dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 5,851
- 14,517
Sawa afandeKwa sasa tuko bize na hamza wa salenda aliyetuulia polisi wetu utopolo mtuache kidogo na hizo takwimu zenu za kunjunga
Sawa afandeKwa sasa tuko bize na hamza wa salenda aliyetuulia polisi wetu utopolo mtuache kidogo na hizo takwimu zenu za kunjunga
We hate Vibwengo FCWe love you haters...
Sawa mwananchi,una akili mingi...We hate Vibwengo FC
GSM ka decrease dau tena, maana msimu uliopita yeye alichukua 33,500 iliyobaki akarusha juuZiuzwe tu...
Jezi 35000 yanga inapata 1300 kwa kila tshirt
Lk sio kuleta mamluki kama haji,, kadi yake simba bado anayo mjue,, mfano leo hii kweli tajiri anuniwi mo amlete maulid kitenge pale simba si tutamnunia siku hiyo hiyo japo tajiri anuniwi, na kitenge ni mtangazaji tu hajawahi kuajiriwa na yanga official, ije kuwa kwa manara simba kindaki ndaki
Halafu yule dogo ni shabiki wa Simba.Kwa sasa tuko bize na hamza wa salenda aliyetuulia polisi wetu utopolo mtuache kidogo na hizo takwimu zenu za kunjunga
Mi sijaumia ila najua nyie mmeumia yule jamaa kuja kwenuSawa umeumia?
Uafande niutoe wapi mkuu mie dalaliSawa afande
Manara ana DNA za Yanga weweeLk sio kuleta mamluki kama haji,, kadi yake simba bado anayo mjue,, mfano leo hii kweli tajiri anuniwi mo amlete maulid kitenge pale simba si tutamnunia siku hiyo hiyo japo tajiri anuniwi, na kitenge ni mtangazaji tu hajawahi kuajiriwa na yanga official, ije kuwa kwa manara simba kindaki ndaki
Ndiyo akili za zeruzeru mkalia tako moja zilipoishia hapa.
Ndiyo akili za zeruzeru mkalia tako moja zilipoishia hapa.
Hivi kwa akili yako wanachi wangeambiwa waamue kuhusu manara kuja yanga wangekubali? popote pale mwenye hela ndio anaamuaHabari za hivi punde ni kwamba jezi mpya zaidi ya Milioni 1 za klabu ya Yanga zimenunuliwa ndani ya masaa 6 tu tangu kuzinduliwa kwake.
Eng. Hersi amethibitisha rekodi hii iliyowekwa na timu ya wananchi na kushangazwa na mapokeo makubwa ya jezi hizo mpya.
Jezi hizo zinauzwa Tshs. 28,000/= kwa bei ya jumla na Tshs. 35,000/= kwa bei ya rejareja.
Hii ndio maana halisi ya timu ya wananchi, wawekezaji ni wananchi.
Ni faida kwa GSM, sisi mashabiki raha yetu ni matokeo bora uwanjani zaidi ya hapo hakuna, hatulipwi mshahara wala hatupati chochote kwenye club zaidi ya kutaka furaha ambayo hupatikana uwanjaniAkija Msukule wa Mwamedi, Okwi Boban Sunzu atapinga
Sio Yanga,sema gsm anabeba.Zaidi ya Bilion kadhaa hapa yanga inabeba.
We ulikuwa unamjua Manara kabla ajawa msemaji wa Simba?!umejuaje kama alikuwa Simba hapo kabla?!Lk sio kuleta mamluki kama haji,, kadi yake simba bado anayo mjue,, mfano leo hii kweli tajiri anuniwi mo amlete maulid kitenge pale simba si tutamnunia siku hiyo hiyo japo tajiri anuniwi, na kitenge ni mtangazaji tu hajawahi kuajiriwa na yanga official, ije kuwa kwa manara simba kindaki ndaki
Sawa kolo tumekuskia je hili unalzungumziajeSio Yanga,sema gsm anabeba.