Riwaya: See Me (Nione)

Riwaya: See Me (Nione)

SEE ME. (THE DEVIL)

CHAPTER TWO"
SEHEMU YA TATU 3/50

Mr zengo akamtizama mlinzi wake anayemwambia kuwa Amidu amekufa
" Amidu amakufa!"
" Ndiyo boss ulimtuma kazi kwenda kupeleleza kwa mgombea urais sijajua nini kilimkuta na siku kabla ajafa alipiga simu na kusema ufunguo amepata na anakuja nao".
"Ina maana walimshtukia kuwa anatoa siri zao"
"Inawezekana boss".
" Amidu siyo rais kukamatwa labda kuna siri nyengine zaidi ya hiyo atakayokuwa anajua kuna mambo katikati yamejificha niweke hewani na mkuu wao wa kazi DON JOHN".
"Sawa mkuu" Kijana akajibu na akatoka chumbani humo
"Ondoka " Mr zenga akamwambia msichana aliyukuwa anataka kumla kitumbua chake na msichana yule akatii na kuchukua chupi yake iliyokuwa tayari ishavuliwa.
Yule kijana akarudi na PC akaifungua na kuwasha akafanya utundu wake anaoujua yeye
" YUKO HEWANI" akazungumza na kumkabidhi boss wake laptop na boss wake akaipokea na sura ya mtu ikaonekana,haikuwa pc kama hizi za mtaani ile ilikuwa ya kisasa zaidi,
" DON JOHN nini kinaendelea" Mr zengo akazungumza huku akimtizama don john mzee anayempaga kazi randy na ndiye msimamizi wa kundi lile ila yeye yupo kama kivuli.
" Kuna mambo yametokea ghafla tu boss"
"Umeshindwa kusimamia BLACK MAMBA nimteue mtu mwengine".
" Samahani boss nakuahidi kila jambo litaenda sawa "
"Funguo iko wapi"?
" Funguo amidu alikuwa nayo mkuu aliipata ilibaki yeye kuileta kwetu na nilikupa taarifa kuwa funguo aliipata lakini alinambia yuko tanga kuna kazi anamalizia ya mgombea urais na alitaka aifanye ili wasimshtukie kuwa ni msaliti maana amepenya kwa kazi sana mpaka kuingia kwenye lile kundi la mgombea urais".
"Don john maelezo yako hayafanyi kazi kwangu nahitaji ule ufunguo basi kama funguo haipo nahitaji kilichomo ndani ya ile funguo ile ni siri ikigundulika wote tumepotea".
" Nafahamu boss hiyo kazi nitampa X " Don john akazungumza na kufanya mzee kutabasamu.
" X amerudi" ?
" Kesho mkuu anakuja Tanzania anatoka japani".
" lakini kumbuka anatafutwa na serikali ya tanzania kumbuka alimuua Rais aliyepita madarakani na sahivi nchi inaongozwa na Rais wa muda na Sura ya X hakuna asiyehifahamu".
" Boss kwa sasa X amebadili utambulisho wake kafanya upasuaji wa sura korae PLASTIC SURGERY"

" Nahisi kawa binti mrembo zaidi".
" Akipata funguo Muue"
Don john akashangaana kubaki mdomo wazi.
" Samahani boss kwanini wakati baada ya randy huyu ndiye hatari zaidi yake uoni tutapoteza mtu muhimu kwetu".
" Basi utachagua kati ya Randy au X mmoja wapo afe".
" Maana randy mwenyewe profile yake detail zake zote kafuta na kwanini mrimruhusu akajua mpaka mifumo ya siri huyo ni msaliti".
" Hapana boss randy hawezi kuwa msaliti labda kuna kazi anafanya hawezi tusaliti kiongozi".

" Haaa don john kwa sasa nahitaji funguo siwezi ishi kwa amani na unatambua ilo kuwa ni hatari kiasi gani funguo ile ikifika mamlaka za juu au umoja wa mataifa sote tutaishia gerezani au kunyongwa kabisa". Akazungumza na kukata mawasiliano yale.
" Muite yule binti mood yangu inabidi airudishe yeye". Akazungumza na kufungua kabati lake baada ya kunyanyuka toka kitandani, akachukua mafuta huku uso wake ukionesha alitaka kufanya jambo la kikatili kwa binti yule akarudisha na kuona mafuta yale hayafai akachukua mengine na kutingisha kichwa, yule msichana akaingia ndani alipoona mafuta uwoga ukamjaa
"Njoo uiname"
" Si..jawahi.." akazungumza kwa uwoga
" Unanipinga"
" hapana bossi nitaumia".
" hahaha ushajua nini kinakukuta". Akazungumza na kumfata binti yule na kuanza kumshika shika makalio yake akampeleka mpaka kitandani na kumtoa nguo zake zote akachukua mafuta na kumpaka kwanzia juu ya uti wa mgongo wake mafuta yale yakachuruzika mpaka katikati ya maungo ya yule msichana ( MAKALIO)
yakachuruzika na kupita katikati ya mfereji wa yule msichana na kushuka mpaka chini ya kitumbua chake,binti alikuwa akitetemeka kwa uwoga alijua kinachofata ni kile ambacho wenzake ufanyiwaga na alikuwa amebaki yeye tu akakumbuka siku mwenzake alipouwawa baada ya mr zengo kuingiza na kukuta binti huyo tayari alishafanya alimuua kikatili kwani alihitaji yeye ndiye awatoe wote ubikra siyo ubikra wa sehemu inayotakiwa bali ni ubikra wa haja kubwa (MKU**)
Na kama ukiwa ushafanya anakuua kikatili anakusaga kwenye mashine yake iliyoko chini ya handaki la nyumba yake.
Akashika jogoo wake na kuanza kumpiga piga juu ya makalio ya mfanyakazi wake na kufanya jogoo aanze kuitikia wito.
" Ujue kwanii sifanyagi mbele na nyie". Mr zengo akazungumza na kuimwagia mafuta mb* yake.
"H...apana bossi".
" Kwa sababu nilifanyaga na mfanyakazi mmoja miaka iliyopita yule mshenzi akabeba mimba yangu na kufanya mke wangu ajue".
Mr zengo akazungumza na kuinama ili atizame kama binti tayari aua bado
"Oooh kumbe marinda yapo" .
" ndiy...o bossi".
" Basi yule mseng* mwenzenu akakimbia humu ndani akatoroka huku akiwa na mtoto wangu ndani ya tumbo lake mpaka sasa sijuhi mwanamke huyo yuko hai au amekufa na mtoto sijuhi alizaa au alikufa na sijuhi kama alizaa ni wa kike au wa kiume ndiyo maana napiga nyuma sitaki kurudi makosa mtot wangu namtafuta sana nikimpata nitaacha michezo hii". Akazungumza kwa upole na kuchukua mafuta kuyaongezea juu ya makalio ya yule binti.
" Ujue kwanini nakueleza nahitaji niule mk** wako vizuri na ufurahi unionee huruma hat wenzako hii story wanajua " akazungumza na kuanza kufanya alichokitaka...
Binti akapata maumivu makali zaidi na kuanza kulia ila boss wake hakujali

" Mwanangu namuhitaji". Akazungumza huku akifumba macho



******* *******
ITAENDELEA SEE ME

USIKOSE RIWAYA HII YA KUSISIMUA
UMRI 18+
UNGANA NAMI MPKA MWISHO WA KISA HIKI MAONI YAKO NI MUHIMU ZAIDI
 
SEE ME

AGE 18+
SEHEMU YA NNE 4/50
(CHAPTER TWO) "THE DEVIL"...

Mzee akazidi kula mali huku mfanyakazi yule akizidi kuumia kwa maumivu makali anayoyapata hakuwahi kufanyiwa kitendo icho toka kuzaliwa kwake.
Mr zengo akaongeza kasi na kufika mshindo alipokuwa anaenda akahema kama ametoka kukimbia mbio ndefu akamchomoa jogoo wake na kuelekea bafuni na kumuacha binti yule akilia

** **
Randy akatizama nyumba aliyokabidhiwa na mgombea urais kuishi kwa muda mpaka pale makubaliano yao yatakapoisha akatizama na kuikagua na kukuta kuna camera kila mahali akatizama sebleni na chumbani na jikoni mpaka bafuni alijua lazima kutakua na vinasa sauti ambavyo vimefichwa kwa siri ili kumfatilia na simu mpya aliyopewa nayo alijua kuwa lazima iwe imeunga vifaa vya kumfatilia kila anapoenda na kufatilia maongezi yake.
Akatizama picha mbili alizopewa moja ikiwa ya mr solo na nyengine ya mr zengo
" Wauwe tutakupa mke wako na mtoto akiwa salama tumboni" akakumbuka maelekezo ya mgombea urais mshindani wa mr solo.
" Ukifanya kosa moja nina madaktari bingwa kwenye hosptali yangu nitawapa amri wafanye upasuaji wamtoe kijusi wako ambaye bado hajakamirika kuwa mtoto halafu nitawapa mbwa wangu, ukifanya kosa la pili tunamkata mke wake mikono yake yote miwili,ukifanya kosa la tatu tunamkata miguu ukifanya la nne tunamaliza kichwa chake yani atakufa kwa maumivu zaidi kwahiyo mke wako tunabaki naye atapewa kila kitu na kuwa salama fanya kazi yako vyema tukupe mkeo". Randy akakumbuka makubaliano hayo na kujikuta akiumia zaidi maradufu kumuingiza mke wake katika sehemu ambayo hakutegemea.
" NISAMEHE MARRY" akazungumza mwenyewe na kumkumbuka nuru binti yake wa kazi ambaye hakuwa na hatia yeyote mpaka kufa aliwaza nini atawaambiwa wazazi wa nuru
" Tushazika mwili wa mfanyakazi wako na kuhusu vitu ulivyotuagiza tumevichukua utavikuta kitandani ".
" MMemzika wapi?"
" porini" . Randy akakumbuka na akanyanyuka kwenda chumbani akakuta begi la kuburuza akalifungua na kukuta nguo zake na baaadhi ya picha za mke wake alizotaka awe nazo akakuta nguo zake zikiwa zimekaguliwa kila kona na watu hao waliozifata
" Funguo " akazungumza na kukumbuka kuwa kuna funguo alichukua kwa amidu na hakujua kazi yake ya nini ila aliuchukua tu kutokana na mtu yule kumsaidia alitaka kufahamu ni nani maana alisema mpaka baba yake amefanikiwa kumjua
" Niliuficha wapi ?" Akawaza na kukumbuka aliuweka kwenye suruali yake ambayo hapo haikuwepo
"Itanibidi nirudi kwangu kisiri siri", akawaza na kupanga baadhi ya vitu vyake huku mawazo yakimjia kila muda kuwa atawezaje kumuua mr solo mgombea mwenza wa urais na mtu aliyempa kazi na mr zengo ambaye alipewa picha yake hamfahamu na ndiyo siku ya kwanza anamuona mzee huyo.
" DON JOHN" .akazungumz kwa sauti ya chini sana kwani alikwishajua nyumba hiyo ina vinasa sauti akawaza kumwambia boss wake kuwa yupo katika sehemu ngumu ambayo hawezi kujinasua hakutegemea mapenzi yatamfanya kuwa dhaifu alikumbuka don john alipomwambia usianzishe mahusiano kwa sasa ila halikataa maana alipata mapenzi makubwa toka kwa marry akakumbuka alivyomsaidia marry usiku na wanafunzi wenzake walokuwa wanamaliza chuo mwaka wao wa mwisho walikuwa wanafanya sherehe ya kuhitimisha masomo yao na walikuwa wamelewa chakari iyo siku ndiyo siku alipokutana na msichana huyo aliwakuta wakiwa wametekwa kwenye chochoro yeye na wenzake wanne, vibaka walihitaji mali zao na ikiwezekana kuwabaka kabisa.


****** ****** ****
Siku iliyofata randy akaletewa silaha kwa ajili ya kazi zake zilikuwa kwenye sanduku dogo, kulikuwa na bastola ndogo tatu na pamoja na magazine zake zikiwa zimejaa risasi za kutosha huku ndani ya kibegi icho kukiwa na darubini.
" Bila bunduki inayopiga masafa marefu kazi itakuwa ngumu". Akazungumza huku akitizama bastola zile akawarudishia zote
" Nahitaji Snper hizo taka taka sihitaji".Akazungumza na kunyanyuka kwenye sofa
" Mita kama 300 viwanja vitatu vya mpira" Randy akazungumza na kuanza kwenda chumbani kwake.
" Sawa tutakuletea ila hizi utazikuta hapa hapa". Mmoja kati ya hao jamaa akazungumza na wakaondok na kuziacha zile silaha mezani, randy akaona wakiondoka na mlinzi akafunga geti kwani kuna mlinzi alipewa.
" Wajinga hawa yaani wanahisi kazi nyepesi".
" Nahitaji kuacha sasa kazi hii itakuwa kazi yangu ya mwisho kufanya". Randy akazungumza na kwenda chumba cha gym kwani kesho alihitaji kuanza kazi yake kumfatilia mr solo nyendo zake zote.
***** ********
" Nimekaribia kulipa kisasi cha baba yangu". Mage akazungumza huku akichukua picha ya mr solo na jeradi na ya mama yake juliana akazibandika ukutani na kuzitizama picha zile kwa chuki alihitaji kuwaua wote watatu kwanzia mama yake aliyepanga njama ya kumuua baba yake.
" Juliana malaya mkubwa wewe nitakuua na laana sitopata". Mage akazungumza na kutizama picha ya mama yake mzazi akaichora X kisha akatizama ya jeradi nayo akaichora X na mwisho akaitizama ya mr Solo
" Jeradi utanisamehe lakini lazima nikuue na wewe". Mage akazungumza na kushika picha ya jeradi ghafla simu yake ikaita akaichukua na kupokea..
" Ndiyo boss nakuja hapo sasa hivi". Mage akazungumza na akatoka chumbani mwake huku akivua nguo moja moja mpaka akafika bafuni akawa tayari yupo uchi wa mnyama akafungulia bomba na kuanza kuoga akapaka nywele zake sabuni na kuanza kuzisugua na brash ya kuogea..
Alipomaliza kuoga akatoka bafuni na kuingia chumbani mwake akaanza kujiandaa akavaa suti ambayo tayari alikwisha iandaa ilikuwa nyeusi suti ya kazi akafungua kabati na kutoa bastola akaipachika magazine na kuibana kiunoni mwake akatoka ndani ya jumba hilo ilikuwa ni nyumba ya kupanga ya ghorofa, akaanza kushuka chini kwa ngazi akuhitaji kupanda lifti akafika chini na kuingia ndani ya gari nyeusi kwa siti ya nyuma na kisha gari ile ikaondolewa pale.
" Vipi mission yako umefikia wapi"?
" Nipo hatua za mwisho maadui zangu wote sasa nipo karibu nao"
" Hongera sana mage ila kuwa makini maana yule mtu mzito".
" Mheshimiwa waziri usijali kazi yangu kama mwanzo nilivyoanza ndivyo takavyomaliza nimetumia miaka miwili kumnasa jeradi lazima nimuue ".
" Nafurahi kusikia hivyo binti yangu toka nilipokuokota nikajua nimepata msichana jembe ".
" Nashukuru mheshimiwa"
"Ilo jina unapenda kuniita sana".
" nikimaliza kazi yangu nitakuita baba" akazungumza na kufanya waziri mkuu acheke
" vipi umri unaenda bado ujafikiria kupata mwanamume".
" hahaha yupo mbona sema ana mambo mengi" akazungumza huku taswira ya randy ikimjia kichwani mwake akakumbuka alivyoanza kazi yake ya kumpeleleza jeradi na kumjua ni mtu anayependa sana wanawake ikambidi mage aanze kutembelea kila klabu ili ampate jeradi alifanikiwa kwa hilo akampa vitu ambavyo jeradi hakupata kwa wadada wanaojiuza akamkamata moyo wake jeradi alipompa namba ndiyo alikwisha kabisa kwani mage alivaa roho ya kumjali sana jeradi kitu kilichofanya jeradi aanze kumpenda mage mdogo mdogo wakiwa wamefikia katika hatua hiyo ndipo mage akamuona randy hakuwahi kupenda ila alipomuona randy moyo wake ulikwenda mbio alimuhitaji alihisi kabisa bila randy hawezi kuwa vizuri alijikuta akimuwaza sana akagundua randy anaendaga hotelini kupata kitu kuenjoy ndipo naye akahamua kijitosa kwa randy kama wadada wa mjini akampa penzi na kujenga naye ukaribu zaidi akihitaji mtoto toka kwa randy kila alipofanya mapenzi na randy, randy alimwaga nje kitu ambacho uwa kinamkela zaidi.
" Nimekumiss randy leo takutafuta".
Akawaza na kutabasamu.
***** MIAKA 20 ILIYOPITA****
Waziri aliyemuokota mage kipindi icho hakuwaga bado waziri alikuwaga ni mwanajeshi wa kawaida walitumwaga kuja kupambana na kundi la kihalifu ambalo inasadikika ni watu waliokuwa wanapanga kuja kupindua serikali iliyopo madarakani katika kipindi icho walifanikiwa kuwamaliza watu hao waliokuwa katika pori la kutisha kwenye vijiji vya ndani ndani huko mikoani lakini bahati mbaya wenzake wote walikufa akabaki peke yake na akapata maelekezo kuwa atembee mpaka barabarani kutoka porini humo ili achukuliwe na gari kwani gari lisingeingia porini akakubali na usiku huo mvua kubwa ilikuwa ina nyesha iyo siku alimuona mtoto mdogo wa kike akiwa analia kwenye mwili wa mwanamume asiyekuwa na kichwa huku damu zikiwa zinavuja toka kwenye mwili ule na kusombwa na maji alishangaa sana tukio lile na kumuonea mtoto yule huruma ambaye ni mage akamchukua baada ya binti yule kuzimia huku akiwa juu ya mwili wa baba yake. Wakati akiondoka akasikia watu wanazungumza
" Mtoto wangu yuko wapi Mr solo"? Akamuona mwanamke mdogo mdogo akizungumza huku akiwa analia kwa uchungu alikuwa ni mama mage
"Juliana relax mtoto wako bado tunamtafuta" . Mr solo akazungumza huku walinzi wake wakiwa wamemkinga na mwamvuli. Mwanajeshi yule akazidi kusogea kwa ukaribu ila asikie maana mvua ilifanya hasiwasikie vizuri akasoge kwa ukaribu zaidi mpaka sehemu ambayo aliona hapo akienda mbele zaidi watamshtukia akambeba mage vizuri
" mr solo namuhitaji mwanangu nimekupa dili lote umemuua mume wangu fanya juu chini unipe mwanangu mjini siendi lasivyo niue na mimi". Mama mage akazungumza kwa sauti ya juu na ya ukali.mr solo hakawa mpole alikuja huku kwa ajili ya kazi ya kupata kiwanja kile cha madini ila katika kazi yake hiyo akajikuta akizama kwenye penzi la juliana hakuamini kama ataingia ndani ya mapenzi na binti huyo moyo wake ulikiri kumpenda sana juliana, akageuka nyuma na kufanya mwanajeshi aanze kujiuliza ni nani mtu yule hakumuona vizuri kutokana na mwamvuli,kosa alilolifanya solo akatoa mwamvuli yule na kutizama pori lile alikuwa tayari kumtafuta mage ili ampate juliana lilikuwa kosa kwani mwanajeshi alifanikiwa kumuona sura yake baada yake kwa mwanga hafifu wa mbalamwezi alimuona ndiyo alikuwa ni mtoto wa makamu wa rais wa kipindi icho..............
******** ******* *****

