Riwaya: See Me (Nione)

Riwaya: See Me (Nione)

SEE ME
AGE18+

****(CHAPTER TWO) THE DEVIL
SEHEMU YA KUMI 10/50

" X umekuja lini tanzania, umejuaje niko hapa". Randy akazuliza
" Tunahesabu mpaka tatu". Sauti ya polisi ikasikika
" Randy uwezi kupotea" X akazungumza na akapotea ghafla vishindo vya watu wakianguka huku wakipiga risasi ovyo vikamfanya randy avae dela lake chapu na kufunika uso wake na akachukua kila kitu kinachomuhusu akafungua mlango taratibu na kukutana na maiti 8 za askari zikiwa zimekatwa katwa na panga tena lenye makali ya aina yake
" Polisi wanakuja wa kutosha" akasikia sauti bila ya kuona mtu yeyote alikuwa ni X The devil
" Pita mlango wa dharula" X akazungumza na kujionyesha
" Sikuhamini"
" Nisingekusaidia randy " .X Akazungumza na akapotea kama upepo yani hakawa haonekani kabisa randy akapita mlango dharula na kutokeza nyuma ya jengo lile
" upo nyuma yangu"
" Ndiyo randy" X akazungumza na akajionyesha
" Nahitaji gari yangu" randy akazungumza na kujibanza kwenye kona kwani barabarani polisi wamejaa wakutosha na wengine wanaingia ndani ya jengo lile kwa haraka sana, gari ya wagonjwa ikaja na kumbeba mr solo na kumkimbiza hospitali.
Randy akapanda ndani ya gari yake baady X kumletea akaingia na wakasepa pamoja
" Umejuaje niko hapa"
" Nguvu umepereka wapi?" X akazungumza na kumtizama randy kwa macho makali
" Haikuhusu"
" oooh kumbe" X akazungumza na kumsikitikia randy ambaye alikuwa anaendesha gari kutoka eneo lile la tukio gari la wagonjwa likawapita kwa kasi ya aina yake huki nyuma likisindikizwa na msafara mkubwa wa gari za polisi.
" Kwanini umeshoot Mr solo?".
" Ni kazi yangu "
" Oooh "
" Umejuaje niko hapa".
" Toka upo kwako unaoga nilikuwa na wewe mpaka bafuni nikawa na wewe mpaka unajiandaa nikawa na wewe mpaka kwenye gari".
" *** you".
Randy akamtukana na kufunga gari break za ghafla pembezoni mwa barabara
" Unataka nini?"
" Leo nimekuja kukutembelea siku ukiniona tena jua nakuja kukuua ni Amri iliyotoka juu".
X akazungumza na kutabasamu
" Wamekupa amri uniue"
" Ndiyo na lazima nifanye hivyo kwa pigo moja tu la upanga wangu" X akazungumza na kumkazia randy macho yake ambayo mboni yake ikabadrika na kuwa nyekundu randy akashtuka na mapigo ya moyo kwenda mbio zaidi moyo wake ukahisi kifo kipo karibu yake kwani kwa alichokiona kwa X hawezi hata kumrushia ngumi ikampata,hawezi piga risasi na X hashindwe kuikwepa
" DEVIL" Randy akazungumza na kumtizama X, Ambaye macho yake yamekuwa mekundu zaidi akatabasamu na macho kurudi katika hali ya kawaida

" Umesoma kila kitabu eeh". Randy akazungumza
" Ndiyo maana yake nimesoma kila kitu Japan"
" Ina maana umeua watu 100 Uwe shetani"
" Hahah sindiyo me kwa sasa ni binadamu hatari zaidi duniani"
" Ina maana haupo tayari kuwa na familia".
" Hahaha siwezi kuwa na familia Randy kama nilitupwa sioni umuhimu wake".
" Unajua unakoelekea utakuwa mtumishi wa shetani mazima"
" Hahaha bado miezi miwili nimalize kile kitabu na yaliyomo yote ".
" Unatumiwa". Randy akazungumza ila X tayari alikuwa ameshatoweka
" X "
Randy akaita bila majibu yeyote akatambua msichana yule amekwishapotea
" Huyu atanimaliza". Randy akawaza
" Nikimaliza kumuua mr zengo nakimbia mbali na mke wangu siwezi pambana na huyu" . Akawasha gari na kuondoka kwenda nyumba aliyopewa akae kwa muda kwa ajili ya kukamilisha mauaji ya watu hao aliopewa.
" Hongera kwa kumdondosha mr solo upo makini sana kijana kazi iliyobaki ni kumuua mr zengo tutakupa maelezo yake "
" Sawa"
" Leo tutakukutanisha na mke wako".
" Nitashukuru".
Akakata simu na kushuka ndani ya gari na kwenda ndani huku akili yake ikiwa imevulugika baada ya kukutana na X
" UUh kawezaje yule mshenzi kuwa vile".
******** ******* ******

HOSPTALI KUU

Madaktari wakapambana kujaribu kurudisha uhai wa Mgombea Mr solo, Risasi ilikuwa imezama kwenye kichogo ilikuwa imepita na kuingia ndani kabisa karibia na ubongo wa nyuma.
" Tumepiga scan kichwa Risasi imeingia sehemu mbaya imegusa ute ute wa ubongo wa nyuma risasi hii kama tukiitoa basi lazima atakufa hapo hapo na tukiiacha kwa makadirio atakaa miezi miwili pekee na atakufa lazima afe tu kwani ina sumu kali sana na tayari ishaanza kutafuna ubongo ".
" Kwahiyo hamuwezi fanya chochote kile kuitoa".
" Ndiyo mkuu yani ata ukimpeleka india hawawezi mtoa " . Dokta mkuu wa taifa akazungumza na kumtizama mwanzilishi wa chama alichokuwa anagombea mr solo kuwa rais
" Miezi miwili"
" ndiyo na hiyo miezi wiki kama mbili hatakuwa kitandani hajielewi".
" duuh tushampoteza okaya mfanyieni huduma nyengine muhimu kama kushona jeraha"
" Tayari mkuu"
" Wiki ijayo familia yake itamtoa hosptali kumlaza kwake"
" Sawa mkuu".

******* ****
Vyombo vya habari na magazeti ripoti ilikuwa ni juu ya kushambuliwa kwa mr solo na mtu asiyejulikana nchi sasa ikawa imegawanyika watu wakisema ni mpinzani mwenzake wengine wakisema ni watu wengine kabisa ambao hawakumpenda mr solo wengi waliamini siyo mpinzani wake kwani hawezi fanya ivyo watu wote watamshuku ni yeye.
"Kwa mambo yanavyoenda hatuwezi teua mgombea mwengine" mkuu wa chama akazungumza na kutizama jopo lake la wanasiasa waliokutana mezani
" kuna mtu anataka madaraka" akazungumza na wote wakatizama chini hakuna aliyekuwa tayari kufa au kulala hosptali kila mmoja wao aliingiwa na hofu..
****** ***** ****
Jeradi taarifa alizozipata zilimshtua ghafla aliumia sana moyo wake japo alikuwa akilala na mke wa baba yake kwa siri kila baba yake alipoondoka lakini taarifa hiyo ilimfanya alie kwa uchungu kwani yule ni baba yake wa damu baada ya mama yake kufariki alibaki na baba pekee
" Juliana nahitaji kwenda kumuona baba"
" haupo sawa unazungumza kwa shida bado usilie taya itauma zaidi".
" Hapana lazima nikamuone baba yangu".
Akazungumza na kunyanyuka toka kitandani akasogelea kioo na kuanza kufungua bandeji lililofunga kwanzia kichwani mpaka kwenye kidevu likazunguka na upande wa pili akalifungua lote na kutizama taya yake ambayo ilikuwa inaanza kurudi mdogo mdogo
" Nitakuua Randy" Akajisemea
Akujua mtu huyo ndiye aliyemlaza baba yake hospitali.

