dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,401
- 15,980
Jana kamati kuu ya CCM,cc iliketi dodoma na Cha kushangaza Zaid leo asbh Dr slaa ameachiwa bila mashart magumu
Ila wale wengine kina mwabukusi na kijana mtukutu mpaluka mdude wao wameendelea kusota sero
Swali
Ndio tuseme kuwa kamati kuu ya CCM ndio mahakama yenyewe ,dpp,. Au ndio majaji wa kesi zote ngumu nchini
Lini nchi hi itafata utawala wa sheria kila kitu, vitu serious kbsa inafanywa kichamaa
Inafika mahali mkurugenzi analipwa milino 3 anakwenda kufunga bar wenye wafanyakazi 45 bila kujali adhari yoyote
Nao hii pia Hadi kamati kuu cc ndio wakubali ndipo biahara iachiwe
Samahani nimefurugwa Hadi nimeamua kuleta hbr zingine za ze cask
Ila wale wengine kina mwabukusi na kijana mtukutu mpaluka mdude wao wameendelea kusota sero
Swali
Ndio tuseme kuwa kamati kuu ya CCM ndio mahakama yenyewe ,dpp,. Au ndio majaji wa kesi zote ngumu nchini
Lini nchi hi itafata utawala wa sheria kila kitu, vitu serious kbsa inafanywa kichamaa
Inafika mahali mkurugenzi analipwa milino 3 anakwenda kufunga bar wenye wafanyakazi 45 bila kujali adhari yoyote
Nao hii pia Hadi kamati kuu cc ndio wakubali ndipo biahara iachiwe
Samahani nimefurugwa Hadi nimeamua kuleta hbr zingine za ze cask