Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Wameonyesha tena kuwa wao ndio wenye fan base kubwa kuliko timu yoyote hapa Bongo land kwa kuongoza kuuza jezi kuliko timu yoyote hapa Bongo.
Kumbuka msimu uliopita pamoja na wananchi kumaliza vibaya bila ubingwa ila ni timu iliyoingiza mashabiki wengi uwanjani kuliko timu nyingine so kwa vigezo hivi vianaifanya Yanga kuwa ni timu yenye watu wengi, wanajua nini maana ya soka....kwa kushabikia....
Je nini maana ya kuuza jezi mara tano zaidi ......? Mfano ni maana yake ni kwenye list hii:
Klabu tano zilizouza jezi zaidi
1. YANGA
2. YANGA
3.YANGA
4.YANGA
5. YANGA
6: Hapa ndipo zinaanzia timu nyingine mfano Coastal, Mbeya City, Mtibwa, Kagera na wengine
Source: Yanga news Manara
Wameonyesha tena kuwa wao ndio wenye fan base kubwa kuliko timu yoyote hapa Bongo land kwa kuongoza kuuza jezi kuliko timu yoyote hapa Bongo.
Kumbuka msimu uliopita pamoja na wananchi kumaliza vibaya bila ubingwa ila ni timu iliyoingiza mashabiki wengi uwanjani kuliko timu nyingine so kwa vigezo hivi vianaifanya Yanga kuwa ni timu yenye watu wengi, wanajua nini maana ya soka....kwa kushabikia....
Je nini maana ya kuuza jezi mara tano zaidi ......? Mfano ni maana yake ni kwenye list hii:
Klabu tano zilizouza jezi zaidi
1. YANGA
2. YANGA
3.YANGA
4.YANGA
5. YANGA
6: Hapa ndipo zinaanzia timu nyingine mfano Coastal, Mbeya City, Mtibwa, Kagera na wengine
Source: Yanga news Manara