" Mary nina uhakika ujafanya wewe".
" Ndiyo waziri sijafanya mimi,nilikuwa karibu na mgombea".
" Fanya uchunguzi serikali inahitaji majibu"

************ ************

ITAENDELEAAAAA USIKOSEEE MUENDELEZOOO.....
SEE ME

*HUYU X TUMFANYAJE
 
SEE ME
AGE.....................18+
AUTHOR....................Hancy abdons
CHAPTER TWO.....SEHEMU YA 11/50

" sawa mheshimiwa nitafanya uchunguzi na muhusika nitamtia kwenye mikono ya sheria"
" Mary kuwa makini na kazi yako"
" Sawa baba".
Kwa mara ya kwanza mary akamuita waziri baba na kufanya mzee huyo kunyamaza kwa sekunde kadhaa
" Okay" Akakata simu huku tabasamu pana likichanua mashavuni mwake.
Machozi yakamlenga lenga kwani uwezo wa kupata mtoto hakuwa nao na siri hiyo ameificha moyoni mwake kwani kuna jambo baya lilimkuta miaka iliyopita.
******* ****** **
" Muuaji alikuwa amesimama hapa" Mary akazungumza na kukikagua kile choo
" askari wangapi wamekufa"?
" wamekufa askari 7 na mmoja ni majeruhi hali yake siyo nzuri yupo hosptali kwa sasa".
" Ina maana wauaji walikuwa wawili " Mary akazungumza huku akitizama miili ya ma askari iliyofunikwa na shuka nyeupe sijuhi niite sanda, akasogelea maiti moja na kuifunua
" ina alikuwa na panga au kisu". Akawaza na kutizama jeraha la askari yule lililopita kifuani mwake na kupenda mpaka ndani kabisa
" Ana nguvu kiasi gani" Akawaza na kufunika ule mwili akawatizama wote na kukuta wamechanwa sehemu mmoja pekee ya kifua tena panga limepita kwa pigo moja tu
" mmefanikiwa kupata camera"
" Ndiyo mkuu kuna camera za kutosha katika ili jengo sema chooni huku hazipo"
" Nahitaji kwenda kutizama matukio nyuma".Mary akazungumza moyoni mwake alikuwa na furaha kumuona mtu mwenye kisasi naye yupo kitandani amelala tena hajitambui alitamani kumpongeza jasusi aliyemshambulia lakini ilikuwa ni lazima amkamate na kumpereka mbele ya sheria
" Mr solo kabla ujafa inabidi unijue". Akawaza huku akipanga kwenda hosptali siku mr solo akipata fahamu zake ili ajitambulishe vizuri kuwa yeye ni nani.
" Nionyeshe masaa matatu nyuma" mary akazungumza na kumwambia mtu anayedili na camera za jengi ilo akatizama tv zake kubwa zilizokuwa nne na kisha akabofya kwenye batani ya keyboard iliyokuwa imeunganishwa na tv zile, video zikabadirika na kuonyesha matukio yaliyopita akawa anatizama kwa umakini kuona nani anaingia na nani anatoka
" Subiri zoom hiyo video " Akazungumza na mtu yule wa camera akazoom video na kuipiga pause
" Huyu mwenye dela ni mwanamke kweli ?". Akajiuliza na kuzoom macho yake.
"Mmmh hemu nionyeshe kwa nyuma yani nyuma ya mgongo wake". Mage akazungumza na yule jamaa akatii akafanya kama mage anavyotaka
" Kama ni mwanamke ana umbo baya sana".Mtu wa camera akazungumza
" zoom mgongo". Mage akazungumza na akatizama mgongo vizuri zaidi baada ya jamaa kuzoom
"Hicho siyo kibiongo".Mage akazungumza na akapiga picha mgongo ule uliofunikwa na dera.
" alivyoingia huyu mtu tukio likatokea baada ya dakika kumi ".
" Nionyeshe akiwa anatoka".
Mage akazungumza na kutingisha kichwa chake akiwa tayari anahisi mshuhukiwa wa lile tukio ni yule mtu kwa asilimia miamoja mtu wa camera akaanza kuangaika kumtafuta randy akitoka ila hakumuona kwenye camera zake
" Kuna mlango mwengine wa kutoka zaidi ya huo wa mbele"
" ndiyo na camera ya kule iliungua"
" Basi huyo mtu ndiyo alitokea huo mlango"
" lakini ukienda mahakamani watasema alihitaji kuokoa maisha yake ndiyo maana akatumia huo mlango maana kila mtu alipagawa na kuanza kukimbia ovyo ovyo".
" Hapana mtu wa kawaida hawezi jua huko nyuma kuna mlango huyu ni muuaji na wala siyo mwanamke macho yake yanajionyesha tu" Mage akazungumza na akatoka kwenye chumba icho akaenda nyuma ya mlango ule wa dharula na kuona pakiwa peupe na camera yake ikiwa haifanyi kazi kwanini ilikuwa imening'inia.
akatoka mpaka nje na kutizama chochoro hiyo inayotenganisha ghorofa ilo la simu na jengo lengine lenye fremu za biashara akasogea mpaka barabarani na polisi wenzake akafika sasa akawa anatizama majengo yote matatu kwa mbele yani la simu jengo lenye fremu za biashara na jengo la redio ya taifa, wakati anataka kwenda kwenye gari akaona lile jengo la biashara likiwa na fremu moja wanauza madela
" Je kama muuaji alinunua hapahapa dela".Akawaza na kwenda mpaka sehemu hiyo wanayouza madela akamkuta kijana wa kiume
" Karibu afande"
" Oooh asante za kazi"
" Nzuri kabisa afande pole kwa majukumu".
" asante sana tunapambana mdogo mdogo naulizia dela zako kiasi gani".?
" aaha ukitaka kali kabisa bei 15 ila za kawaida mpaka buku8".
" mmh kuna dela hivi nalihitaji?" Mary akazungumza na kutoa simu yake mfukoni na kumuonesha picha ya randy aliyekuw amevaa dela huku usoni kavaa hijabu
" waooh hii brand yangu dada yani brand yangu kabisa huyu mteja huenda alichukua hapa hapa maana mimi dela zangu na zijua "
Mage moyo ukaripuka kwa furaha kwani kuku wake amekaribia kumkamata.
" lipo?"
" mmmh hapana yalikuwa yamebaki matano ya aina hiyo jana kuna mtu ndiyo kamalizia moja".
Mage akatabasamu na kutingisha kichwa
" Wa kiume au ". Kijana yule akashangaa lile swali ila akakuna kichwa na kuvuta picha mtu aliyemuuzia lile dela ni nani
" mmmh najaribu kumkumbuka oooh yes ni wa kiume alisema ananunua kwa ajili ya mke wake kama kuna shida duka langu kuna camera"
" Waooh Asante kwa ushirikiano wako nionyeshe tafadhali"


******* SEE ME*********
 
SEE ME
AGE..................18+
AUTHOR....................Hancy abdons
CHAPTER TWO..........SEHEMU YA 12/50

Mage hakuamini anachokiona sura ya mwanamume anayempenda kwa dhati ndiyo iliyonunua dela lile akakumbuka yale macho kweli alikuwa ni yeye alikuwa ni Randy alikuwa ni kipenzi chake cha moyo wake alikuwa ni mwanamume anayempenda kupita maelezo
" Futa iyo video"
" Afande boss anakujaga kuzitizama"
" Ifute na usimwambie kitu utaingia katika matatizo ukifungua mdomo wako". Akazungumza na kijana yule akafuta video za randy ka kuzisafisha mpaka kwenye lile file linalotunzaga uchafu unaofutwa kwenye compyuta au simu (recycle bin).
Mary akapiga hatua chache na ghafla kizungu zungu kikamkamata askari wenzake walimuona akiwa anatoka kwenye duka lile kama hajielewi
" Upo sawa"
" aah ndiyo kichwa tu kimekuwa kizito nahitaji kwenda kupumzika nyumbani kwanza kesho hasubuhi tutamalizia uchunguzi wetu"
Akazungumza na wakamsaidia kuingia kwenye gari
" tukupereke madam"
" hapana taendesha mwenyewe".
Akazungumza na akapangua gia na kuondoka huku akiwapungia wenzake mkono wa kwa heri
" Randy nilikutana na wewe kabla ya siku ya tukio nilikuona ili eneo na tulikutana randy wewe ni nani nani amekutuma au unafanya hivyo kwa ajili ya nini".
Maswali yote hayo mage akawa anajiuliza peke yake na kushindwa kupata majibu yake
****
"Nahitaji leo unipe mke wangu niipige mpaka hasubuhi" mgombea uraisi aliyempa kazi randy akazungumza na kumtizama mke wake chibonge alikuwa na makalio makubwa yaliyobanana na kushuka chini yani yalikuwa hayana umbo maalumu unaweza sema mgongo umeungana na makalio,ukubwa wa makalio hayo zilikuwa ni nyama nyama za unene ila siyo kama makalio ya kajala aua posh queen
" Huyu mwanamke nikiwa rais namuacha siwezi kwenda marekani na mwanamke wa hivi" mgombea akawaza huku akitabasamu kinafiki
" Mwanamume mzima ana kibamia asee" mke wake naye akajisemea kimoyo moyo
" una furaha sana mume wangu"
" ndiyo sana tu mke wangu mtamu"
" kweli me ni mtamu"
" jameni sasa ingekuwa we si mtamu ningekuoa". Akazungumza huku akikumbuka miaka iliyopita baba yake alivyomlazimisha amuoe mwanamke huyo mtoto wa speaker wa bunge ili wazidi kuwa vizuri katika siasa na kiuchumi
Akamsogelea mke wake aliyekuwa uchi wa mnyama akashika shika makalio yake na kumtanua kisha kuingiza mboo yake kwenye kitumbua cha mke wake
" yani mboo yangu ndogo afu mshenzi k yake kubwa" Akawaza na kuanza kusukuma na kuchomoa hazikupita sekunde 8 tayari mgombea alikwisha kuutupa na akajilaza hoi kitandani

******** ******* *****
Mr zengo baada ya kupata taarifa za kuwa mr solo ameshambuliwa na hali yake siyo nzuri hakutaka kutulia kwani alikwisha jiandaa kuwa mr solo akishinda urais aendelee kumfanya awe chini yake na kuiongoza nchi yeye anavyotaka taarifa zile zilimshtua na kumfanya awe na hasira
" Nani alofanya ilo tukio". Akawaza huku akitafakari maadui zao
" mgombea mwenza amepata wapi nguvu ya kufanya hivi maana lazima atakuwa ni yeye".Akawaza huku akitafakari maadui zao
" hii kazi lazima haifanye X kuwatafuta wahusika wote maana ata mimi nitakuwa hatarini lazima awauwe ili nibaki salama ". Akawaza huku kwa mara ya kwanza mzee huyo akiingiwa na hofu ya kifo
" Nampa kazi Don John" akazungumza na kupiga simu kwa don john na kumpa maelekezo juu ya tukio analopaswa kufanya na amshirikishe X.

