Reminder to all MMU

Reminder to all MMU

super thinker

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
370
Reaction score
109
Nimeonelea niwakumbushe wanajamii hususani jukwaa hili la MMU, mtu anapoomba ushauri tumshauri kweli kwa busara zote, tusianze mtupia matusi ama lugha za utani uloptiliza, kuna jukwaa la jokes nadhani lipo kwa minaajili hyo, humu mtu anataka ushauri wa kweli kwa yanayomsibu ila watu tumejisahau na kugeuza MMU kama forum ya Jokes na Matusi, tujitahidi....................kama huwezi, waweza pita tu na kuwaachia wa kushauri wafanye kazi yao.

Na unayeomba ushauri, uwe kweli ni mkasa realistic, either umetokea au waweza kutokea.

Ni hayo tu, naona tunaptiza sasa..

Kwa vile kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kuhusu jukwaa kuvamiwa, mimi nafikiri kuwepo na sub forum ya Great Thinkers kama ilivyo kwenye siasa; kuwe na qualification katika kuchangia kule. Na maswala yanayoumiza kichwa tu ndiyo yajadiliwe huko.

Post kama 'napita tu' zisiwepo,
Uchakachuzi aina yoyote usiruhusiwe,
Matani/jokes ambazo hazijibu hoja zisiruhusiwe.

Nadhani hii itasaidia wenye real problem kupata misaada ya michango ya mawazo mizuri ili wafanye maamuzi yanayofaa. Mahusiano ni changamoto na itaendelea kuwa changamoto, trend iliyopo sasa hivi mchangiaji wa kwanza akijibu hovyo au kuweka mizaha, basi trend yote ya michango hubadilika na kuwa mizaha/utani au hata matusi.

Ninajua wengi wetu, mimi mmoja wapo ni wachakachuzi wazuri tu; lkn kukiwa na restriction huko (kwamba once umechakachua then unanyimwa access ya kupost huko) then heshima ya zamani (before my time) itarudi.

Au kama kuanzisha sub forum ni tatizo basi, jukwaa zima liangaliwe upya na rules ziangaliwe tena ili vitu visivyo serious vibakie chit chat!

Sijui kama nimejieleza vizuri, lakini hayo ni maoni yangu; you are welcome to contribute.
 
Operesheni ya kichwa kwa maumivu ya kichwa.
Thanx 4 ushauri mheshimiwa.
 
Nimeonelea niwakumbushe wanajamii hususani jukwaa hili la MMU, mtu anapoomba ushauri tumshauri kweli kwa busara zote, tusianze mtupia matusi ama lugha za utani uloptiliza, kuna jukwaa la jokes nadhani lipo kwa minaajili hyo, humu mtu anataka ushauri wa kweli kwa yanayomsibu ila watu tumejisahau na kugeuza MMU kama forum ya Jokes na Matusi, tujitahidi....................kama huwezi, waweza pita tu na kuwaachia wa kushauri wafanye kazi yao.

Na unayeomba ushauri, uwe kweli ni mkasa realistic, either umetokea au waweza kutokea.

Ni hayo tu, naona tunaptiza sasa..

Gud tym to u

Wallah ntaongea na Invisible ampige chini Roulette akupe wewe na Paw kazi ya umodereta ili wanaoleta za kuleta wakaipate habari yao kwa babu Seya. BTW Roulette nadhani utakuwa umenielewa, nakuhitaji PM zaidi sasa unapokuwa mod, nakukosa sana kwenye chombeza PM kule. I hope hutanilamba Ban kama Meezy LOL

On serious note with a serious face, wanaoleta mada nao wawe serious. Wakileta misredi yao iliyokaa kiuchakachuzi, mie na timu yangu tunaingia kazini.

Natumaini wachakachuzi wakuu sweetlady, Preta, charminglady, Dena Amsi, cacico, Yummy, BADILI TABIA, Kongosho, Kaunga, AshaDii, Blue G, Cantalisia wakiongozwa na Erickb52, Mr Rocky, BAGAH, Kaizer, Rejao, Bishanga, KARIA, Judgement, King'asti na Mwali watapita hapa ili wajue uchakachuzi MMU hauruhusiwi.

