aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 8,083
- 22,711
Uwe mtu mzima Sasa na wewe mkuu 🤣nzalendo
Ukishaondoka duniani haurudi tena mkuu utabakia kwenye kizuizi kaburini mpaka siku ya kufufuliwa kwaajili ya kulipwa wema kwa wema na ubaya kwa ubaya, najua ni mtu mzima sasa, punguza haya matumaini na ujiandae na mauti yako.
Ukitenda mabaya na ukafa hiyo imeisha, habari za kusema Kuna siku eti utatolewa kabulini ulipwe Kwa uliyotenda hizo ni hadithi tu.
Malipo ni hapa hapa Duniani, ukifa haujapata malipo Yako basi imeisha hiyo