TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

Mimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina 😭😭..


Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira , lakini leo Mungu amempenda zaidi.

😥
Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Whaat?!!!
 
Mimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina 😭😭..


Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira , lakini leo Mungu amempenda zaidi.

😥
Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Mungu wangu🥺🥺🥺🥺🥺😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Jamani jirani Valentina 😭😭
Mrembo wetu ehee tangulia mama. Sisi sote ni wa mavumbini, na mavumbini tutarudi.
pole nyingi pia kwa Hornet na TGP wote 😭
Valee wewe!! Tutakumiss sana mrembo wetu, ulikuwa na moyo wa kipekee sana. Umejawa upendo wa kweli sana. Ulinifunza kuachilia na kumsamehe mtu niliekuwa namchukia kupita neno lenyewe chuki🥹🥹

Dear Hornet kama Em…. Ana nguvu alog in awe anatype feedback hapa. Kama msiba upo Maghorofani au vp 😭😭😭
 
Mimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina 😭😭..


Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira , lakini leo Mungu amempenda zaidi.

😥
Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Oh Lord! Valley wangu jamani! Nimeishiwa na maneno.

Pumzika kwa amani my love, my heart is in pieces!
 
Back
Top Bottom