Ukitaka uchakachuzi, karibu Chit Chat uonyeshe kipaji chako.
 
Last edited by a moderator:
Wallah ntaongea na Invisible ampige chini Roulette akupe wewe na Paw kazi ya umodereta ili wanaoleta za kuleta wakaipate habari yao kwa babu Seya. BTW Roulette nadhani utakuwa umenielewa, nakuhitaji PM zaidi sasa unapokuwa mod, nakukosa sana kwenye chombeza PM kule. I hope hutanilamba Ban kama Meezy LOL

On serious note with a serious face, wanaoleta mada nao wawe serious. Wakileta misredi yao iliyokaa kiuchakachuzi, mie na timu yangu tunaingia kazini.

Natumaini wachakachuzi wakuu sweetlady, Preta, charminglady, Dena Amsi, cacico, Yummy, BADILI TABIA, Kongosho, Kaunga, AshaDii, Blue G, Cantalisia wakiongozwa na Erickb52, Mr Rocky, BAGAH, Kaizer, Rejao, Bishanga, KARIA, Judgement, King'asti na Mwali watapita hapa ili wajue uchakachuzi MMU hauruhusiwi.

Ukitaka uchakachuzi, karibu Chit Chat uonyeshe kipaji chako.

Umesomeka mkuu, loud and clear!
 
Wallah ntaongea na Invisible ampige chini Roulette akupe wewe na Paw kazi ya umodereta ili wanaoleta za kuleta wakaipate habari yao kwa babu Seya. BTW Roulette nadhani utakuwa umenielewa, nakuhitaji PM zaidi sasa unapokuwa mod, nakukosa sana kwenye chombeza PM kule. I hope hutanilamba Ban kama Meezy LOL

On serious note with a serious face, wanaoleta mada nao wawe serious. Wakileta misredi yao iliyokaa kiuchakachuzi, mie na timu yangu tunaingia kazini.

Natumaini wachakachuzi wakuu sweetlady, Preta, charminglady, Dena Amsi, cacico, Yummy, BADILI TABIA, Kongosho, Kaunga, AshaDii, Blue G, Cantalisia wakiongozwa na Erickb52, Mr Rocky, BAGAH, Kaizer, Rejao, Bishanga, KARIA, Judgement, King'asti na Mwali watapita hapa ili wajue uchakachuzi MMU hauruhusiwi.

Ukitaka uchakachuzi, karibu Chit Chat uonyeshe kipaji chako.
asante ndugu mwenyekiti...
umesomeka...
 
Nimeonelea niwakumbushe wanajamii hususani jukwaa hili la MMU, mtu anapoomba ushauri tumshauri kweli kwa busara zote, tusianze mtupia matusi ama lugha za utani uloptiliza, kuna jukwaa la jokes nadhani lipo kwa minaajili hyo, humu mtu anataka ushauri wa kweli kwa yanayomsibu ila watu tumejisahau na kugeuza MMU kama forum ya Jokes na Matusi, tujitahidi....................kama huwezi, waweza pita tu na kuwaachia wa kushauri wafanye kazi yao.

Na unayeomba ushauri, uwe kweli ni mkasa realistic, either umetokea au waweza kutokea.

Ni hayo tu, naona tunaptiza sasa..

Gud tym to u

Veri veri true.. Nadhani tumezidisha sifa za kijinga. Tujiheshimu hata kama tumejificha kwenye keyboard.. Tunabomoa badala ya kujenga....
 
Hahahaaaaaaaaaaa Asprin, Dena Amsi, Kongosho & Kaunga

:focus: super thinker umeeleweka ila labda ungetia msisitizo pia kwa wale wanaoleta pumba wasitegemee kupata mahindi alaaah!!!!

Sasa mtu akileta sredi yake hapa anaomba ushauri afanyeje kwa kuwa mama yake anataka azae naye..... huku si kumchokoza tu ODM wa watu? Akifungua foto album yake atakuwa amefanya mbaya?
 
