super thinker
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 370
- 109
Nimeonelea niwakumbushe wanajamii hususani jukwaa hili la MMU, mtu anapoomba ushauri tumshauri kweli kwa busara zote, tusianze mtupia matusi ama lugha za utani uloptiliza, kuna jukwaa la jokes nadhani lipo kwa minaajili hyo, humu mtu anataka ushauri wa kweli kwa yanayomsibu ila watu tumejisahau na kugeuza MMU kama forum ya Jokes na Matusi, tujitahidi....................kama huwezi, waweza pita tu na kuwaachia wa kushauri wafanye kazi yao.
Na unayeomba ushauri, uwe kweli ni mkasa realistic, either umetokea au waweza kutokea.
Ni hayo tu, naona tunaptiza sasa..
Na unayeomba ushauri, uwe kweli ni mkasa realistic, either umetokea au waweza kutokea.
Ni hayo tu, naona tunaptiza sasa..
Kwa vile kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kuhusu jukwaa kuvamiwa, mimi nafikiri kuwepo na sub forum ya Great Thinkers kama ilivyo kwenye siasa; kuwe na qualification katika kuchangia kule. Na maswala yanayoumiza kichwa tu ndiyo yajadiliwe huko.
Post kama 'napita tu' zisiwepo,
Uchakachuzi aina yoyote usiruhusiwe,
Matani/jokes ambazo hazijibu hoja zisiruhusiwe.
Nadhani hii itasaidia wenye real problem kupata misaada ya michango ya mawazo mizuri ili wafanye maamuzi yanayofaa. Mahusiano ni changamoto na itaendelea kuwa changamoto, trend iliyopo sasa hivi mchangiaji wa kwanza akijibu hovyo au kuweka mizaha, basi trend yote ya michango hubadilika na kuwa mizaha/utani au hata matusi.
Ninajua wengi wetu, mimi mmoja wapo ni wachakachuzi wazuri tu; lkn kukiwa na restriction huko (kwamba once umechakachua then unanyimwa access ya kupost huko) then heshima ya zamani (before my time) itarudi.
Au kama kuanzisha sub forum ni tatizo basi, jukwaa zima liangaliwe upya na rules ziangaliwe tena ili vitu visivyo serious vibakie chit chat!
Sijui kama nimejieleza vizuri, lakini hayo ni maoni yangu; you are welcome to contribute.