********
" Mkuu tumefahamu mary alipo"
" kazi nzuri sana yuko wapi"?
" kuna nyumba ipo nje ya mji tulimuona mmoja kati ya walinzi wa mgombea urais akiwa super market ananunua chakula tulimsikia anaongea na simu anampongeza randy kwa kazi na leo wamepanga kumkuyanisha na mke wake mary"
" oooh ina maana dany anafanya kazi na mgombea uraisi mr choppa na yeye ndiye kamlaza kitandani solo"
" ndiyo mkuu inawezekana"
" nyumba ina walinzi wangapi?"
" ulinzi wake ni mkali sana mkuu"
" nendeni na X mary mumlete kwangu salama"
" sawa mkuu tutamlete salama"
Mr zengo akatabasamu na walinzi wake wakaondoka
" randy mke wako mtamu sana anarudi mikononi mwangu tena". Akawaza na kukumbuka siku ambayo aliyokuwa anakula kitumbua cha mke wa randy...

****** ******
SEE Me
ITAENDELEA USIKOSEEE.....

THANK YOU......
 
SEE. ME
AGE..............18+
BY........Hancy adons
CHAPTER TWO.....SEHEMU YA 13/50

Kundi la mr zengo likaondoka na likiwa pamoja na X kwenda kumteka mary aliyepo nje ya mji akiwa amefichwa na kundi la mgombea urais ili randy afanye kazi yao vyema
" saa ngapi ?" X akawauliza huku yeye akiwa kwenye pikipiki nyeusi na wale wengine wakipanda kwenye gari moja aina ya noah
" Inaenda saa 2 mkuu".
" okay" X akatingisha kichwa huku akiwashapewa majukumu baada ya kazi hiyo aanze kutatuta ufunguo wenye siri nzito wale wa gari wakatangulia mbele na yeye akawa anawafuata kwa nyuma.
*******
Randy baada ya kupata simu kuwa akaonane na mke wake hakutaka kulaza damu akachukua gari yake aliyopewa na kufata location aliyoelekezwa, simu yake ikaita na kukuta jina la mage akaikata kwani haitaji naye mazoea tena, akazidi kupangua gia huku akifata location iliyomtoa mpaka nje ya jiji
Akaona jengo kubwa la kifahari huku ramani yake ikimuelekezea hapo akataka kupiga simu ila akasita baada ya kuona gari ya noah ikimpita kisha pikipiki ikafata akatizama muda na kuona ni saa 4 kasoro usiku, Wakashuka wanaume sita ndani ya ile gari huki pikipiki ikipaki pembeni randy akataka kishuka ila akasita baada ya kumuona yule wa kwenye pikipiki akitoa helment kichwani akaona mgongo wake na nywele zake ndefu zikipeperuka mithili ya jini la kutisha wanaume wale wakachomoa silaha na kugonga geti.randy kwa harka akapiga simu kwa waliopo ndani ila alichachelew kwani walifungua mlango na aliyefungua akala shaba ya kichwa jamaa wakazama ndani na majibizano ya risasi yakaanza randy akachomoa bastola kwani mke wake yumo humo ndani
" Unaenda wapi"? Akasikia sauti nyuma ya siti yake na kufanya mapigo yake ya moyo kwenda kasi
" Namfata mke wangu". Akazungumza huku akitizama siti ya nyuma iliyokuwa tupu ila alishagundua ni X
" oooh mke wako ndo mary "
" Umemjuaje ?"
" Ndiyo nimemfata"
" Siwezi ruhusu uondoke na mke wangu X"
" hahaha boss anamtaka mke wako"
Randy akashtuka na kukumbuka maneno ya mke wake kuwa kuna mzee alimtongoza na ndiye aliyekula utamu wa mke wake
" Ooh lazima nimuue" Randy akatoka ndani ya gari na kutaka kuingia ndani ya geti ambako majibizano ya risasi yanaendelea
X akamuwahi kwa mbele na kumpiga randy teke la kifua na randy akarudi nyuma sentimita kadhaa huku akisikia maumivu ya teke lile
" Nitakuua toka mbele yangu" randy akazungumza na kumnyooshea X bastola ila ndani ya sekunde mbili ikawa ipo chini, kwa haraka randy akaanza kupereka mashambulizi kwa X ila akashindwa kila alivyopiga x aliyameza yote kwa kuyapangua
" Zamu yang sasa" X akazungumza na kuanza kupereka mashambulizi makali kwa randy na yote yalimpata na kumuumiza vibaya mno na kumtoa mpaka damu puani.
Randy akajaribu kurudisha mashambulizi makali ila akawa anashindwa kupambana na X kila aliporusha ngumi na teke hakuna iliyompata X zaidi ya yeye kuendelea kipigwa kama mtoto.
" Mume wangu"
Randy akasikia sauti ya mary aliueshikwa mkono na mwanamume mmoja kati ya wale waliyoshuka
" Muacheni mke wangu".
Randy akazungumza huku akimtizama X kwa hasira na X akatabasamu na kumsogelea mary anayelia kwa uchungu
" Waohh ana katumbo ka ujauzito"X akazungumza na na kulishika tumbo la mary na kuanza kulibinya mary akamtemea mate usoni X na kumtukana tusi la sehemu za siri za mama yake,
" Muache". Akamwambia mwanamume aliyetaka kumpiga kofi mary kofi
" Tema tena" X akazungumza na mary akamtemea mate ya usoni X huku akimtukana matusi makali
" Mshenzi wewe usirudie kumpiga mume wangu tena".
" hahhaah mary " X akazungumza na kuchomoa panga lake kwa haraka hakamfata Randy ambaye bado yupo chini anajikokota kunyanyuka akafika na kumkata Randy mgongoni na panga lile, Jeraha kubwa likatokeza mgongoni mwa randy akalia kwa uchungu na kumtizama mke wake mary anayelia pia huku akiwa amechanganyikiwa.
X akachukua simu na kupiga kwa boss wake
" Nipo na randy nimfanyaje".?
" Mlete " Mr zengo akazungumza huku akitabasamu alizamilia kumuondoa randy kwenye uso wa dunia alihitaji kumpatia mateso makali zaidi na kumuua.
" Sawa mkuu". X akazungumza na kumkata randy mgongoni tena na kufanya damu zizidi kuchuruzika, mary akazimwisha na kuingizwa ndani ya gari na randy akawekwa nyuma ya buti. Na wakaondoka
"NJOO kwangu jeradi nimempata aliyefanya baba yako kuwa kitandani" Mr zengo akazungumza kwa simu
" Nashukuru sana mzee wangu asante sana nakuja sasa hivi".Jeradi akazungumza na kwa haraka akatizama saa nakuona ni majira ya saa 6 za usiku akachukua bastola yake na kumtizama juliana aliyelala kitandani kwake yani dogo analala na mama yake hakujali hali yake kuwa bado hajapona vizuri alijihisi ana nguvu sasa akatoka na mlinzi wake mmoja.