SIZANI KAMA KUNA MTU ANAPENDA BAN ILA KUNA WATU HUWEZI TOFAUTISHA NI MNYAMA AU BINADAMU KWA MAWAZO NA MICHANGO YAO UKITOA MADA ZA KISTAARABU SIDHANI KUNA TMU ATAKUJIBU VIBAYA TU PENDA USIPENDE MFANO HUU HAPA
https://www.jamiiforums.com/mahusia...anizalie-mtoto-kwa-mkataba-8.html#post4614509
ANASEMA YEYE NI TAJIRI NA AMEJITOSHELEZA ANA HELA AMEAJIRIWA ARUSHA NA BADO ANASOMA CHUO, HUYO MTOA MADA WE HUJAKASIRIKA KWELI? FUATILIA UTAONA WOTE WAMEMJIBU UJINGA KAMA ALIJIONA ANAYAEWEZA KWANINI ASIMALIZE ANATUPOSTIA HII KITU?????
 
Wallah ntaongea na Invisible ampige chini Roulette akupe wewe na Paw kazi ya umodereta ili wanaoleta za kuleta wakaipate habari yao kwa babu Seya. BTW Roulette nadhani utakuwa umenielewa, nakuhitaji PM zaidi sasa unapokuwa mod, nakukosa sana kwenye chombeza PM kule. I hope hutanilamba Ban kama Meezy LOL

On serious note with a serious face, wanaoleta mada nao wawe serious. Wakileta misredi yao iliyokaa kiuchakachuzi, mie na timu yangu tunaingia kazini.

Natumaini wachakachuzi wakuu sweetlady, Preta, charminglady, Dena Amsi, cacico, Yummy, BADILI TABIA, Kongosho, Kaunga, AshaDii, Blue G, Cantalisia wakiongozwa na Erickb52, Mr Rocky, BAGAH, Kaizer, Rejao, Bishanga, KARIA, Judgement, King'asti na Mwali watapita hapa ili wajue uchakachuzi MMU hauruhusiwi.

Ukitaka uchakachuzi, karibu Chit Chat uonyeshe kipaji chako.

hubby na mie nimo?

Ila mleta mada hata ukilalama kama mtu hajaleta thread serious ategemee majibu ambayo sio serious.... Kabla mtu hujaposti thread yako icheki vizuri, ukipost kitoto utajibiwa kitoto, ukipost kiutu uzima watakushauri kiutu uzima...... N lugha pia inachangia ukiandika lugha kama upo kariakoo shimoni tegemea majibu ya aina hiyo hiyo....
 
Last edited by a moderator:
Nimeonelea niwakumbushe wanajamii hususani jukwaa hili la MMU, mtu anapoomba ushauri tumshauri kweli kwa busara zote, tusianze mtupia matusi ama lugha za utani uloptiliza, kuna jukwaa la jokes nadhani lipo kwa minaajili hyo, humu mtu anataka ushauri wa kweli kwa yanayomsibu ila watu tumejisahau na kugeuza MMU kama forum ya Jokes na Matusi, tujitahidi....................kama huwezi, waweza pita tu na kuwaachia wa kushauri wafanye kazi yao.
Na unayeomba ushauri, uwe kweli ni mkasa realistic, either umetokea au waweza kutokea.

Ni hayo tu, naona tunaptiza sasa.. Gud tym to u

Unachosema ni kweli kabisa huku MMU kila mtu ni Mod yaani wanaweza kuiacha Mada wakaanza kukushambulia wewe uliyetoa ushauri au kuchangia, yaani bora hata jukwaa la siasa, wote tujirekebishe kwani kila jukwaa lina Sheria zake, na MMU haijaelezwa Thread itakayowekwa iwe na ukweli hata km ni ya kuchangiwa (Mashatrti hayo yapo katika Majukwaa ya Great Thinker, Siasa, International nk)
km haikuhusu ww pita lkn sio kukashifu mchangiaji au mtoa mada
 
hubby na mie nimo?

Ila mleta mada hata ukilalama kama mtu hajaleta thread serious ategemee majibu ambayo sio serious.... Kabla mtu hujaposti thread yako icheki vizuri, ukipost kitoto utajibiwa kitoto, ukipost kiutu uzima watakushauri kiutu uzima...... N lugha pia inachangia ukiandika lugha kama upo kariakoo shimoni tegemea majibu ya aina hiyo hiyo....
Umeona eeeeh
Kwa thread zilizo serious huwa naona hata wadau wanakuwa serious sana tu ila kuna nyingine lol wacha washambuliwe tu coz wanaleta utoto then eti sisi tuwe serious?
Inawezekana kweli BADILI TABIA ?
Sisi tunachangia kwa kufuata mtoa mada....akija kagonga ndofu 2 si tunagonga 3 then tunakanyaga mafuta...!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaaaaaaa Asprin, Dena Amsi, Kongosho & Kaunga

:focus: super thinker umeeleweka ila labda ungetia msisitizo pia kwa wale wanaoleta pumba wasitegemee kupata mahindi alaaah!!!!

Mtu mwenyewe hayupo serious, haiwezekani mtu mzima unadownload VIRUS 24/7 halafu watu wasipost tuvirusi hata budogo budogo as we say in kiha!
 
Kwa vile kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kuhusu jukwaa kuvamiwa, mimi nafikiri kuwepo na sub forum ya Great Thinkers kama ilivyo kwenye siasa; kuwe na qualification katika kuchangia kule. Na maswala yanayoumiza kichwa tu ndiyo yajadiliwe huko.

Post kama 'napita tu' zisiwepo,
Uchakachuzi aina yoyote usiruhusiwe,
Matani/jokes ambazo hazijibu hoja zisiruhusiwe.

Nadhani hii itasaidia wenye real problem kupata misaada ya michango ya mawazo mizuri ili wafanye maamuzi yanayofaa. Mahusiano ni changamoto na itaendelea kuwa changamoto, trend iliyopo sasa hivi mchangiaji wa kwanza akijibu hovyo au kuweka mizaha, basi trend yote ya michango hubadilika na kuwa mizaha/utani au hata matusi.

Ninajua wengi wetu, mimi mmoja wapo ni wachakachuzi wazuri tu; lkn kukiwa na restriction huko (kwamba once umechakachua then unanyimwa access ya kupost huko) then heshima ya zamani (before my time) itarudi.

Au kama kuanzisha sub forum ni tatizo basi, jukwaa zima liangaliwe upya na rules ziangaliwe tena ili vitu visivyo serious vibakie chit chat!

Sijui kama nimejieleza vizuri, lakini hayo ni maoni yangu; you are welcome to contribute.
 
Ni kweli Kaunga naona kama kumekuwa na mizaha mingi na wakati mwingine kupoteza kabisa dhima na maana nzima ya mijadala. Kwanza binafsi labda niseme matatizo yako kotekote..yaani kwenye thread na pia kwenye posts zinazofuatia. Kiufupi tujifunze namna ya kuleta mada na ikibidi mleta mada anapotupia uzi wake basi ajitahidi kuwepo ili kufuatilia mada yake. Unakuta mtu anatupia thread ambayo inataka mrejesho kisha anasepa..sasa uchangiaji unakuwa mgumu kiasi ambacho inabidi uchakachuzi upewe nafasi. Kiufupi 'threads' nyingi ni kama 'taarifa' yaani hazifikirishi na saa zingine mtu unashindwa kuelewa mantiki ya mletaji

Kingine kwa sisi wachangiaji hebu tuwe focused na mada na kama ni 'chit chat' zihamie jukwaa lake na hapa MMU pabaki kwa ajili ya mijadala ambayo ni 'constructive'. Kama alivyosema Kaunga posts kama 'napita tu'. 'ngoja waje', 'mmmmmh' n.k naona nazo tungezipunguza ili kama mtu unaona huna cha kuchangia basi waache wennye michango wachangie. Wewe ubaki msomaji tu.

Uboreshaji unaweza kuwa wa kuwa na 'sub forum' kama kule kwenye siasa ambako wana kale ka 'great thinker's forum' ambamo ukiingia basi mtu inabidi umwage mapwenti. Kama vipi pia mods wanaweza kuboresha 'moderation' kwa kuongeza 'rules' ambazo zitazuia uchakachuaji wa threads.

Ni hayo tu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom