si alisema hana biashara yeyote zaidi ya kudandia magari ya watu
Cha msingi Dr. Slaa aombe mahakama kumruhusu kuwasilisha ushahidi wa kielectronikia ili wajumbe tumrushie mawasiliano ya dogo huyu na wakuu wa kampuni ya ujenzi inayofanya kazi sasa kupanua bara bara pale mtava na kuanzia uwanja wa ndege kwenda gongo la mboto kijana huyu analalamika kuwa gawio lake limechelewa na yeye ndiye aliyewekeza fedha nyingi ndani ya kampuni hii SKOL building contractor
Riz1 anajipa matumaini kwasababu ya wale Majaji 5 walioteuliwa na JK walikuwa wote pamoja kwenye kampuni ya kifisadi ya IMMA.Ni Jaji gani/nani aliepangiwa kusikiliza hio kesi?, Mimi mashaka yangu kwanini Ridhiwan amechelewa kufungua hii kesi??!!, kuna kitu/mipango imesukwa hapo katikati, i doubt. Ni lazima Dr Slaa aandae Mawakili mahiri katika hii kesi.
wasiliana na al shabaab
Bwana green guard kama hujui kitu tafathali usichangie, Kesi ya Defamation haina cha keko wala segerea, ni kulipa fidia.Slaa akapumzishwe tu Keko...tayari haka kazee kameshajichokea
riz1 atuambie km mke wake alistahili kupata 100% ya loan frm heslb while watoto wa walalahoi wamekosa na wamefaulu na kudahiliwa sasa sijui ada nani atawalipia,huyu mtoto fisadi,mbinafsi na alaaniwe.
Wakimweka Dr wa ukweli KEKO watoto wa maskini waliokosa mkopo wa chuo watamtoa kwa nguvu.
Kama hii serikali hajawahi kusikia machafuko wamweke Dr.Slaa ndani ndipo watajuwa Tz ikoje.
Tehe tehe akipumzishwa Keko Dr Slaa na Kikwete pale Magogoni itakuwa mwisho wake. Kwanza huyo JK anamwogopa Dr wa ukweli ndio maana kamwongezea ulinzi, kucheza na Dr Slaa unacheza na maisha ya wa TZ wote.
KUNA OPERESHENI SAFISHA JAMVI MWEZI HUU,MKUU ANGALIA USIJE UKALA PERMANENT SERVER BAN
Mbona aliisha wekwa ndani mkuu hamkufanya kitu, ya arusha umesahau mara hii ? usifanye mchezo na dola ! ukimwagiwa tu maji ya washa washa unakimbia mpaka uvunguni kwa mkeo
Dah hii mpya!!!
Asante kwa kunielewasawa hakimu Rejao!
Wamefanya makosa gani? hawaropoki hovyo!Ni kweli aisee!Lakini aende na MKAPA,KINGUNGE,SITTA,MANGULA,MWINYI,KINANA NA WEWE MWENYEWE
kakupumzikia? hebu tujuze...labda utakuwa na taarifa zaidiKeko siku hizi watu wanapumzika? Mbona sijamsikia JK akienda? Maana yeye anaongoza kwa kupumzika
Ndoto za mchana hizi...Labda TZ igeuke kuwa LibyaAlimwita JK fisadi, hakufikishwa mahakamani unafikiri wewe na huyu dogo mtapona?, kwanza CCM na serikali yake hawafiki 2015 wanaondoka madarkani na Dr Slaa anakuwa Rais. Kama huamini subiri.
Slaa kachoka zaidi ya hawa...kwanza ni mgonjwa..hivi ule mkono umepona?Rais King Cobra Sata, Zambia, ana miaka 74, Rais Wade, Senegal miaka 80 na ushee, Mugabe Zimbabwe 80 na ushee, Mutharika zaidi ya 60, Kibaki ana zaidi ya 70.
Kati ya hao na Slaa nani kazee? Acha chuki Mkuu.
Akishindwa kulipa je inakuwaje? Kumbuka ruzuku yote imeishia IgungaBwana green guard kama hujui kitu tafathali usichangie, Kesi ya Defamation haina cha keko wala segerea, ni kulipa fidia.
Kucheza na Dr. Slaa ni kucheza na maisha wa waTz woote - hilo ni siri iliyo bayana. Halafu huyu mtoto hamnazo kweli au niseme ni mwoga fulani vile mbona hakumshtaki Mchungaji? Si alimtishia naye pia?
Washitakiwa wengine ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya free media ltd, mhariri mtendaji wa Tanzania daima na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya pPintech ltd. Kesi imefunguliwa jalada namba 109, ilitajwa jumatatu wiki hii mbele ya msajili wa mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam Amir Msumi.
Ridhiwan pamoja na mambo mengine anataka washitakiwa hao kumlipa fidia ya shilingi bilioni 2, pia ameitaka mahakama kuwazuia wadaiwa hao na mawakala wao kutorudia tena kutangaza maneno ya KASHFA katika vyombo vya habari likiwemo gazeti la Tanzania daima. Kwake binafsi na BIASHARA ZAKE, na wamwombe radhi bila masharti yoyote.
Kesi imeahirishwa tena hadi disemba 12 mwaka huu. Kesi itaahirishwa mpaka 2015 halafu Dr. Slaa anatiwa ndani miaka kadhaa wameshausoma upepo wa 2015 kupitia Igunga