REKODI: Jezi mpya za Yanga zaidi ya Milioni 1 zanunuliwa ndani ya masaa 6 tangu zilipozinduliwa

Lk sio kuleta mamluki kama haji,, kadi yake simba bado anayo mjue,, mfano leo hii kweli tajiri anuniwi mo amlete maulid kitenge pale simba si tutamnunia siku hiyo hiyo japo tajiri anuniwi, na kitenge ni mtangazaji tu hajawahi kuajiriwa na yanga official, ije kuwa kwa manara simba kindaki ndaki

Sawa umeumia?
 
Jezi mpya ya mikia

Screenshot_20210826-124745_Instagram.jpg
 
Lk sio kuleta mamluki kama haji,, kadi yake simba bado anayo mjue,, mfano leo hii kweli tajiri anuniwi mo amlete maulid kitenge pale simba si tutamnunia siku hiyo hiyo japo tajiri anuniwi, na kitenge ni mtangazaji tu hajawahi kuajiriwa na yanga official, ije kuwa kwa manara simba kindaki ndaki
Manara ana DNA za Yanga wewee
 
Habari za hivi punde ni kwamba jezi mpya zaidi ya Milioni 1 za klabu ya Yanga zimenunuliwa ndani ya masaa 6 tu tangu kuzinduliwa kwake.

Eng. Hersi amethibitisha rekodi hii iliyowekwa na timu ya wananchi na kushangazwa na mapokeo makubwa ya jezi hizo mpya.

Jezi hizo zinauzwa Tshs. 28,000/= kwa bei ya jumla na Tshs. 35,000/= kwa bei ya rejareja.

Hii ndio maana halisi ya timu ya wananchi, wawekezaji ni wananchi.
Hivi kwa akili yako wanachi wangeambiwa waamue kuhusu manara kuja yanga wangekubali? popote pale mwenye hela ndio anaamua
 
Akija Msukule wa Mwamedi, Okwi Boban Sunzu atapinga
Ni faida kwa GSM, sisi mashabiki raha yetu ni matokeo bora uwanjani zaidi ya hapo hakuna, hatulipwi mshahara wala hatupati chochote kwenye club zaidi ya kutaka furaha ambayo hupatikana uwanjani
 
Lk sio kuleta mamluki kama haji,, kadi yake simba bado anayo mjue,, mfano leo hii kweli tajiri anuniwi mo amlete maulid kitenge pale simba si tutamnunia siku hiyo hiyo japo tajiri anuniwi, na kitenge ni mtangazaji tu hajawahi kuajiriwa na yanga official, ije kuwa kwa manara simba kindaki ndaki
We ulikuwa unamjua Manara kabla ajawa msemaji wa Simba?!umejuaje kama alikuwa Simba hapo kabla?!

Baba ake mzazi mzee Sunday Manara alishasema Haji ni kijana wetu wa Yanga na tumemlea wenyewe wewe unapingana na baba ake mzazi?!
 
Back
Top Bottom