SEE ME
ITAENDELEAAA........
USIKOSE SIJUI TUKO SAWA AU KUNA SEHEMU NIMEWAACHA TOA MAONI YAKO NI MUHIMU..
SEE ME. (CHAPTER TWO)
 
SEE ME
AGE 18+
CHAPTER TWO ( THE DEVIL)
SEHEMU YA TANO 5/50

" Mage kuwa makini na kisasi chako usije kupotea". Waziri akazungumza kwa msisitizo
" Nilikwambia nimekuwa katiri kwa ajili ya mshenzi juliana na choko mwenzie siwezi muacha hai sihitaji unisaidie juu ya ili lazima walipe haki ya baba yangu".
" Sawa ila ukiona mzigo mzito unambie"
" sawa ". Mage akazungumza
" kesho kutwa unaenda kumlinda mgombea adui yako atakuwa kwenye mkutano na waandishi wa habari fanya kazi yako iliyokupereka kumbuka wew ni mfanyakazi wa serikali".
" nitajikaza usijali nitajikaza sana sitofanya kinyume na matakwa yako mheshimiwa lazima nifanye kazi yangu vizuri huyo nitamkamata kivyangu vyangu "
" Kuwa makini maana ana maadui wengi"
" huvi toka uwe unafanya hizi kazi ujawahi naswa na camera jeradi akakuona"
" Nakuwaga makini sana na camera halafu unakuta tunafunika nyuso zetu kwahiyo ni ngumu sana kuniona". Akazungumza
" nenda ofisini usalama unataka ukupe hiyo kazi kuwa makini wamekuamini"
" sawa boss wangu usijali". Mage akazungumza na kumtizama mzee huyo aliyemuokota kipindi icho akiwa bado hajazeeka kama sasa

****** ****
Randy akatizama bunduki aliyopatiwa ya masafa marefu inayopiga mita 300 sawa na viwanja vitatu vya mpira
" Kesho kutwa mr solo atakuwa na mkutano na waandishi wa habari hiyo siku ndiyo inabidi umuue kwahiyo kama ni kutafuta sehemu ya kukaa anza sasa ili ufanye kazi yako vizuri hakikisha anakufa hakikisha una muua " .Randy akapata maelekezo toka kwenye simu
"Jengo gani"?
" jengo la redio ya taifa TTV"
" oooh lile ghorofa".
" Ndiyo atakuwa hapo majira ya saa 4 fanya kazi yako kuwa umakini uwe na siku njema". Akakatiwa simu na akashusha pumzi ndefu na kutizama bunduki ile ya masafa marefu, akairudisha katika sanduku lake refu na kufunga zipu ya begi ilo.

" Nahitaji kwenda sasa hivi naomba funguo za gari" Randy akazungumza na mlinzi akampa funguo za gari akatoka na gari majira yalikuwa ya saa kumi za jioni,safari ya kwenda redio ya taifa ikaanza ambayo ndiyo makao makuu ya mikutano yote inayohusu waandishi wa habari mwendo wa dakika 30 akafika maeneo ya jengo ilo kubwa akatizama pembeni na kuona jengo jengine refu la simu ya INFINIX
akatizma pembeni tena na kuona duka dogo la nguo akasogea dukani hapo akashtuka baada ya kukutana na mage eneo hilo
" Waooh Randy " Mage akazungumza na kumfata randy ambaye akatabasamu kwa bashasha ila lilikuwa la bandia
" Yani ukaniterekeza" .
" oooh hausahau mage za masiku ".
" aseeh ujue unaboa sana we mwanamume kunipigia simu tu utaki". Mage akazungumza na kumvuta randy chemba ya kichochoro
" Vipi mage "
" Nimekuvuta huku nikueleza nimekumiss sana randy sijuhi kwanini utaki kuelewa hisia zangu".
" Mage kwa sasa na inshu ivi nafanya nikimaliza tu nitakujulisha usijali we ni wangu tu"
" we muongo"
" Kweli niamini mimi eeh vipi tena huku mwenzetu".
" Mizunguko tu randy ya hapa na pale leo basi nitie kitu". Mage akazungumza na kumshika randy mkono
" mmh". Randy akawaza kwani ana siku nyingi sana ajakutana na mwanamke akatoa simu na kujua kuna washenzi wanamsikiliza
" Uuh sipo sawa fanya siku nyengine" randy akarudisha simu mfukoni mwake
" Mbona unakuwa hivyo ujamiss utamu wangu".Mage akazungumza na kufanya randy amtizame mage juu mpaka chini ni binti mwenye umbo zuri na kila sifa ya kuitwa mwanamke mrembo
" Okaya twende wapi chap chap"
" waooh randy twende leo kwangu"
" kumbe umejenga"
" hapana nimepanga tu"
" sikia kuna inshu namalizia nitakupigia unielekeze kwako".Randy akazungumza
" mmh kweli"
" Ndiyo nitakuja "
" sawa kwahiyo kama saa ngapi"
" saa moja hivi"
" okay bye".Mage akazungumza na kumbusu randy shavuni kisha akaondoka na kufanya randy ashushe pumzi nzito akamtizama mage na kumuona akiingia kwenye bajaji,Randy akatizama juu ya jengo la lile duka la simu
" Huyu mshenzii atakaa upande gani"randy akazungumza huku akiiba kutizama tizama jengo lile la redio ya taifa
" hivi wanaruhusu kuingia humo" akamuuliza mwanamke aliyekuwa anauza machungwa pembeni
" Ndiyo ila naonaga wengi wanaendaga kupiga picha au kutizama makumbusho ya waandishi wa habari waliotetea nchi yetu kupata uhuru picha zao ziko humo yani wanafunzi wengi ujaga humu aua kama unasomea uandishi wa habari ukienda kupiga picha unalipia" mama yule akatoa maelezo marefu
" Nashukuru sana mama kazi njema". Randy akazumgumza na akaondoka eneo ilo akaenda upande wa duka la simu ghorofa ambalo kidogo lenyewe lilikuwa kubwa kuzidi lile
" Karibu kaka" akaambiwa na mfanyakazi wa duka ilo aliyevalia tishet yenye chapa ya simu ya infinx
" Asante simu aina zote zinapatikana"
" Ndiyo kaka angu kila simu unaipata kasoro iphone". Dada yule akazungumza na kumtizma randy
" ooh iphone sihitaji dada angu hiyo simu na shida na google pixel"
" ooh zipo tena toleo jipya kabisa"
" okay upande gani" ? Randy akazungumza huku akitizama duka ilo kubwa likiwa limejaa mpaka compyuta
"Panda juu kaka angu na kuna lifti pia". Randy hakakataa kupanda lift akaenda miguu ili kutizama na kukalili baadhi ya maeneo akafika ghorofa ya tatu na kukuta kuna vitu vingi vinauzwa mpaka mikufu ya thamani na pete za ndoa au uchumba. Akapishana na wafanyakazi wengine wao wakiwa na chapa nyengine ya simu ilikuwa google pixel
" chooni wapi? Samahani" akamuuliza mfanyakazi mmoja
" ooh kaka angu chooni jui kabisa". Randy akafurahi kusikia choo kipo juu kabisa kwani ndiyo sehemu aliyokuwa anaitaka akaelekezwa na kufika mpaka chooni akaona upande wa vyoo ya kike ndiyo lile ghorofa la mkutano lipo upande huo huku kwa wanaume likiwa upande wa lile duka la nguo.
" hapa nikimuua nakimbilia upande wa choo cha wanaume wenzangu" akawaza na kuanza kutembea kwenda vyoo vya wanawake
" kaka umekosea vyoo" Mteja mmoja akazungumza alikuwa ni mwanamke
" vya wanaume vichafu". Randy akazumgumza sauti ya kike na kufanya mwanamke yule ajue kuwa randy ni shoga akaondoka huku akicheka na kutingisha kichwa kuona dunia imefika pabaya hakujua alikuwa amesimama na muuaji akujua kuwa huyo ni devil.
Randy akatafuta choo kimoja kizuri ambacho kilikuwa cha mwisho akafungua dirisha la kioo na kuona lile jengo akaona vioo vyake vimefungwa ila vinaonesha mbali akawa anajitahidi kutizama akaona watu wanapanga majukwaa na viti
" Mshenzi atakaa pale"
Akatizama jukwaa hilo ambalo linamtizama randy kwa nyuma yaani mgombea atampa randy kichogo
" Kwisha" Randy akazungumza na kutoka chooni mule
"Mzigo ulobaki taingiaje na humu na ile mashine yote". Randy akazumgumza huku akiwa anaondoka akatoka mpaka nje huku akimuaga yule binti na kumwambia amekoswa simu kutokana na bei
Akawa anarudi kwenye gari ila akasita baada ya kuona lile duka la nguo likiwa na madera makubwa ya wanawake
"Itanibidi nivae dela".Randy akazungumza na kwenda dukani pale
" karibu kaka".
" Asee asante sana"
" karibu"
" Mke wangu kaniagiza dela kubwa na pia ni mjamzito na mwili wake ni mkubwa kiasi"
" ooh sawa ni mrefu"
" kama mimi tu"
Lipo moja efu15".
" sawa sawa nipatie"
"Ngoja nikuwekee kwenye mfuko hongera sana kwa kupata mtoto "
" haaha asantw vipi wewe bado"
" ndiyo kaka bado najitafuta"
" kweli kabisa usikubali kuishi na mwanamke ukiwa bado maisha yako yanasua sua unaweza kufa". Wakacheka na kijana yule akampa randy mzigo wake na randy akampa pesa yake
" nashukuru kaka"
" kazi njema".