**********
Geti likafunguliwa la mr zengo gari ile ya noah na pikipiki vikaingia ndani wakashuka wanaume watatu wengine walifia katika mashambulizi yale wakafungua buti na kumtoa randy aliyejaa damu mwilini mwake huku akiwa hana uwezo hata wa kurusha ngumi. Wakamtoa na mary ambaye alikuwa anatoka katka dimbwi la kupoteza fahamu sasa akawa mzima anajielewa akatizama jengo ilo hakuwahi kufika
" Wapelekeni wote kule ndani ya handaki" Mr zengo akazungumza na kufanya mary ashtuke alipomuona mzee yule aliyelala naye,. Randy na mke wake wakapelekwa sehemu ile ya kutisha iliyoko chini ya nyumba ya mzee yule ilikuwa ina kila aina ya silaha za moto na za jadi na kulijaa mafriji yenye nyama ambazo hazijulikani ni za watu au wanyama gani?
Wakamfunga randy minyororo na kumuacha kisha wao wakaondoka mary hakamuwahi mume wake pale chini na kuanza kumnyanyua huku akilia kwa uchungu
" mume wangu "
" Toa kwenye mfuko wangu kuna laini ukiweka kwenye simu tafuta jina la mage atakusaidia mwambie afate funguo kwenye suruali yangu ya kaki nyumbani kwetu utamuelekeza ".
Randy akazungumza na mke wake kwa haraka akatoa laini kwenye mfuko wa randy na kuificha
" Huo funguo ndiyo tunafungulia haya makufuli kwenye minyororo mary akazungumza huku machozi yakimtoka "
"Mke wangu nakupenda sana nisamehe sana"
" Mume wangu niambie uo funguo".
Mlango ukafunguliwa na wakaingia wanaume wa kutosha jeradi,mr zengo,na Don john pamoja na wanaume wengine kisha akafata X
" Mary mama njoo" Mr zengo akazungumza na walinzi wake wakaenda kumtoa mary kwenye mwili wa randy aliyeinama
Jeradi akamuinua uso na kushtuka alipomuona ni randy mwanamume aliyemfumania na mage na randy pia akashtuka kumuona jeradi
" Ooh wewe fala". Akamnong'oneza randy masikioni hakutaka watu wajue kuwa demu wake anaetaka kumuoa alichapiwa ingekuwa aibu kubwa mno..
" Asanteni sana kwa kumkamata" akazungumza na kumshika randy mgongoni na kumbinya mgongo wake kwa nguvu na randy akapiga kelel za maumivu
" Hahaha inaumaa eeh"
" Nani amekupa kazi? " jeradi akambana randy zaidi huku akikumbuka jinsi mage alivyokuwa analia kwa mahaba kipindi randy anamkamua.
Mr zengo akamfata randy na kumtizama usoni na kutabasamu
" Una mke mzuri sana randy huyo sitomgusa kabisa nakuahidi" mr zengo akazungumza na kumshika randy shingo yake
" nani aliyekuagiza"?
" Sifahamu "
"Ooh una jeuri nitatoa icho kitumbo cha mke wako". Randy akashtuka na kumtizama mke wake ambaye hakuwa na kosa lolote
" Nani amekuagiza ". Akaulizwa tena
" Mgombea" randy akajibu na kulia kwa uchungu kwa mateso yanayompata
" sikupendi zengo" mary akafoka kwa sauti
" Bora uniue" mary akazungumza na kujitoa mikononi mwa mlinza na kumfata mr zengo, mlinzi akataka kumfata ila mr zengo akampa ishara ya kutulia mary akamfata mume wake na kumkumbatia kwa nguvu huku akilia
" tuue wote"
" Hapana mary wewe huwezi kufa" Mr zengo akazungumza kwa sauti ya upole na kumtoa mary kwa nguvu mikononi mwa randy
" mke wako kafanana sana na mke wangu hahah hilo ndilo kosa lako" . Akazungumza na kumpiga randy teke na kufanya randy alie kwa uchungu jeradi akachukua plaiz na kumfata randy
" Umenitoa meno na wewe lazima nikutoe meno" akazungumza na kumbinya randy mdomo wake ili kumtoa meno ila akasita na akatabasamu. Akaona macho ya randy na kujisemea amtoboe macho ili asimuone tena mage ata kama ikiwa ni peponi
akamfata mr zengo na kumnong'oneza sikioni mwake na mr zengo akatingisha kichwa kukubali
" usimuue mtese uwezavyo maana ataenda gerezani kesho hasububi" mr zengo akazungumza, Jeradi akamfata Randy na kumbana kichwa chake kwenye mapaja yake randy akajaribu kujinasua ila akashindwa maumivu makali akayapata akapiga kelele na watu wote mule wakatizama pembeni kwani macho yake mawili yakatolewa na Jeradi


SEE. ME * (NIONE)........

ITAENDELEAAAAAAAA.....
 
SEE ME
AGE..............18+
BY.....................Hancy abdons
CHAPTER TWO..........SEHEMU YA 14/50

Hakuna aliyeamini kama jeradi alikuwa katili kiasi kile hakuna aliyetarajia kitendo kile kingetokea kwa Randy muuaji aliyetamba enze zake sasa macho yake mawili yalitobolewa na Jeradi uso wa randy ukajaa damu na kuwa wa kutisha akalia kwa nguvu na kwa uchungu mpaka Mary akazimia kwa kitu alichokiona hakuwai tegemea kuona binadamu katili wa kumtoboa mwenzake macho
DON JOHN akuvumilia kwa kitendo kile machozi yalimtoka na kufanya atoke nje huku akijaribu kutuliza jazba zake juu ya kiongozi wake mkubwa don john alichukia na moyo wake kuwa dhaifu kuna siri kubwa anaitambua moyoni mwake lakini ilipaswa aitunze kwa sasa moyo wake ulishindwa kuvumilia maumivu aliyoyapata..
" Asee mfungeni macho yake hayo" Don john akazungumza na walinzi waliokuwa wakimtizama mmoja wapo akachana shati lake na kwenda kumfunga machoni Randy.
" Mniue " Randy akazungumza
" Niueni msiniache hivi"akazungumza kwa uchungu huku damu zikiendelea kumtoka kwenye tundu za macho yake
" mfungueni". Mr zengo akazungumza na wakamfungua akamtizama jinsi randy anavyohangaika moyo wake ukaanza kuuma kitendo kilichomshangaza akajikuta anaumia na wakati siyo kawaida yake hakujua damu ni nziti kuliko maji, Don john akamtizama jinsi mr zengo anavyomtizama randy uso wake ulizungumza kuwa ana umia kwa kitendo kile lakini hakutaka kukubali nafsi yake kuwa anamuonea huruma randy hakujua damu ni nzito kuliko maji kwa wakati ule aliyetambua ni don john pekee ndiyo alitambua randy ni mtoto wa mr ZEngo aliogopa kueleza na alificha ili habaki hai kwani angeuwawa kwa kumficha boss wake hakutaka kufa kwani alikuwa bado anasomesha watoto wake uingereza, Akamtizama mary mke wake wa randy na machozi kumtoka kwani atakuwa anafanya mapenzi na baba mkwe wake bila kujua
**********
" Huyu mshenzi namuonea huruma". Mr zengo akazungumza huku akitabasamu hakutaka kuhamini kuwa anamuonea huruma randy, akapiga hatua na kumsogelea pale chini akamtizama na kukuta kijana huyo amezimia kutokana na damu nyingi kumtoka. Mr zengo akatoka na group lake la watu makatili akiwemo na X ambaye hakuwa na huruma hata kidogo
Wakambeba mary na kumpereka chumbani kwa mr zengo huku wafanyakazi wale wa kike wakijiandaa kwenda kumuosha mwanamke huyo.
Mr don john akatizama kulia na kushoto hakufanikiwa kumuona mtu akatoa simu yake na kuipiga namba isiyokuwa na jina
" John umenitafuta leo" sauti ya kike ikasikika tena mwanamke mtu mzima
" Naomba kesho tukutane Grace"
" Upo na mtoto wangu Randy eeh".
" Nahitaji tukutane kwanza kuna jambo nahitaji kukueleza"
" John ukiendelea kunizungusha nitakuja mwenyewe hapo kwa huyo mzee kumueleza mwanaye ni nani?"
" Unataka nife eeh"
" Miaka mingi imepita john siwezi vumilia sasa".
" Mh kumbuka nilikuokoa Grace mke wake alitaka kukupiga risasi bila mimi kumuua ungekufa"
Grace akakaa kimya kidogo
" Kwahiyo nilinde na mimi kesho nahitaji nikuone". Don john akazungumza na kukata simu kisha akaondoka huku akijua hakuna aliyesikia hakasahau kuwa kuna mtu haonekani akiamua alikuwa ni X alikuwa amejificha kama ukungu hakuonekana hata kidogo maongezi yale aliyasikia hasa ya mr don john ila ya kwenye simu hakuyapata vizuri ila alihitaji kupata uhakika kwa alichosikia kuwa mr don john alimuua mwanamke kwa kumpiga risasi hakuelewa ni mwanamke gani? Mazungumzo yale yalimuweka njia panda alihitaji kufanya uchunguzi zaidi wa jambo hilo....


ITAENDELEA

SEE ME
 
SEE ME
FINAL CHAPTER TWO....
SEHEMU YA 15/50
(THE DEVIL)

FINAL.................

Vyombo vya habari vilitoa ripoti juu ya muhusika wa shambulizi la mr solo kuwa amepatikana na kesi yake ipo mahakamani, Sura yake haikuonekana zaidi ya kufichwa na ukungu usoni mwake, Mage aliingiwa na presha kiti kikawa akikaliki kwani Ushahidi wote aliuteketeza hakutaka randy akamatwe alijiuliza huyo aliyekamatwa ni nani hofu ikazidi kujengeka akilini mwake kizungu zungu kikamkamata na akazimia ofisini, Askari wenzake wakambeba na kumpeleka hosptali mwenzao kwa ajili ya kurejesha hali yake sawa.
" Umeamka". Dokta akazungumza na kumtizama mage kwa tabasamu bashasha
" Ndiyo nimeamka nani kanileta hapa"?
" Umeletwa na wenzako dakika 30 zilizopita wameondoka wamesema ukiamka niwajulishe waje kukuona"
" oooh sawa naweza kwenda" Mage akazungumza
" Hapana kwa sasa subiri mpaka dripu ikate maji bado kido tu maana umepungukiwa damu mwilini".
" mmmmh dokta"
" eeh haunywi maji mengi"
" nitazingatia hilo" akazungumza na kuchomoa dripu
" hivi una fahamu kuwa wewe ni mjamzito".dokta akazungumza na mage akatoa macho kwa mshangao
" Mimi ni m,,jamzito"
" Ndiyo una mimba ina wiki 3"
Mage akajua moja kwa moja ni ya randy machozi yakamtoka kwa furaha kwani ni jambo alilokuwa analitaka muda mrefu sana machozi ya furaha yakamtoka.
" Asantee mungu asantee" akazungumza huku akihisi kapata nguvu za ajabu
" nisaidie mkoba dokta" akazungumza huku akiwaza kumpigia randy na kumpa taarifa ile kiufupi alichanganyikiwa hakujua kuwa mtu anayetaka kumpigia kwa sasa ni kipofu kwa sasa yupo gerezani, huenda anapitia mateso makali zaidi akatoa simu na kuipiga namba ya randy ila haikuwa hewani
" una kisirani randy". Akawaza huku akiwa amenuna mimba ikaanza kufanya kazi yake....

*******
" Tume ya taifa ya uchaguzi inatangaza week ijayo itakuwa siku ya kupiga kura kwahiyo nchi iwe na amani kwa ajili ya zoezi ilo la siku moja kumchagua kiongozi mkubwa wa nchi na vituo vyote vitafunguliwa saa moja hasubuhi mpaka saa 12 jioni"
BAADA ya taarifa hiyo mgombea urais akafurahi zaidi kwani hakuwa na mpinzani tena, taarifa alizozipata za nyumba yake kuvamiwa na mary kuchukuliwa alijua ni mipango ya randy kuja kumtoa mke wake hakujua jambo lililomkuta randy kwani camera zake za nyumba ile zilivunjwa zote siku hiyo ya tukio kifo cha walinzi wake kilimfadhaisha na kuumia kwani vijana wale walifanya kazi katika uaminifu
" Maselo una bahati sana yani ukapona tena"
" ndiyo mkuu hiyo siku sikuwepo nisamhe kwa hilo"
" sawa unaweza kwenda". Mgombea akazungumza na kunywa pombe kali kama kujipa burudani kwani kwa sasa hakuwa na mpinzani waliyobaki wote ni wa vyama vidogo vidogo kwahiyo atapita kwa asilimia zote bila kupingwa

******** ********

ITAENDELEA
NDUGU MSOMAJI SASA NAANZA KUWAANDALIA VIPANDE VIREFU VIREFU ILI UKISOMA UFURAHI ZAIDI KWANZIA SEASON 3 VIPANDE VITAKUWA NI VIREFU NA VYA MOTO ZAIDI......HAVITOCHOSHA KUSOMA

SEE ME
( THE KEY)
NEXT SEASON
COMING SOON
 
SEE ME
CHAPTER THREE...
SEHEMU YA 16/50
(THE KEY)

Mkutano wa siri ulikuwa umewakutanisha viongozi wakubwa wa nchi pamoja na wafanyabiashara wakubwa haramu ndani ya nje ya nchi na ndani ya nchi ulikuwa mkutano wa watu 8 pekee uliofanyikia katika chumba cha siri, kilichojaa ulinzi wa kutosha kila kona nje na ndani ya chumba icho ambacho kilikuwa ndani ya jengo kubwa la kifahari, meza ilikuwa na maji ya kopo na glass ambapo kila mmoja wapo alikuwa na kopo la maji na glass moja huku wanne wakiwa wamekaa upande wa kulia na wanne wengine upande wa kushoto huku kiti kilichokuwa kipo mbele yao kilikuwa hakina mtu aliyekikalia. Kilikuwa kiti tupu na inaonekana mtu anayekaa hapo ndiye aliyekuwa akisubiliwa kwa hamu na kundi ilo la vigogo.
" Mheshimiwa anaingia" .Sauti ikasikika kwenye vipaza sauti vilivyokuwa vimefungwa ukutani,na vigogo wale wakasimama na kuinamisha vichwa vyao chini kumpa heshima mtu huyo aliyeingia, Uso wake ulikuwa Umefichwa na kinyago cha kutisha cha mwana sesele, akafika na kuketi kwenye kiti na wale wazee wengine wakaketi kwenye siti zao,
Mtu yule mwenye kinyago akawatizama kwa sekunde kadhaa kisha kutingisha kichwa chake ghafla taa ikazimwa ndani ya chumba icho kikawa giza na kufanya wale wazee 8 waanze kuongea kwa chini chini, ghafla TV kubwa ikawasha ukutani na kufanya mwanga ule wa tv ujae ndani ya chumba kile, wazee wote macho yao yakatizama kule kwenye Tv ambapo hapo awali hawakuiona tv hiyo, haikuwa tv kama walivyodhani kwani waligundua ni mwanga uliopiga ukutani na ukaonyesha picha ya mtu ambaye kila mtu alimfahamu, alikiwa ni rais wa tanzania kwa wakati huo.
" kila mtu mnamjua kiongozi huyo". Sauti nzito ikamtoka yule mtu mwenye kinyago cha kutisha, ilikuwa sauti iliyotengenezwa ili watu wale wasimjue ni nani? Wanazungumza naye.
" Ndiyo tunamfahamu".Wakamjibu
" Kila mmoja aseme malalamiko yake".
Mtu mwenye kinyago akazungumza hakuwa na muda wa kupoteza alitaka kila jambo lifanyike kwa haraka haraka.

" Nitaanza mimi mheshimiwa nashukuru kwa kutusikiliza ni miaka sasa imepita toka huyu kiongozi aliposhika madaraka ya serikali amebadirika ametugeuka wakati tulimpandisha ili kusaidia biashara zetu ziweze kukuua lakini katugeuka anasaidia na kujali maskini raia wa chini kuliko sisi, kwa sasa navyozungumza kazuia biashara yangu ya madini sipati wateja tena toka nje na migodi yangu baadhi kachukua akidai ya serikali anasema hakuna mtu anayemiliki aridhi maisha yangu yanaenda kuwa magumu kama akiendelea kuwepo maana nadaiwa na bank sasa million 600".

" Mwengine"
" Nashukuru sana mheshimiwa mimi biashara yangu ya unga kwa sasa haipo sokoni soko linazidi kuwa gumu zaidi fanya kitu mkuu nirudi katika biashara yangu"
Kila mmoja akawa anatoa malalamiko yake juu ya rais aliyeko madarakani kila mmoja hakupendezwa na utawala wake kwani uliwanyonya matajiri na kuwanufaisha maskini.
" Tumuue mkuu".Wote kwa pamoja wakazungumza huku wakipiga meza kuwa wamekubaliana kumuua rais
" Mnataka tumuue na huyu kama waziri mkuu aliyepita miaka 5 "
" ndiyo mkuu"
" Kumuua rais ni shilingi billoni 2 za kitanzania"
" Tupo tayari mkuu"
" Basi BLack mamba watafanya hiyo kazi". Mtu mwenye kinyago akazungumza na kuwatizama kisha akasimama na watu wale wakisimama na kuinama mpaka alipoondoka huku wakipanga siku ya kukutana kupanga tarehe watakayomuua..

*****
Tarehe waliyopanga kukutana ilipofika kila mmoja akaja sehemu ile ya siri na kuketi vile vile kama siku chache zilizoptia huku wakiambatana na sanduku lililojaa pesa taslimu bilioni 2, hakuna tajiri aliyempenda rais kwa wakati huo.
Mtu mwenye kinyago akaingia ndani ya chumba kile na wale watu wote wakasimama na kumpatia heshima yake mtu huyo ambaye hakuna aliyemtambua hata mmoja toka waanzishe kundi ilo la kutetea biashara zao ndani ya nchi, kundi la kunyonya raia na kuwanufaisha wao, kundi la kupanga nani awe rais wakuongoze wanavyotaka ili biashara zao ziende na kama ukiwageuka wanakupoteza kwenye uso wa dunia, hawa ndiyo wanaopanga viongozi wa serikali katika chama chao awe nane? rais wa nchi wanamuandaa toka zamani ndani ya kundi lao ili waje wamperekeshe wanavyotaka ni chama kilichoshika serikali miaka mingi ni chama tawala kinachopangilia kila kitu ndani ya nchi na walimuweka rais madarakani lakini kawageuka ni lazima WAMUUE. Sasa walikutana kwa ajili ya kutimiza hitaji lao. Walipata upinzani toka chama chengine lakini walikuwa na kila kitu,walikuwa washawekeza ndani ya nchi walikuwa tayari na kundi la black mamba ambalo mafuzo walipata toka JAPANI, walikuwa wakiteka watoto wadogi na kuwapereka japani, watoto ao walifundishwa kuua tu na baadhi walifundishwa zaidi kusoma vitabu wengine walikufa vitabu viliwakataa vilikuwa vitabu vya kukufanya wewe usiwe binadamu wa kawaida upotee na kutoonekana mbele za watu na kama usipofanikiwa kitabu kilikuwa KINAKUTESA MPAKA KUFA

" Raisi atakuwa na mkutano kesho kutwa dodoma nishamuandaa muuaji wangu atamuua na kumsambaratisha kwa shabaha moja tu". Akazungumza mtu mwenye kinyago na wazee wale wakapiga mokofi kwa furaha
" Ametaka yeye kufa hatuna kosa"
Mzee mmoja akazungumza nka kufanya wazee wengine wacheke kwa bashasha.
" nchi itakuwa chini ya makamu kwa muda mpaka pale tutakamteua mtu mwengine kugombea kiti cha urais"
" Mhh mheshimiwa katiba inasema makamu atashika nchi kwa muda au atakuwa raisi kabisa".
" hatuendeshwi na KATIBA nchi tunaendesha sisi". Mtu mwenye kinyago akazungumza
" wakimuua tukutane nimteue mgombea urais atakayegombea miaka miwili ijayo hii miaka miwili acheni makamu ashike kwanza nchi mpaka mwaka wa uchaguzi".
" Sawa mkuu"
Wakafunga mkutano wao na mtu yule mwenye kinyago mlinzi wake akachukua pesa na wakaondoka..

******* ******
DIANA akuhitaji kupokea amri nyengine toka kwa Don john alichokifanya ni kuandaa silaha zake kwenda kufanya tukio la mauji ya rais kisha kupewa visa na kusafiri kwenda japan kwa ajili ya kumalizia mafunzo
" Diana ukimaliza kazi utaenda japan utapishana na Randy yeye ndiye atakuwa anakuja"
" oooh Nitapishana naye nilitamani nimuone kama ameiva maana mnamsifiaga sana"
" Ukifanikiwa kumuua rais tutakuita lile jina ambalo ndiyo mtu hatari zaidi kwenye kundi la black mamba"
" ooh X"
" ndiyo ukifanya kazi vizuri tutakuita X na ndiyo utasoma vile vitabu rasmi".
" sawa mkuu." Diana akamjibu don john na kuondoka huku akiwa na furaha moyoni mwake, akapanda pikipiki yake na kuwahi eneo la tukio kwa ajili ya kumuondoa rais alifika eneo la tukio kabla ya masaa mawilo ambayo rais ndiyo atafika akapenya mpaka juu ya ghorofa ambapo toka juzi alishajua atakaa eneo gani kufanya kazi yake, akatengeneza bunduki yake na kuiweka standby akachukua darubini na kutizama sehemu ya mkutano zilikuwa mita za kutosha mita zaidi ya 1000 sawa na viwanja kumi vya mpira uvichukue uvipange pamoja ule umbali wake sasa ndiyo alikuwa amesimama juu ya ghorofa refu ambalo mtu wa chini hawezi ona juu ya ghorofa ina maana bunduki yake ilikuwa ina uwezo wa kulenga umbali mrefu zaidi..

" akitoka kwenye gari muue"
Akakumbuka maneno ya don john akatizama msafara wa magari meusi kama 9 yanayofanan pamoja na misafara ya vyombo vya polisi kama pikipiki na magari yao, gari ya tatu kati ya yale 9 ikafunguliwa na akashuka rais na watu wakaanza kupiga kelele za kumshangilia alijaza watu kibao katika uwanja mkubwa wa shule ya msingi

Akasogelea haraka bunduki yake ya masafa marefu akawa anatafuta kichwa cha rais kiko wapo akawa anazongwa zongwa na mlinzi wa rais ila akutaka kupoteza shabaha yake akajitahidi na mwisho Diana akakipata akapata paji la uso la rais na shabaha moja tu ikamshusha rais chini na kufanya watu waanze kukimbia ovyo huku walinza wa rais wakijaribu kuokoa maisha ya rais lakini haikuwezekana alifariki hapo hapo
Diana wakati anashuka na bastola yake akapishana na mtu wa usafi ambaye akamuona mwanamke huyo mwenye begi refu na mwenye uzuri wa kipekee alishangaa anatoka wapi kwa vile mtu wa usafi alikuwa na haraka zake hakutaka kufatilia zaidi ya kuendelea na mambo yake huku maswali mengi yakiwa kichwani mwake diana hakujua kuwa mtu huyo atakuwa shahidi wa sura yake ni bora angemuua kwani kitendo cha kumuacha hai kilifanya aende japani kwa shida zaidi maana sura yake ilichorwa baada ya maelezo ya mtu wa usafi diana ilibidi achonge sura ambayo anaitumia mpak sasa akijulikana kama X

*********
MR kala hukukubaliana na uteuzi wa mtu mwenye kinyago baada ya kumchagua mr solo kama mgombea urais miaka miwili ijayo moyo wake ulijua ni yeye kutokana na nafasi yake kubwa kuliko wenzake 7 akiwemo na mr solo
" Ndiyo maana nilifanya vizuri kurekodi toka hap awali" Mr kala akazungumza na kutoa kishikizo cha suti yake hakikuwa kishikizo cha kawaida lilikuwa ni jicho dogo la camera ambalo limeungwa kitaalamu na kurusha kila kitu kwenye kompyta yake nyumbani yani alirekodi kila tukio toka mpango wao wa kwanza wa kumuua rais
" mtu mwenye kinyago lazima anichague niwe rais nitamtisha mpaka akubali ata kama uso wake hauonekani dunia kwa sayansi imekuwa wakichuja sauti yake nzito atajulikana ni nani tu au wakiscan kinyago chake".
Akawaza na kutabasamu huku tamaa ikimuingia
" ngoja miaka miwili iishe kwanza ndiyo nilipue jipu kwa sasa acha makamu amalizie muda wake mr solo hawezi kuwa rais". Akawaza mr kala na kuhifadhi video zile zote kwenye memory kadi aliyoiweka ndani ya funguo yake yenye katundu ka siri kakuhifadhi memory kadi kule kwenye kushikia funguo, ilikuwa ni funguo ya chumba chake cha siri na ndipo alipohifadhi memory kwenye mshikio wa funguo ile ya kisasa zaidi


**********

SEE ME

SEHEMU YA 17/50

Mwaka wa uchaguzi ulipofika mr kala hakutaka kulaza damu akamtafuta mtu wa kinyago kupitia email wanapotumianaga jumbe zao kukutana mtu wa kinyago akashtuka baada ya kuona picha ya funguo huku kukiwa na video alipoplay mapigo yake ya moyo yakaenda kasi zaidi baada ya kuona siku wanayopanga kumuua rais mpaka siku wanayosheherekea kifo cha rais
" Unahitaji nini?" Akamtumia sms
" nahitaji kiti"
" wewe ni nani lazima uwe kigogo mmoja wapo"
" upo sahihii mr mask nahitaji kiti lasivyo naonyesha dunia hii video".
" uoni na wewe utakuwa hatarini"
" vipi nikisema mimi ni mpelelezi isitoshe sura yangu haionekeni wenzangu wote nawaona hahaha na wewe pia uso wako wa kinyago lakini sayansi imeendelea utajulikana".
Akatuma sms kwa email huku akitamba
" ooh nimekujua wewe ni Mr kala maana kwenye video huonekeni"
" hahah wewe mjanja sana kumbe"
" kwanini unakuwa msaliti"
" Nahitaji kuwa raisi huwezi mpa urais solo"
" usingefanya hivi mr kala ungeandika barua na ungesikilizwa"
" hapana wote walimuunga mkono mr solo"
" vipi ukiwa rais tukakuua na wewe".
Akatuma jumbe na mr kala akaingiwa na woga kwani kundi ilo ni kubwa mno
" Kwa vile nishawajua huwezi niua maana video yako nitawapa watu wangu wote wa siri nitawapa amri nitakapo kufa waisambaze" mr kala akatuma sms kupitia email na kuweka emoj ya kucheka

" Sawa nitakusikiliza". Mr kinyago au mr zengo akatuma sms na kutoka hewani uso wake ukajaa hasira na jazba kwani hapendwi kutishwa na mtoto mdogo.
Simu yake ikaita na akaichukua na kupokea kwani alikuwa ni don john
" Mkuu Amidu amefanikwa kupenya kwenye kundi la mgombea mwenza na wamemuamini kwa sasa anafanya kazi vyema na maselo".
" Kazi nzuri sana kafanya"
" ila kuna shida mkuu,"
" kapewa kazi ya kumteka juliana wiki ijayo ili mr solo aachie fomu ya kugombea".
" Mwambie amteke utamtuma Randy kwenda kumuokoa juliana "
" mmmh"
" anaweza peke yake nahitaji muuliza solo kama kweli yupo tayari kuwa rais inabidi amuue mgombea mwenzake nitamuuliza kama anautaka urais kweli amwage damu maana siwezi mfanya kwa rais bila ya yeye kumwaga damu".
" sawa mkuu"
" Watumie vigogo wote jumbe kuwa kuna video ya siri tulirekodiwa miaka iliyopita na mr kala na hipo ndani ya funguo yake ya siri".
" mkuu una maanisha nachokisema".
" ndiyo mpatie kazi Amidu yule mr kala hawezi shindana na mimi mr kala familia yake ipo nje ya jiji mwambie amidu haende hapo akaiteke ili apate funguo"
" sawa mkuu"..


SEE ME
ITAENDELEA

ENJOY.........
NAHISI UNAANZA KUNIPATA .......
MAONI YAKO MUHIMU......
 
SEE ME

CHAPTER THREE.....
SEHEMU YA 18/50

THE KEY
AGE..................18+

" don john randy amerudi tanzania miaka miwili sasa imepita ujaniambia".
" Grace kwa sasa mambo bado hayajatulia nakuahidi uchaguzi utakapokwisha randy nitamtambulisha kwa baba yake mr zengo". Kauli iyo ikamshtua amidu aliyekuwa anakuja kwa ajili ya kupewa kazi na don john ya kwenda kufata funguo kwa mr kala
" Mkuu".Amidu akamuita don john na kufanya don john akate simu yake na kugeuka nyuma na kukutana na amidu aliyepigwa na mshangao na bumbuwazi
" Ina maana randy ni mtoto wa mheshimiwa"
" uuh Ulichokisikia kibaki siri yako kumbuka randy hajawahi muona mr zengo kwa sababu ana vigezo bado hajatimiza kwahiyo iwe siri kwanza".
" kwanini unamficha sijaelewa yani ujue randy ni rafiki yangu".
" Amidu kwa sasa fanya kazi iliyopo mbele yako ulichokisikia hapa randy asijue wala mkuu maana tutapoteza wote maisha utampoteza mama yako "
" Sawa mkuu nimekuelewa ina maana randy hajawahi muona mkuu".?
" ndiyo maana kuna vigezo hana bado hajatimiza ila siku siyo nyingi atatimiza vigezo hivyo"
" kakini yeye pia kaua na anafanya kazi vizuri tena ni hatari kumbuka alienda kwenye misheni ya kumuokoa mtoto wa rais wa uganda wenzake wote walikufa alibaki peke yake na kumpeleka mtoto salama"
" Bado icho siyo kigezo na ilo swala halijakuleta hapa"
" samahani mkuu".
" location ya kwenda kwa mr kala tushakutumia hakikisha unapata funguo na kumuua yeye ikikubidi na familia yake kama ikifanikiwa kukuona sura yako".
" sawa mkuu nitafanya iyo kazi"
" hiyo gari nenda nayo iyo kazi ikamlike ndani ya siku tatu najua itakuchukua muda sana mpaka ujue ulinzi wa pale kwake chukua hizi pesa utalala hotelini na kula ukimaliza endelea na misheni yako ya kumteka juliana na siku ya kumkomboa tutamtuma Randy,"
" Sawa mkuu nimekuelewa". Amidu akazungumza na kupokea pesa zilizokuwa kwenye bahasha toka kwa mr don john

************* ***********
PRESENT ( LEO)
..
Utamu anaoupata mr zengo ukamfanya apige kelele kwa sauti kubwa huku akiendelea kukila kitumbua cha mary ni miezi miwili sasa imepita toka alipompata mwanamke huyo wa randy hiyo siku alimnywea pombe kali ili aichape na kuipiga kisawasawa mali ya binti huyo, alikuwa amemuweka dogy style na kumbana kwa nguvu mapajani mwake kisha akashika kiuno cha mary kwa mikono yake miwili na kuanza kupiga jogoo wake ndani ya kitumbua cha mary akavunja akawa anapiga makalio ya mary na kufanya yatingishike kama simu yenye vibration, hakujua anakula utamu wa mkwe wake..
" oooh mary asss" . Akagugumia utamu na kumtoa jogoo wake aliyenona kisha akainama na kuanza kukinyonya kitumbua cha mary kilichojaa joto la ajabu ambalo mzee huyo anakili kuwa hajawahi kulipata, mary hakuwa na hisia yeyote lakini alimsapoti mr zengo kwa kila kitu alichokifanya kwani mzee alimtisha iwapo asipofanya basi katumbo kake ambako bado ni kadogo atakapasua na kumuua aliyomo yaani kichanga.
" oooh zengo tamuu".
" Kweli mke wangu"
" ndiyo beiby nyonya" mary akazungumza kwa sauti legevu na kufanya mzee yule aongeze ufundi wake, akamuweka mary kifo cha mende kisha akamshika jogoo wake na kuanza kumpiga piga juu ya mashavu ya kitumbua cha mary na kufanya kitumbua cha mary kizidi kulowa ( yaani mary alisalaitiwa na kitumbua chake hakutaka hata kufika kileleni lakini kitumbua kilimsaliti, hisia zilimsaliti kuna kipindi ilichapwa mpaka akawa anakatika hisia zilimsaliti mary)
Mzee akapiga piga uboo wake kwenye mashavu ya kitumbua cha mary kisha akakitanua na kunyonya ile nyama nyekundu ya ndani akapikinya pikinya yale mashavu ya kitumbua na kufanya mary ajikunje kwa hisia kali anazozipata maji yakatoka na kuruka kitandani mzee akaongeza kasi ya kupikinya zile nyama kwa kidole gumba na kufanya mary azidi kupagwa akakojoa na mzee akaweka mbo yake ndani ya kitumbua cha mary na kuanza kukitafuna haraka haraka huku akibinya binya maziwa ya mary akahisi wazungu wanatoka akaongeza kasi na waarabu weupe wote wakaishia ndani ya kitumbua cha mary yaani mzee akaenda kumrutubisha mjukuu wake bila kujua.
" oooh yeaha mary"
" eeh" Mary akaitikia huku machozi yakimlenga aliona sasa anakwenda kufutilia mbali kumbukumbu randy
Ukweli wa maisha ya randy kuwa ni muuaji alishapewa na mzee huyo mapenzi kwa randy yakabaki nusu na mapenzi kwa mzee yakaanza kuibuka taratibu katika maisha yake hakupenda mtu muongo kwanini randy alimdanganya kwanini alimfanya mtoto mdogo anakili kuwa anampenda randy lakini pia mapenzi yanakwisha, mzee alimpa kila kitu alichikitaka kitandani pia alifanya sawa na randy mary hakasahau kuwa alipewa laini na atafute namba ya mage na kumuelekeza kuhusu funguo mary akatekwa na hisia zake zilizomsaliti akajikuta anaingia kwenye dimbwi zito la mapenzi na mr zengo. Mwanzo alifanya kwa ajili ya mtoto wake lakini sasa hisia zilimsaliti hisia zilimuhitaji mr zengo ata angetokea tena randy hisia zake zingebaki kwa mzee yule..

********* ******** *****

" Kabla ya kifo cha mr kala niliongea naye na alonikabidhi funguo hiyo ambayo video yake umeiona dakika chache zilozopita" waziri mkuu akazungumza na kumtizama mage
" Ina maana mpango ulisukwa wa kumuondosha rais"
" Ndiyo mage jukumu letu ni kumjua huyo mwenye kinyago ni nani katika hii nchi lazima awe mtu mkubwa".
" Ina maana unahitaji kunipa hiyo kazi"
" Hapana hiyo kazi kuna mtu tayari ameshakabidhiwa".
"Mmmh nani huyo baba ?"
" Uwezi mjua mage, kwa sasa ila inabidi tuwe makini zaidi hii funguo ndiyo kila kitu kwetu maana kuna feki na orginal hii ni orginal feki mzee alitekwa na kuuwawa nyumbani kwake na gaidi akachukua akijua ni original mr kala alijua lazima atauwawa, familia yake alinambia niilinde niipereke mbali na nimetimiza ahadi yake kilichobaki ni mimi kukomboa nchi iliyotekwa na hawa watu".
" Ina maana gaidi alichukua feki"!
" Ndiyo maana mzee alinikabidhi hii kabla ya kifo chake"
" lakini rais katoka chama kengine"
" hahaha mage huyo lazima ataingia katika chama tawala yani ata raisi akitoka wapi lazima ataingizwa chama tawala na ndiyo atafata kila kitu chao watakacho"
" Ina maana serikali ina mizizi"
" ndiyo serikali yetu ina siri nzito sana mojawapo ni mwanamume huyo ndani ya icho kinyago ni nani hapa nchini au alishakuwa nani hapa nchini". Waziri akazungumza
" Baba sasa me mjamzito".
" ndiyo maana nikasema hiyo kazi kuna mtu kapewa".
" sawa baba ila siwezi olewa na jeradi nampenda sana randy"
" kubali ili kazi yetu iwe rais maana jeradi yupo katika kundi ilo kumbuka mr solo ambaye ni baba yake mpaka leo sasa bado hajanyanyuka kitandani huu mwezi wa pili sasa".
" MMH "
" nishakwambia randy amekufa".
" sihamini baba hawezi kufa mume wangu moyo wangu unakataa"
" Niamini mimi randy walimzika mbali sana" MAGE akaanza kulia na kutoka seblen kukimbilia chumbani...

********
Mr solo taratibu akafumbua macho kwa mara ya kwanza toka alipopigwa risasi ya kichwa na randy, risasi ya kichogo akafumbua macho taratibu na kutizama paa la nyumba huku akiona mawenge mawenge,miguno ya mahaba ikasikika masikioni mwake akajitahidi na kufaniki kugeuza shingo pembeni akashtuka na kutoa macho kwa mshangao hukiwa haamini anachokiona alihisi ni ndoto na siyo kweli akafumba macho na kufumbua ila bado ikawa vile vile alimuona juliana akiwa amaeinamishwa na mtoto wake jeradi afu jeradi akiwa anapiga kitumbua cha mama yake mlezi kwa nguvu zake zote
" oooh yeah beiby huyo msenge wa kitandini anawez hivi"
" hapana beiby oooh yeah hawezi beiby *** ooh *** me" juliana akalia huku akipiga makalio yake makubwa
Jeradi akachomoa mbo yake na kuizamisha mdomoni mwa juliana, juliana akainyonya yote na kisha jeradi akairudisha kwenye kitumbua cha juliana ila akaichoma haraka baada ya kumuona baba yake mzazi akiwatizama na machozi mengi kumtoka, juliana naye akshtuka alipomuona mr solo amefungua macho.
" s...o..lo" juliana akazungumza
" njoo unaenda wapi huyo hawezi nyanyuka". Jeradi akazungumza.


SEE ME

( MISSION KUMTONGOZA X " DIANA")

" SEE ME" .Sauti nzito ikasikika na kufanya madokta takribani 8 kutabasamu
" Hahha Randy unahitaji kuona" .
" ndiyo"



USIKOSE KISA HIKI CHA KUSISIMUA
NINI KITAFATA MAONI YAKO TAFADHALI
***************
SEE ME
( MISSION KUMTONGOZA X)
 
Huyo anayetumwa kumtongoza x ataweza kweli ataichapa ????? Atamtoa usichana kweli watamuua ??? Fuatiliaa
 
SEE ME

SEASON 3
AGE.................18+
AUTHOR..................hancy abdon

( MISSON X)
SEHEMU YA 19/50

" SEE ME". Sauti nzito ikamtoka randy na kufanya madaktari wamtizame na kumcheka,walikuwa madaktari 8 tena wakubwa waliobobea katika kazi hiyo.
" Upo tayari kuikomboa nchi kwa watu wabaya".
" ndiyo nahitaji nione". Randy akazungumza
" Mbona ushaona sasa umelala kitandani miezi miwili sasa na leo tumekuja kukutoa bandeji usoni mwako na machoni". Daktari mmoja akazungumza na kumsogelea randy, wakamtoa kitandani na kumpeleka kwenye kioo cha ukutani wakamkalisha kwenye kiti na kuanza kumvua taratibu bandeji lake lililofunika kichwa kizima, walitumia kama dakika 5 kulivua huku randy akiwa amefumba macho yake.
" Fumbua macho yako"
Randy akatii na kuanza kufumbua taratibu akashtuka baada ya kujiona sura yake ikiwa tofauti na macho yake yalikuwa mazuri zaid sura yake ilikuwa ya mwanamume mwengine kabisa tena handsome akajishika mashavu yake alikuwa wa tofauti.
" Mmenifanya nini "?
" sura yako ipo randy hiyo ni sura ya kazi ukimaliza kazi tutakutoa hiyo sura".
" uuh naona". Akazungumza huku akiwatizama wale madaktari akatoa machozi ya furaha huku akitaka kupiga magoti ila mlango ukafunguliwa akaingia waziri na jopo la walinzi wake wanne.
" oparesheni imekamilika sasa".
" mimi ndiye niliyekuwa naongea na wewe siki zote kipindi hupo hapa,"
" sauti yako naijua mkuu"
" kwa sasa utapumzika wiki moja hatuna muda wa kuchelewa sasa maana nchi itaingia pabaya zaidi".
" ndiyo mkuu nipo tayari"
" Bado ujakaa sawa ata macho yako bado hayana nguvu bado hayajazoea mwanga wa jua wala taa ni kama ya mtoto mdogo itachukua week macho yako kukaa vizuri".
" ooh sawa mkuu".
" mission ya kwanza ni juu ya ule msichana itaitwa nahisi unamtambua".
" Ndiyo mkuu ni hatari nitapaswa kuwa makini zaidi"
"Fanya hivyo maana kwa maelezo yako unasema huwez kazi yule akiwa upande wa maadui zetu"
" ndiyo na nguvu yake ili ipotee ni lazima azame kwenye dimbwi la mapenzi lazima ampende mtu kupita kawaida na kufanya naye mapenzi nipo tayari kujitoa mwanga"
" hawezi kukishtukia maana sauti yako ni nzito imebadilishwa, kwa sasa jenga mwili wako". Waziri akazungumza na akaondoka na madaktari wake.
" nitaweza kweli kumuingiza X box".
Randy akawaza na kumkumbuka mwanamke yule ambaye hajawahi kumpenda mwanamume yani ata kulala na mwanamume
" Huyu mzee hataki kuniambia huku nilifikaje yani kulitokea nini nipo huku mpaka nimepona hivi inawezekanaje" randy akatizama macho yake aliyopewa yalikuwa mengine kabisa siyo yake haya yalikuwa yana kiini cha rangi ya brown na makubwa kiasi.
" Nitawaua wote". Akazungumza
" X lazima ajae maana kazi yangu haitofanyika hakiwa vile".

*********** **********
WIKI ILIYOFATA....

" Tumemfatilia wiki moja nyuma iliyopita tumegundua anapenda sana kwenda maeneo ya ufukweni wakati wa jioni ata leo yupo kazi yako iianzie hapo maana tushakufikisha hapa ndiyo utakuwa unakaa gari ipo humo ndani ya geti pesa za kutumia zipo kwenye bahasha utaiona mezani"
" sawa mkuu asante sana uwa anaenda fukwe zipi"
" coco beach".
" Nashukuru sana mkuu".
" machi yamekaza"
" ndiyo mkuu"
" hakikisha unaendelea kufanya mazoezi".
" sawa mkuu".
Baada ya randy kupokea kila kitu kazi yake ikaanza ilikuwa ni kazi ngumu ya kumuingiza x kwenye dimbwi la mapenzi alikuwa anamsogelea shetani muuaji katili zaidi na wa kuogopwa black mamba.
" mary nimerudi kukuchukua na kumuua huyo mzee". Akawaza
Siku iliyofata jioni akatoka na gari mpaka maeneo ya ufukweni mwa bahari ya hindi akapaki gari sehemu husika na kushuka kuanza kumtafuta kuku wake akakumbuka alipewa maelezo kuna sehemu uwa anapenda kukaa akiwa peke yake akalitafuta eneo kama dakika 5 hivi akalipata na kumuona msichana mrembo akiwa ametuli anatizama baharini, randy alijua kuwa huwa haji kukaa tu ila lile ni zoezi.
" Mambo" randy akazungumza na kumfanya X ageuka na kumtizama akamtizama juu mpaka chini mpaka randy akahisi kashtukiwa lakini akamkazia macho
" poa". X akamjibu na kugeukia baharini tena
" Tujumuike wote kutizama bahari". Randy akazungumza na kusogea kwa ukaribu
" sawa" X akamjibu na akaendelea kutizama maji ya bahari
" Naitwa kenedy". Randy akazungumza huku akimdanganya jina
"Haina haja ya kujitambulisha maana naondoka " X akazungumza
" ooh siyo vibaya dada nikikujua"
" Rose" X akazungumza na randy akatabasamu kwani X anaitwa Diana na siyo rose
" waooh jina lako zuri sana kama sura yako umebarikiwa sana". X akageuka na kumtizama randy kwa macho makali
" Unataka nini? " randy akaulizwa ilo swali na X
" Nahitaji tupige story tu"
" Kwaheri". X akazungumza na kuondoka na kumuacha randy akiwa amebaki njia panda.
" kesho inabidi nije tena". Akazungumza na kugeuka nyuma na kumuona X akiwa anaondoka.
" kweli nitafanikiwa kwa staili hii".

" wasenge wengine kazi kuhalibu mood za watu". X akazungumza na kuingia ndani ya gari yake.

SEE ME


WAKUU NIWAPE POLE MAANA NITAISHIA HAPA MAANA NIMEPATA DHARULA WIKI TATU NITAKUWA KAZINI SISI MAJOBLESS MNANIELEWA
WIKI TATU HIZO NITAKUWA BUSY SNA NA KAZI ZA WATU, MNIVUMILIE WAKUU NIKIRUDI TUMALIZE STORY YETU WAKUU NITAWAMISS SANA WASOMAJI WANGU BILA NINYI ISINGEFIKA HUKU

WIKI TATU CHACHE TU WAKUU NIKIRUDI NAIPIGA YOTE AFU NAWEKA UZI MPYA TAREHE 3/8 WAKUU
( NAOMBENI RADHI ILA MIMI NIPO NI KAZI TU WANANGU).....😥😥😥

( NIKIRUDI TUNAIMALIZA LAZIMA, NINA UZI MPYA BAADA YA HUU KUISHA NITAUANZISHA)........
🙏🙏🙏🙏🙏
ASANTENI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom