje ya siasa Kidogo Uzi huu utawasaidia wale wanaojitosa hasa watoto wa kike mabinti Kwenda Ulaya (Hapa hawateseki sana) Asia(China, India, Nepal, Thailand ,Hongkon, Malaysia , Macau, Philippines , Singapore, Indonesia, Laos, Vietnam) haya maeneo yote nshayapitia na kuona wadada wanavyoteseka...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    KABURI LA MSOMI. Karibuni sana wapenzi wa simulizi. Leo naitambulisha kwenu simulizi hii tamu iendayo kwa jina la KABURI LA MSOMI. Ndani ya simulizi hii utakutana na visa, mikasa na matukio ya maisha kwa ujumla, vimbwenga, mapenzi, maumivu, wivu, usaliti, chuki, mauaji na mikasa mingi ya...
  5. Binti wa zamani

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kutokewa na nguvu ya ajabu ambayo mpaka leo hujawahi kuielewa na wala huwezi kuielezea vizuri?

    Miaka mingi iliyopita nilikua naishi mbali na nyumbani sababu ya masomo, ghafla nikawa kila nikilala namuota kaka yangu na nikiwa kwenye ukimya nasikia sauti yake. 

 Siku moja, nimeamka tu asubuhi nikapata msukumo wa ajabu niende nyumbani. Nikakata tiketi ya kurudi home bila kuwaambia wazazi...
Back
Top Bottom