******
" Nashukuru mungu nilivua suti" mage akawaza
" angeniona randy na suti ingekuwa hatari angejiuliza sana maswali".
"Mkuu kuna vyoo sita vya wanawake na vinne wanaume kwenye lile jengo la simu"
" hakikisheni kwanzia kesho mpaka hiyo siku kila anayeingia anakaguliwa"


********* UNAJUA NINI KINAFATA USIKOSE KISA HIKI UNGANA NAMI MPKA MWISHO
SEE ME ( THE DEVIL)
CHAPTER TWO***********

MAONI YAKO YA MUHIMU
 
SEE ME
AGE18+
CHAPTER TWO ( THE DEVIL)
SEHEMU YA SITA 6/50

" Huyu mwanamke ananitak tena" . Randy akazungumza na kumkumbuka mage
" Nitakula kwake" akazungumza na kuondoka na gari alitizama saa na saa moja tayari ilikwisha fika akaweka laini yake kwenye simu na kutoa zile alizopew
" Nielekeze"
" Waooh randy nakupend sana"
" kwanza umepika"
" ndiyo mume wangu"
" nini"?
" wali maharage "
" siji"
" jameni kwanini lakini"
" We unajua nakuja kuipiga kabisa we unahisi kwa mtako wako mkubwa wali utanipa nguvu pika ugali dona". Randy akazungumza na kufanya mage acheke kwa sauti
" Sawa beiby wangu napika ugali njoo ila sina mboga nina hayo maharage"
" alokwambia maharage siyo mboga nani andaa dongo"?
" sawa beiby ngoja sasa nikuelekeze" mage akazungumza na akaanza kumuelekeza randy alipopanga
" POWA Dakika 30 niko hapo".

****** ***** *****

Alikuwa ni mwanamke mrembo sana na mwenye sura ya kuvutia kila mtu alipomtizama aliona uzuri usiojificha kwa mwanamke huyo ata umbo lake jembamba lilipendezeshwa na makalio yake madogo yaliyojaa vizuri kama ya wanawake wa Asia, kila mtu alimtolea macho mwanamke huyo mgeni machoni mwao waliona ni kama malaika anashuka kwenye ndege airport
Hakuna aliyejua kuwa huyu ndiye aliyemuua rais wao mpendwa,rais akiyekuwa akipendwa na watanzania aliwatetea na kufanya masikini waishi bila ya kunyanyasika hakuna aliyejua kuwa huyu ndiye aliyempiga risasi ya kichwa rais wao na kumperekea kifo chake,uso wake ulikuwa umebadirika alikuwa amefanya plastic surgery ya uso, alikuwa ni mweupe ila weupe wake uliongezeka zaidi kila mwanamume aliyemuona alitamani awe mchumba wake hakuna aliyetambua kuwa huyo ni THE DEVIL
" Mkuu the devil kafika airport na vijana wameenda kumpokea"
" oooh X amefika"
" ndiyo mkuu"
" utampa kazi atafute ufunguo na utamwambia randy ni msaliti ammalize"
" laki..."
" DON JOHN FANYA HIVYO hakikisha una mwambia x kuwa randy ni msaliti maana huyu pekee anaweza muua".
" Sawa bossi nitafanya hivyo" .

Vijana wa don john wakafika na kumchukua X na kupakia mizigo yake kwenye buti na yeye akapanda nyuma ya siti na kukaa, alikuwa amevalia suti muwani mweusi na nywele zake ndefu zikiwa zimetanda mgongoni huku chini akiwa amevaa viatu virefu na suruali nyeupe nyepesi kama kitambaa ambayo ilichoro mpaka chupi ya ndani ionekane ilikuwa ya pinki juu alivaa kinguo kidogo kinachoishia juu ya kitovu na alivaa na sweta la jeans fupi lenye fashion ya kisasa,akikuwa mwanamke mrefu na mzuri kupita kiasi
" DAR imependeza" akawaza huku akitafuna Big g


" We mwanamume unakula ugali wote ule aseeeh sikuwezi".
" Lazima nile nishibe niwe na nguvu"
" Mmh ila una kichwa chepesi yani umekuja peke yako"
" Yeah me darasani nilikuwa napata A "
" hahhah aaah wapi uwezi pata A"
" niamini mimi" randy akazungumza na kumalizia supu ya maharage
" Randy nikuulize kitu"
" uliza tu mage".
" Una mpenzi au mke"? Mage akauliza kwa sauti ya upole huku akimsoma randy usoni maana akidanganya atajua tu kuwa randy ni muongo hakujuwa kuwa randy ni jasusi anaweza fanya chochote kile usimtambue anasema uongo au ukweli
" Sina bado sijapata".
"Randy unanichukulia bado mwanamke anayejiuza"
" hapana mage "
" Randy nakupenda nishaacha ile kazi randy nakuhitaji sana uwe mume wangu".
" mage kuna mambo nafanya nikimaliza tutaongea usijali najua unanipenda" randy akazungumza na kumvuta mage kifuani mwake akatoa kanga ya mage na kuyapiga makalio yake makofi na kufanya yatingishike kwani yana ujazo wa kutosha
" mmh beiby unapenda kuyapiga" . Mage akazungumza huku akiyatingisha randy akayapiga tena na kutoa chupi ya mage mpaka kwenye mapaja, wakaanza kunyonyana denda la nguvu huku wakishikana shikana mage akaingiza mkono wake kwenye suruali ya randy na kumshika jogoo wa randy mnene na mweny ujazo wa kutosha
" Nilimmissi sana mume wang". Mage akazungumza na akamtoa nje jogoo wa randy na kuanza kumshika shika jogoo akawika na kukaza zaid,randy akavua nguo zake haraka haraka na kumlaza mage juu ya sofa akaanza kubinya binya maziwa yake yaliyojaa huku akimnyonya na shingo yake na kumshika shika kila kona ya mwili akamtanua mapaja na kushika jogoo wake na kuanza kumpiga piga juu ya kitumbua cha mage na kufanya mage acheke kwa nguvu kwa raha anayopata randy akamchezea na kumuandaa vya kutosha alipomaliza akamuingiza jogoo wake ndani ya kitumbua cha mage na kuanza kukila.
" Asss ongeza mume wangu piga hivyo hivyo my nakupenda sana"
"Ooh yeah" .wakazidi kugugumia kwa utamu wanaoupata

******* *******
" Unasemaje Randy kawa msaliti" X akazungumza
" ndiyo devil"
" haaha unanitania"
" yuko wapi "?
" kapotea "
" NIPE RUHUSA NIMUUE"


ITAENDELEA USIKOSE BALAA LIMEINGIA MJINI KUWA NAMI MPAKA MWISHO*********

SEE ME

( THE DEVIL)
 
Saa 6 nashusha mzigo jana kuna hitilafu ilitokea mnisamehe wakuu.......
 
SEE ME
AGE18+
****** CHAPTER TWO( THE DEVIL)
SEHEMU YA SABA 7/50

" NIPE RUHUSA NIMUUE".
X akazungumza na kumtizama Don john
" Kwa sasa haiwezekani mpaka upate funguo".Don john akazungumza huku akitizama mkusanyiko wa watu usiku ule uliokuja kufanya sherehe ya kumkaribisha X haukuwa mkusanyiko wa watu wa mtaani bali ni viongozi baadhi wa mamlaka za juu na ilikuwa tafrija fupi tu ya kumkaribisha X
" Nenda Ukumbini sasa watu wanakusubiri".Don john akazungumza na kumpa X tano kisha kuondoka chumbani na kumuacha X akijiandaa

" Randy msaliti".Akawaza na kisha kutabasamu akamtamani randy awe karibu yake amuue kikatili huku akimchana mgongo wake kwa panga lake kali na kuchora jina lake X
Akajiandaa na kutoka chumbani alipofikia akafika ukumbini na watu wote wakasimama na kumpigia makofi maana alifanya kazi kubwa ya kumuondoa rais ambaye wao walikuwa hawamtaki walikuwa ni wafanyabiashara wakubwa nchini tanzania na baadhi ya viongozi wote waliungana ili kumuua rais aliyepita maana aliwabana katika kazi yao na mkutano wao mkubwa ulifanyika kwa siri katika jumba la mr zengo na binti ndiye aliyekabidhiwa jukumu ilo la kumuua rais.
" Karibu sana Tanzania kwa mara nyengine". Don john akazungumza na wakampigia makofi X
" Asanteni sana nashukuru" X akazungumza na kukaa juu ya kiti alichokuwa ameandaliwa na wale waalikwa wote wakakaa walikuwa watu 12 watu wa biashara na viongozi wa nchi. Aliyekuwa anasubiliwa alikuwa ni mtu mmoja tu ambaye hakuna mwanamume au mtu yeyote au mwanamke yeyote kati ya kundi lao anayejua sura yake zaidi ya don john pekee mara nyingi mtu huyo alivaa kinyago cha kutisha alikuwa ni mr zengo mkuu wa mambo yote katika kundi hilo.
Muda ukafika na mr zengo akafika na magari yake matatu wote wakasimama na kumpa heshima akashuka ndani ya gari na walinzi wake, watu wote wakainamisha vichwa vyao chini kumpa heshima akasogea upande wa jukwaa na akapeana mikono na X kisha akaketi kwenye kiti alichokuwa ameandaliwa na wengine nao wakafata wakainua vichwa vyao na kumuona na kinyago chake kama kawaida, mzee mmoja akanyoosha mkono mjuu na don john akashangaa na kumwambia kwa ishara atulie ila mr zengo akamruhusu kusema anachotak kusema.
" Asante sana mheshimiwa kwa kukubali mkono wangu nafurahi tumekutana wote hapa huu mkusanyiko wetu niliumiss sana ni miaka 3 imepita hatujakutana kama hivi, mkuu ningetamani leo tukufahamu maana leo sherehe ni kubwa X amerudi kila mtu ana furaha vipi na wewe leo usituoneshe sura yako". Mzee huyo akazungumza na kuketi na kufanya watu waanze kuzungumza chinichini.
Haijulikani X alifika sangapi? kwa yule mzee kwani kichwa cha yule mzee kilikuwa chini huku shingo yake ikiwa inavuja damu mithili ya bomba la maji taratibu mwili ukaenda chini na kufanya watu wote wanyanyuke na kuhama eneo lile ambalo damu zikawa zinaruka kama bomba la maji lililopasuka tundu dogo na kufanya maji yaruke umbali mrefu mzee yule alikuwa amekatwa kichwa kwa upanga mkali uliokuwa mikononi mwa X, hakuna aliyehamini kama kwa pigo moja la upanga lingekata shingo ya binadamu yenye mfupa mgumu,hakuna aliyehamini umbali toka alipotoka X mpaka kwa yule mzee angetumia sekunde ndogo hizo na kumkata mzee huyo kichwa.
" kaeni". Sauti ikasikika na watu wale wakatii huku kila mmoja akiwa na hofu moyoni mwake jirani yake yule mzee ambaye kwa sasa ni marehemu hakuvumilia alijikuta akitapika na kuhama kiti kwani mwili wa yule mzee ulijaa damu zilizomlukia...
X akafuta panga lake kwa suti ya yule mzee aliyemkata kichwa na kisha kurudisha upanga mahala pake akatembea na kurudi kwenye jukwaa na kuketi.
" Hongera". Mr zengo akazungumza na kumpongeza X
" Mmesahau sheria yetu". Mr zengo akazungumza na kufanya watulie na kumtizama huku wakitingisha vichwa vyao.
" kabla ya kuuliza swali inabidi uinamishe kichwa chini mwenzenu icho ndiyo kimemponza na wala siyo swali lake". Akazungumza na kufanya watu wote kutetemeka kwa uwoga yani salamu tu ndiyo imuondoe mtu uwahi wake.
" Anaitwa nani?"
" Mr derick yeye ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya yote yanayoingia nchini ila anajificha kwenye kivuli cha ufanyaji biashara wa madini". Akapewa maelezo na kutingisha kichwa
" Nafasi yake muwekeni mtu mwengine kisha mwili wake naondoka nao" mr zengo akazungumza huku akifikiria kwenda kuusaga mwili huo kwenye mashine yake iliyoko chini ya handaki la nyumba yake.
" Tumekusanyika hapa kwa ajili ya kumkaribisha X kwa mara nyengine na tupo hapa kwa ajili yake na kwa ajili ya funguo". Mr zengo akazungumza
" Funguo imepotea kwahiyo tunahitaji kuirejesha kama kuna mtu yeyote yule anajua kuhusu chochote kile atatoa maelezo kwa don john ufunguo upatikane mara moja na nina tangaza rasmi Randy ni msaliti". Akazungumza na watu wakaanza minong'ono ya chini chini.
" Kwahiyo kama kuna mmoja wenu anahitaji kutugeuka tutamuua au kama anashirikiana na randy naye tutamuua naye". Mr zengo akazungumza kisha akaagana na x na kumpa majukumu na akaondoka na gari zake tatu kidogo watu wakapumua.

" oooh baby nakojoa". Randy akazungumza huku akiongeza kasi ya kupiga kitumbua cha mage ambaye muda huo anapiga kelele kwani naye alikuwa yupo katika bao lake la tatu, akamuona randy anajiandaa kumchomoa jogoo wake mage akakumbuka yupo katika kipindi ambacho mwanamke akipigwa tu anabeba ujauzito akambana randy mgongo wake na miguu maana mage alikuwa kifo cha mende kwahiyo miguu yake ikabana mgongo wa randy kwa nguvu zake zote,randy akajaribu kumchomoa na mkono jogoo wake ila alikuwa tayari kashachelewa waarabu wote wakaruka na kuingia ndani ya kitumbua cha mage na kufanya mage asikie utamu wa ajabu kwa jinsi wanavyomtekenya tumboni.akalegeza miguu yake huku akitetemeka kwa utamu anaoupata.
" vipi mbona umenibana"
" raha tu jameni" .mage akazungumza huku akitabasamu baada ya lengo lake kutimia
" Asante sana mume wangu"
" haupo siku za hatari? "
" Ndiyo sipo siku za hatari siwezi kuruhusu kupata mtoto sasa hivi".
" vizuri sana na kama ameingia nitamuua". Randy akazungumza kwa sauti ya msisitizo na kufanya mage ashtuke
" mmmh nitamlea peke yangu kama ameingia kwa bahati mbaya". Mage akazungumza kwa unyonge
" Nahitaji kuoga twende tukaoge"
" sawa my" wakanyanyuka na kuelekea kuoga
***** ** ***
Jeradi kelele alizozisikia za mage akiliwa zikamfanya moyo wake kupasuka vipande alijuta kwanini aliweka kipaza sauti kwenye simu ya mage wivu wake ulimsukuma kufanya hivyo, maumivu ya mapenzi akayasikia kwa mara ya kwanza akadondosha chozi akalia kwa uchungu chumbani kama mtoto mdogo akatoa mpaka kamasi akili yake ikachanganyikiwa akahisi moyo wake unapasuka akumia na kuhisi mungu amemtelekeza wivu na chuki za wazi zikamkamata kwani aliskia kila kitu kupitia kipaza sauti alichokuwa ameweka kwenye simu ya mage,alikuwa ameweka cheap ndogo kwenye upande wa memory kadi kipindi ambacho mage akiwa chooni kaenda kujisaidia, hakuweza kusikia maongezi mengine ya toka mchana zaidi ya "boss nakuja sasa hivi", na kisha simu ikazimwa na imewashwa saa 12 ikumuelekeza mwanamume aitwaye randy nyumbani kwake chuki ikamjaa
" Randy lazima nikuue ".

********** *********
ITAENDELEA USIKOSE MUENDELEZO HUU WA KUSISIMUA SITOWAACHA NJIANI NITAKUWA HAPA MPAKA MWISHO

SEE ME

******
 
SEE ME
AGE18+
****** CHAPTER TWO( THE DEVIL)
SEHEMU YA SABA 7/50

" NIPE RUHUSA NIMUUE".
X akazungumza na kumtizama Don john
" Kwa sasa haiwezekani mpaka upate funguo".Don john akazungumza huku akitizama mkusanyiko wa watu usiku ule uliokuja kufanya sherehe ya kumkaribisha X haukuwa mkusanyiko wa watu wa mtaani bali ni viongozi baadhi wa mamlaka za juu na ilikuwa tafrija fupi tu ya kumkaribisha X
" Nenda Ukumbini sasa watu wanakusubiri".Don john akazungumza na kumpa X tano kisha kuondoka chumbani na kumuacha X akijiandaa

" Randy msaliti".Akawaza na kisha kutabasamu akamtamani randy awe karibu yake amuue kikatili huku akimchana mgongo wake kwa panga lake kali na kuchora jina lake X
Akajiandaa na kutoka chumbani alipofikia akafika ukumbini na watu wote wakasimama na kumpigia makofi maana alifanya kazi kubwa ya kumuondoa rais ambaye wao walikuwa hawamtaki walikuwa ni wafanyabiashara wakubwa nchini tanzania na baadhi ya viongozi wote waliungana ili kumuua rais aliyepita maana aliwabana katika kazi yao na mkutano wao mkubwa ulifanyika kwa siri katika jumba la mr zengo na binti ndiye aliyekabidhiwa jukumu ilo la kumuua rais.
" Karibu sana Tanzania kwa mara nyengine". Don john akazungumza na wakampigia makofi X
" Asanteni sana nashukuru" X akazungumza na kukaa juu ya kiti alichokuwa ameandaliwa na wale waalikwa wote wakakaa walikuwa watu 12 watu wa biashara na viongozi wa nchi. Aliyekuwa anasubiliwa alikuwa ni mtu mmoja tu ambaye hakuna mwanamume au mtu yeyote au mwanamke yeyote kati ya kundi lao anayejua sura yake zaidi ya don john pekee mara nyingi mtu huyo alivaa kinyago cha kutisha alikuwa ni mr zengo mkuu wa mambo yote katika kundi hilo.
Muda ukafika na mr zengo akafika na magari yake matatu wote wakasimama na kumpa heshima akashuka ndani ya gari na walinzi wake, watu wote wakainamisha vichwa vyao chini kumpa heshima akasogea upande wa jukwaa na akapeana mikono na X kisha akaketi kwenye kiti alichokuwa ameandaliwa na wengine nao wakafata wakainua vichwa vyao na kumuona na kinyago chake kama kawaida, mzee mmoja akanyoosha mkono mjuu na don john akashangaa na kumwambia kwa ishara atulie ila mr zengo akamruhusu kusema anachotak kusema.
" Asante sana mheshimiwa kwa kukubali mkono wangu nafurahi tumekutana wote hapa huu mkusanyiko wetu niliumiss sana ni miaka 3 imepita hatujakutana kama hivi, mkuu ningetamani leo tukufahamu maana leo sherehe ni kubwa X amerudi kila mtu ana furaha vipi na wewe leo usituoneshe sura yako". Mzee huyo akazungumza na kuketi na kufanya watu waanze kuzungumza chinichini.
Haijulikani X alifika sangapi? kwa yule mzee kwani kichwa cha yule mzee kilikuwa chini huku shingo yake ikiwa inavuja damu mithili ya bomba la maji taratibu mwili ukaenda chini na kufanya watu wote wanyanyuke na kuhama eneo lile ambalo damu zikawa zinaruka kama bomba la maji lililopasuka tundu dogo na kufanya maji yaruke umbali mrefu mzee yule alikuwa amekatwa kichwa kwa upanga mkali uliokuwa mikononi mwa X, hakuna aliyehamini kama kwa pigo moja la upanga lingekata shingo ya binadamu yenye mfupa mgumu,hakuna aliyehamini umbali toka alipotoka X mpaka kwa yule mzee angetumia sekunde ndogo hizo na kumkata mzee huyo kichwa.
" kaeni". Sauti ikasikika na watu wale wakatii huku kila mmoja akiwa na hofu moyoni mwake jirani yake yule mzee ambaye kwa sasa ni marehemu hakuvumilia alijikuta akitapika na kuhama kiti kwani mwili wa yule mzee ulijaa damu zilizomlukia...
X akafuta panga lake kwa suti ya yule mzee aliyemkata kichwa na kisha kurudisha upanga mahala pake akatembea na kurudi kwenye jukwaa na kuketi.
" Hongera". Mr zengo akazungumza na kumpongeza X
" Mmesahau sheria yetu". Mr zengo akazungumza na kufanya watulie na kumtizama huku wakitingisha vichwa vyao.
" kabla ya kuuliza swali inabidi uinamishe kichwa chini mwenzenu icho ndiyo kimemponza na wala siyo swali lake". Akazungumza na kufanya watu wote kutetemeka kwa uwoga yani salamu tu ndiyo imuondoe mtu uwahi wake.
" Anaitwa nani?"
" Mr derick yeye ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya yote yanayoingia nchini ila anajificha kwenye kivuli cha ufanyaji biashara wa madini". Akapewa maelezo na kutingisha kichwa
" Nafasi yake muwekeni mtu mwengine kisha mwili wake naondoka nao" mr zengo akazungumza huku akifikiria kwenda kuusaga mwili huo kwenye mashine yake iliyoko chini ya handaki la nyumba yake.
" Tumekusanyika hapa kwa ajili ya kumkaribisha X kwa mara nyengine na tupo hapa kwa ajili yake na kwa ajili ya funguo". Mr zengo akazungumza
" Funguo imepotea kwahiyo tunahitaji kuirejesha kama kuna mtu yeyote yule anajua kuhusu chochote kile atatoa maelezo kwa don john ufunguo upatikane mara moja na nina tangaza rasmi Randy ni msaliti". Akazungumza na watu wakaanza minong'ono ya chini chini.
" Kwahiyo kama kuna mmoja wenu anahitaji kutugeuka tutamuua au kama anashirikiana na randy naye tutamuua naye". Mr zengo akazungumza kisha akaagana na x na kumpa majukumu na akaondoka na gari zake tatu kidogo watu wakapumua.

" oooh baby nakojoa". Randy akazungumza huku akiongeza kasi ya kupiga kitumbua cha mage ambaye muda huo anapiga kelele kwani naye alikuwa yupo katika bao lake la tatu, akamuona randy anajiandaa kumchomoa jogoo wake mage akakumbuka yupo katika kipindi ambacho mwanamke akipigwa tu anabeba ujauzito akambana randy mgongo wake na miguu maana mage alikuwa kifo cha mende kwahiyo miguu yake ikabana mgongo wa randy kwa nguvu zake zote,randy akajaribu kumchomoa na mkono jogoo wake ila alikuwa tayari kashachelewa waarabu wote wakaruka na kuingia ndani ya kitumbua cha mage na kufanya mage asikie utamu wa ajabu kwa jinsi wanavyomtekenya tumboni.akalegeza miguu yake huku akitetemeka kwa utamu anaoupata.
" vipi mbona umenibana"
" raha tu jameni" .mage akazungumza huku akitabasamu baada ya lengo lake kutimia
" Asante sana mume wangu"
" haupo siku za hatari? "
" Ndiyo sipo siku za hatari siwezi kuruhusu kupata mtoto sasa hivi".
" vizuri sana na kama ameingia nitamuua". Randy akazungumza kwa sauti ya msisitizo na kufanya mage ashtuke
" mmmh nitamlea peke yangu kama ameingia kwa bahati mbaya". Mage akazungumza kwa unyonge
" Nahitaji kuoga twende tukaoge"
" sawa my" wakanyanyuka na kuelekea kuoga
***** ** ***
Jeradi kelele alizozisikia za mage akiliwa zikamfanya moyo wake kupasuka vipande alijuta kwanini aliweka kipaza sauti kwenye simu ya mage wivu wake ulimsukuma kufanya hivyo, maumivu ya mapenzi akayasikia kwa mara ya kwanza akadondosha chozi akalia kwa uchungu chumbani kama mtoto mdogo akatoa mpaka kamasi akili yake ikachanganyikiwa akahisi moyo wake unapasuka akumia na kuhisi mungu amemtelekeza wivu na chuki za wazi zikamkamata kwani aliskia kila kitu kupitia kipaza sauti alichokuwa ameweka kwenye simu ya mage,alikuwa ameweka cheap ndogo kwenye upande wa memory kadi kipindi ambacho mage akiwa chooni kaenda kujisaidia, hakuweza kusikia maongezi mengine ya toka mchana zaidi ya boss nakuja sasa hivi na kisha simu ikazimwa na imewashwa saa 12 ikumuelekeza mwanamume aitwaye randy nyumbani kwake chuki ikamjaa
" Randy lazima nikuue ".

********** *********
ITAENDELEA USIKOSE MUENDELEZO HUU WA KUSISIMUA SITOWAACHA NJIANI NITAKUWA HAPA MPAKA MWISHO

SEE ME

******
 
SEE ME
AGE18+
.......CHAPTER TWO( THE DEVIL)
SEHEMU YA NANE 8/50

" Randy ni nani na kwanini mage ananisaliti". Jaradi akawaza huku akikimbuka alivyotia ile cheap ya sauti kwenye simu ya mage ambayo kama simu ikizimwa basi haitofanya kazi mpaka iwe hewani ndio maana muda ambao waziri na mage anapanga mipango yao jeradi hakusikia chochote maana simu mage aliizima.

" Niandalie gari natoka".Jeradi akazungumza na mlinzi wake aliyekuwa amemuita chumbani mwake kwa ajili ya kumuambia amuandalie gari yake.
" Sawa mkuu".
Jeradi akatizama saa na kuona ni majira ya saa 4 za usiku
" Ina maana mage ukahaba wake ajaacha na inaonekana anampenda huyo mtu".Jeradi akazungumza na kuchukua bastola yake kwenye droo ya kabati akatizama magazine na kuona zipo za kutosha, akasikiliza simu yake kusikia maongezi yao ila simu haikuwa hewani ilikuwa tayari ishazimwa, wivu ukazidi kumpata zaidi, hakuwahi kupajua kwa mage lakini kwa maelekezo aliyokuwa anapewa randy aliweza kuyasikia akachukua kofia na kuvaa kisha akatoka. Na bastola akaiweka kiunoni akafika nje na kupanda nani ya gari yake.
" Boss mzee wako alikataa usitoke peke yako usiku naomba twende"
" Hapana usijali siendi mbali".
" Utanitia kwenye matatizo mkuu".
" Nielewe frank".
"Sawa mkuu".
" Utamwambia kaenda kwa mpenzi wake".Jeradi akazungumza na kisha akaondoka na gari yake huku akiomba mungu amuwahi mwanamume huyo hakujua kuwa anafata hatari ambayo angejuta kuzaliwa alikanyaga mafuta na kuvunja sheria za barabarani aliomba dua kwa mungu randy asiondoke.
" Mlango wangu ni chumba na 75". Akakumbuka jinsi randy alivyokuwa anapewa maelekezo, ndani ya dakika 26 alikuwa tayari alishafika kwenye jengo lile alilopanga mage lilikuwa ni ghorofa tatu akapaki gari pembeni na akashuka akona gari nyeusi iko pembeni imepaki
" Itakuwa ya yule mshenzi" . Akazungumza na kuanza kupanda juu ya ngazi haraka haraka bila ya kutumia lifti akawa anahesabu vyumba jasho likawa linamtoka akapishana na mwanamke mmoja mnene aliyekuwa amependeza na amevalia kimini inaonekana alikuwa anakwenda kwenye shughuli zake za usiku.
" Samahani lifti zinafanya kazi"
" hapana kaka hapa ni mguu tu". Mwanamke huyo akazungumza
" walizikata maana gharama ya chumba inaongezeka". Akaongezea na jeradi akatingisha kichwa kumuelewa huku mwanamke yule akijaribu kumdadisi jeradi ila hakuwahi muona hapo.
" Asante". Jeradi akazungumza na akaendelea kupanda ngazi akafika kwenye korido ndefu na macho yake yakatua kwa mwanamume aliyemshika mage kiuno na wote wakaonana, Mage akashtuka kwa haraka na kumtoa Randy mkono wake kiunoni randy akashangaa na kumtizama mage aliyekuwa na uso wa uwoga jeradi akasogea karibu yao
" Wewe ndiyo unatembea na mke wangu" .Jeradi akazungumza na kumkwida shati randy
" j..r..adi nitakuambia muachie"
" we malaya nimesikia kila kitu kwenye simu yako" jeradi akazungumza na kumsukumu randy na akachomoa bastola yake na kumnyooshea randy huku akiwa anamtizama kwa macho makali.
" Unajikuta handsome sana eeh".Jeradi akazungumza na kukoki bastola yake akavuta trigger
" Jeradi....mua..che."Mage akazungumza kwa sauti ya uoga zaidi kwani hakutaka jambo baya limkute randy
"Naonge na wewe".
" Niache niende" Sauti nzito ikamtoka randy sauti mithili ya JOHN RAMBO
" Uogopi bastola". Jeradi akazungumza na kumkazia macho randy mage akapiga magoti na kumsogelea jeradi na kuanza kulia miguuni mwa jeradi mage alikuwa dhaifu sana maana alimpenda sana randy
"Ooh una mjali sana malaya wako mimi na yeye unampenda nani"?
Mage akajikuta kwenye wakati mgumu akamtizma randy mwanamume anayempenda sana tena kupita kiasi akamtizama na jeradi alikuwa na bastola mkononi hakuwa tayari kumpoteza randy
" niache niende man kwani nitakachokifanya utokula nyama maisha yako yote" Randy akazungumza na kufanya jeradi azidi kupandwa na hasira mage akashangaa ujasiri wa randy akawa anatingisha kichwa na kumuonesha randy ishara ya kunyamaza
" Kum** la mama yako". Jeradi akazungumza na kufanya randy afumbe macho kwani katika tusi ambalo hapendi kulisikia ni hilo ijapokuwa mama yake na baba yake hawajuhi.
Haijulikani randy alimfikia saa ngapi jeradi sauti ya maumivu makali yaliyompata jeradi yakafanya bastola imtoke na randy kuhiwahi na kuidaka jeradi alikuwa chini akitema damu nzito zilizomtoka na meno mawili taya yake ilikuwa imevunjwa taya ilikuwa imepinda ilikuwa imehama
************
ITAENDELEAAA
SEE ME
 
SEE ME
AGE18+
******CHAPTER TWO( THE DEVIL)
SEHEMU YA 9/50

Mage akamtizama randy kwa mshangao kwani ni pigo moja pekee alilolipiga kwa jeradi na kumfanya aanguke chini, randy akatoa magazine na kuzimwaga risasi zote chini kisha bastola ya jeradi akaingusha chini ya sakafu na mage akaiwahi
" Sitaki mazoea na wewe tena". Randy akazungumza kwa sauti nzito na kuondoka akampita jeradi anayejikokota kwa maumivu makali anayoyasikia mage machozi yakaanza kumtoka kwani alikuwa amefikia hatua nzuri sana ya kuwa na randy.
" jeradi nyanyuka". Mage akazumgumza na kumnyanyua jeradi ambaye akamsukuma na kumtizama kwa macho makali moyoni mwake alipata maumivu ambayo hakuwahi yasikia
" We malaya sana ee". Jeradi akazungumza na kutaka kuondoka
" Mume wangu nisamamehe".Mage akazungumza na kumtizama jeradi anayetaka kushuka ngazi
" Malaya wako nitamuua hajuhi me mtoto wa nani?."

