Tympa
Member
- Mar 19, 2011
- 99
- 25
JAMII FORUMS HII HII. niliwahi kukutana na haya mambo.
by BONGOLALA
Mali za Riz1 zipo katika kampuni ya mafuta KOBIL na nyingine anamiliki malori ya mafuta kwa kupitia mpambe wake Davids Mosha hilo halina ubishi!!!
by Wakati
i dont remember Mtikila losing a battle in court, is this going to be his first loss?. I dont think so!
by Shark
Anamiliki kipande cha ardhi bagamoyo ambacho amekikodisha kwa watu wa tigo kwa $1,000.00 kwa mwezi,
the same charge to what tigo is paying for plot/land at masaki/namanga/mikocheni n.k.
by Maandamano
anajenga hotel ya kimataifa pale kibaha mailimoja,...ana petrol station ambayo ni imegharimu fedha nyingi za walipa kodi kuliko petrol station yoyote dsm..
by Takeurabu
sio hivyo tu ndugu yangu inasemekana pia hata yale magorofa yanayojengwa morogoro msamvu riz1 ana hisa! wafuatiliaji wa mambo wananena kuwa huwa anakwenda mara kwa mara ku-visit!.
by Wizzo
nasikia anahisa tanzanite one mererani
by reformer
Safi sana..naona dogo sasa kaamua kabisa kummaliza babake na chama chake.Hata ukishinda hiyo kesi mahakamani, hutashinda umma wa watanzania walio na hasira na ww kilaza uliyedisco UD mara 2 ila ukamailza kwa kubebwa.Hakuna asiyejua kwamba una trucks 150, vituo vya mafuta, hotels, nyumba kibao za kifahari, viwanja, magari ya kifahari...kwa kazi gani unayofanya.