Randy akafika nyumba aliyokuwa amekabidhiwa huku hasira bado zikimjaa akajitupa kitandani
" kwanini namsaliti mke wangu " Akawaza na kutizama picha ya mke wake iliyokuwa kwenye meza ya chumbani.
" Inabidi niache ujinga".Akawaza na kunyanyuka akachukua begi lenye bunduki ile kubwa na kuanza kuiunganisha kwani kesho kutwa anaenda kumuua mr solo ikawa ndefu kama atakavyo akatizama risasi zake zilikuwa kumi pekee,akachukua ule mfuko na kutoa dela alilochukua dukani akalivaa na likamfiti vyema akachukua ile bunduki na kuiingiza ndani ya dela ikatosha vyema bila ya kuonekana
" Shida nitaifungaje sasa" akazungumza huku akitizama dela lile kubwa
" itabidi nivae na hijabu". Akazungumza na kutoa ile bunduki na kisha kuvua dela na kuliweka kitandani.
" Itakuwaje sijuhi". Randy akazungumza na kutizama bunduki ile ya masafa marefu akachukua simu yake na kupiga kwa watu walomkabidhi kazi
" Nahitaji kuzungumza na mke wangu".
" oooh Randy unamtaka mke wako nipo nae ". Akasikia sauti ya maselo akizungumza kwa kejeli na dharau
" mke wako amelala je unataka nikamuamshe nimchungulie mapaja yake". Maselo akazungumza
" okay muache".Randy akazungumza na akakata simu
" Nitakuua". Randy akajiongelesha mwenyewe na kupanda kitandani ilikuwa majira ya saa 6 za usiku.


******* ******** ****
Mage akafungua simu yake na kutoa kipaza sauti ambacho ni cheap ndogo kina rekodi sauti na kutuma kwa jeradi akakumbuka jeradi alivyoondoka usiki na hasira akakumbuka pia randy alivyoondoka kwa hasira pia huku akijiuliza maswali mengi yasiyokuwa na majibu randy ni nani ? kwa vile ilikuwa ishafika hasubuhi akaenda kuoga na kujiandaa kwenda katika majukumu yake yakukagua kwa mara ya mwisho jumba lile la mkutano na kudumisha ulinzi wa hali ya juu.
*******
" Mtoto wangu akinyanyuka muulizeni nani aliyamvunja taya?"
" Sawa mkuu"
" Frank nilikwambia asitoke peke yake hakikisha unafanya uchunguzi na kumkamata aliyemfanya hivi mwanangu" mr solo akazungumza na kutoka hosptali na kumuacha mke wake juliana na mtoto wake jeradi.
" umefanyaje lakini" juliana akauliza kwa sauti ya upole sana.
" Mmhmmh " jeradi akaguna huku maumivu makali yakizidi kumuumiza kwenye taya yake ya kulia.
" pole jeradi sawa mpenzi wangu ukipona utazungumza vizuri kwa sas tulia".juliana akazungumza na kumbusu jeradi mdomoni mwake na kisha kumuaga akatoka nje na kuchukua simu yake na kuipiga namba iliyoandikwa F
"Naam madam"
" Fanya ile kazi niliyokwambia mfatilie huyo msichana nahisi ni damu yangu"
" sawa madam nipo katika hatua za awali na nipo katika hatua nzuri zaidi nimejua anapokaa".
" Hakikisha unafatilia nyendo zake maana kafanana sana na marehemu baba yake nahisi ni mtoto wangu muangalie kwa umakini jambo lolote lisimkute"
" sasa madam utamjuaje"
" kuna alama alizaliwa nayo kwenye mapaja yake".
" ko una maanisha nitamtoa nguo"
" thubutu, we fanya kazi yako ukimteka niite nitakuja kumkagua mwenyewe".
" kazi njema" juliana akakata simu na kutizama picha ya msichana aliyoiba kwenye simu ya jeradi maana ilimuwa kwenye screen ya mbele na aliiona na kufanya mapigo yake ya moyo yaende kasi akaichukua toka kwenye simu ya jeradi.
" Kama ni yeye jeradi nitakuua haiwezekani utembee na mimi na mtoto wangu yani hata kama ujuhi". Akawaza na kuingia ndani ya gari yake

" X tumefanikiwa kujua randy anapokaa"
" kazi nzuri sana mtanitumia location niende nikamtembelee".
" sawa mkuu"
" hakikisheni inakuwa siri yenu mko wawili akijua mwengine nitawaua". X akazungumza kwa sauti ya msisitizo
" sawa mkuu ". Wakamjibu na wakaondoka
" kabla sijakuua lazima nikutane na wewe randy". Akazungumza na kutabasamu
" ushakuwa dhaifu sidhani kama unaweza kupote tena hahah randy ". X akazungumza na kupotea kama upepo yani akatoweka kabisa kama mchawi.
*******
Hasubuhi na mapema siku iliyofuata ndani ya jengo la mkutano waandishi wa habari walikuwa wamemiminika kwa wingi toka vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini wote walikuja kumuhoji maswali mr solo kwani wiki inayokuja upigaji wa kura ulikuwa unaanza baada ya kampeni kumalizika
Msafara mkubwa wa mgombea ukafika eneo hilo na kupokelewa na baadhi ya watu huku wakimshangilia mr solo kama shujaa mpya ndani ya nchi, akawapungia mkono na kuingia kwenye jengo ilo la mkutano akasalimiana na waandishi wa habari na akaketi huku pembeni yake walinzi wakiwa wamejaa akiwepo na mage na walinzi wote nyuso zao zilofichwa
Randy tayari alikuwa alishafika kwenye jengo lile la simu akiwa amevalia dela na hijabu usoni mwake na kufanya watu wajue wa kike kwa ndani aliigawa gawa ile bunduki vipande vidogo vidogo kisha akaiweka kwenye lile begi na kulifunga mgongoni kwa ndani na dela lile likaficha na kutunisha mgongo wake na kufanya watu wahisi mwanamke yule ana kibiongo
Kwa vile alishajua njia akaanza kwenda kule ghorofa ya juu akatembea huki akipishana na watu wa jinsia zots na hakuna aliyemshtukia kwani alitembea kama mtoto wa kike, randy alikuwa jasusi wa kimataifa
" Dada simama" jamaa mmoja akazungumza na kumsimamisha randy, randy alipomuona alimtambua ni askari
" samahani umebeba nini"? Akazungumza
" We kaka vipi unataka uone mgongo wangu au nipige kelele unataka kunibaka", randy akazungumza
" ooh hapana okay nenda haraka haraka kwani tutasitisha huduma dakika tano zijazo"
" sio zote ni huduma ya vyoo vitatu vya mwisho havitotumika".
" okay sawa". Askari yule akaondoka na randy kwa haraka akaenda choo cha mwisho akafika na kufunga mlango akavua dela na kutoa begi mgongoni akavua na hijabu lake kisha akaanza kuunga unga vipande za ile bunduki ya masafa marefu akatumia dakika 2 ikakamilika akatoa mdomo wa bunduki nje na kuanza kumtafuta kuku wake.
Akaendelea kumtafuta na akafanikiwa kupata kichogo chake

"Oooh mr solo samahani " Akazungumza na kuachia shaba iliyoenda moja kwa moja kuvunja kioo na kupenya kwenye kichogo cha mr solo na akadondoka kama mzigo na watu wote wakaanza kukimbia ovyo ovyo
" Mikono juu " sauti ikasikika ikimuarisha randy mapigo ya moyo yakaenda kasi kwani akishikwa mke wake mary atateseka sana akageuka taratibu na hakuona askari yeyoye kutokana na mlango alikuwa amefunga kwa ndani ila askari walitambua kuna mtu humo chooni
" Fungua mlango kabla hatujavunja kitasa au kupiga risasi ovyo"
" uuh nimekwisha".
" hahahah randy uwezi kupotea". Randy akasikia sauti na kufanya ashtuke kwani sauti hiyo inasikika masikioni mwake
" Fungua mlango" polisi wakazungumza
" Hahah randy potea umekuwa dhaifu hahah randy umefanya mapenzi" akasikia sauti hiyo tena masikion mwake na kutizama upande wake wa kushoto ukuta ulikuwa mtupu hapakuwa na kitu hata upande wa kulia
" X uko hapa".
" Umechelewa kunijua " X akazungumza na kujionyesha....


SEE ME
ITAENDELEAAA MAONI YAKO MUHIMU
USIKOSE UNGANA NAMI MPKA MWISHO

******( THE DEVIL).....

SEE ME
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom