Reincarnation...nazidi kupata uhakika binadamu hatufi

Reincarnation...nazidi kupata uhakika binadamu hatufi

Dhana ya Ukifa hauendi popote ni uongo kwasababu hakuta kuwa na 'wewe' wa kwenda popote. Kama ambavyo hakukuwa na 'wewe' kabla hujazaliwa..ndivo itakavokuwa utakapokufa.

Na hii ni kwasababu hakuna kitu kinaitwa 'wewe'

Kila kitu unachomaanisha usemapo 'mimi' hakipo.
Mbona unakataa halafu unakubali
Unasema kuwa dhana ya ukifa hauendi popote ni uongo, halafu tena maelezo yako yanaonesha unakubali kuwa ukifa hauendi popote, maana yake unapotea mazima
 
Naam hili jambo nilikuwa nalichukulia poa...lakini baada ya kuamua kufuatilia kidogo naanza kupata uthibitisho pasi kuwa na shaka juu ya mzunguko wa maisha ya viumbe sisi bin adamu.

Kwa kifupi sana tafiti ni nyingi lakini......nilipata kuishi nyanda za juu kusini mwa Tanzania nikiwa kijana mdogo miaka mingi sana iliyopita.

Nilikuwa nina rafiki yangu Mbulushi...rafiki yangu huyu kwa bahati mbaya alifariki.

Siku ya siku sina hili wala lile nikiwa katika nchi ya mbali sana nikakutana na kijana mmoja amefanana na yule rafiki yangu kwa zaidi ya asilimia 90%...nikabaki namshangaa...kitu cha ajabu na yeye kama alikuwa ananishangaa...nikamuuliza ulishawahi kuishi.

Tanzania...akasema hapana hata Neno Tanzania ndio leo analisikia.
Ajabu zaidi anasisitiza kwamba ananifahamu lakini hakumbuki ni wapi tulisha wahi kuonana
Mahali ambapo nilipata mshituko niliona alama katika mkono wake wa kulia sawasawa na yule rafiki yangu,,,(alama hii naikumbuka kwa sababu alianguka na baiskeli akachanika na kushonwa katika hospitali ya Aga khan)....sasa huyu jamaa anasema hiyo alama amezaliwa nayo hivyohivyo.

Nikijaribu kumuuliza yeye asili yake ni wapi anasema ni Afganistan na hana ndugu wala jamaa Afrika.

Kwa kifupi sana 1.Sauti yake 2.Ongea yake 3.Namna anavyotembea ni yule marehemu kabisa kabisa.

Yule Marehemu leo angekuwa na miaka kama 70 hivi na huyu niliyekutana nae yuko kwenye miaka ya 30 katikati.
Soma kuhusu Qareen (karina) katika Uislam, utapata jibu la wazi kabisa.
 
Mbona chai😄😄.
Marehemu kafa na miaka mingapi.
Na wew Sasa hivi una miaka mingapi?
Hauwezi kuzaliwa mara ya pili na wazazi TOFAUTI.HAIPO NA HAITAKUJA KUWEPO
 
Naam hili jambo nilikuwa nalichukulia poa...lakini baada ya kuamua kufuatilia kidogo naanza kupata uthibitisho pasi kuwa na shaka juu ya mzunguko wa maisha ya viumbe sisi bin adamu.

Kwa kifupi sana tafiti ni nyingi lakini......nilipata kuishi nyanda za juu kusini mwa Tanzania nikiwa kijana mdogo miaka mingi sana iliyopita.

Nilikuwa nina rafiki yangu Mbulushi...rafiki yangu huyu kwa bahati mbaya alifariki.

Siku ya siku sina hili wala lile nikiwa katika nchi ya mbali sana nikakutana na kijana mmoja amefanana na yule rafiki yangu kwa zaidi ya asilimia 90%...nikabaki namshangaa...kitu cha ajabu na yeye kama alikuwa ananishangaa...nikamuuliza ulishawahi kuishi.

Tanzania...akasema hapana hata Neno Tanzania ndio leo analisikia.
Ajabu zaidi anasisitiza kwamba ananifahamu lakini hakumbuki ni wapi tulisha wahi kuonana
Mahali ambapo nilipata mshituko niliona alama katika mkono wake wa kulia sawasawa na yule rafiki yangu,,,(alama hii naikumbuka kwa sababu alianguka na baiskeli akachanika na kushonwa katika hospitali ya Aga khan)....sasa huyu jamaa anasema hiyo alama amezaliwa nayo hivyohivyo.

Nikijaribu kumuuliza yeye asili yake ni wapi anasema ni Afganistan na hana ndugu wala jamaa Afrika.

Kwa kifupi sana 1.Sauti yake 2.Ongea yake 3.Namna anavyotembea ni yule marehemu kabisa kabisa.

Yule Marehemu leo angekuwa na miaka kama 70 hivi na huyu niliyekutana nae yuko kwenye miaka ya 30 katikati.
Chai
 
Sio tu haufi, au sio tu kwamba utazaliwa tena na tena, unaweza ukafa na ukabaki hapa hapa, isipokuwa mazingira yanabadilishwa kidogo tu wanakuweka kwenye ulimwengu unaofanana na ule uliokuwamo awali.

Kwanza hutajua kama umekufa, utaendelea tu huku wao wanakuchekaaaa!

Hii ni kwa wachache sana.
Hao watakaotucheka maisha yao hayabadilki?
 
Naam hili jambo nilikuwa nalichukulia poa...lakini baada ya kuamua kufuatilia kidogo naanza kupata uthibitisho pasi kuwa na shaka juu ya mzunguko wa maisha ya viumbe sisi bin adamu.

Kwa kifupi sana tafiti ni nyingi lakini......nilipata kuishi nyanda za juu kusini mwa Tanzania nikiwa kijana mdogo miaka mingi sana iliyopita.

Nilikuwa nina rafiki yangu Mbulushi...rafiki yangu huyu kwa bahati mbaya alifariki.

Siku ya siku sina hili wala lile nikiwa katika nchi ya mbali sana nikakutana na kijana mmoja amefanana na yule rafiki yangu kwa zaidi ya asilimia 90%...nikabaki namshangaa...kitu cha ajabu na yeye kama alikuwa ananishangaa...nikamuuliza ulishawahi kuishi.

Tanzania...akasema hapana hata Neno Tanzania ndio leo analisikia.
Ajabu zaidi anasisitiza kwamba ananifahamu lakini hakumbuki ni wapi tulisha wahi kuonana
Mahali ambapo nilipata mshituko niliona alama katika mkono wake wa kulia sawasawa na yule rafiki yangu,,,(alama hii naikumbuka kwa sababu alianguka na baiskeli akachanika na kushonwa katika hospitali ya Aga khan)....sasa huyu jamaa anasema hiyo alama amezaliwa nayo hivyohivyo.

Nikijaribu kumuuliza yeye asili yake ni wapi anasema ni Afganistan na hana ndugu wala jamaa Afrika.

Kwa kifupi sana 1.Sauti yake 2.Ongea yake 3.Namna anavyotembea ni yule marehemu kabisa kabisa.

Yule Marehemu leo angekuwa na miaka kama 70 hivi na huyu niliyekutana nae yuko kwenye miaka ya 30 katikati.
Kuna mambo huwa hayaelezeki katika kutumia au kufikiri kwa akili hii ya kawaida mtu aliyenayo

Kama unayo mawasiliano yako ni vizuri mkawa mnawasiliana. Leo la mawasiliano hayo ni wewe kufanya tafiti ya kichwa hicho cha habari hapo juu na kuja na conclusion yako. Kila jambo huanza na wazo
 
Kama unaishi, unakufa, unaenda kuzaliwa sehemu nyingine, ukiwa haujui kama umewahi kuishi.. Basi tuna kufa.

Either uzaliwe tena, au usizaliwe kwa vyovyote vile umekufa tu. Sijui kama mmenielewa.
Yes uko sahihi, kile kitendo cha kufukiwa futi sita chini, au kuchomwa moto mpaka uwe majivu maana yake umekufa tayari😄😄😄
Labda watuambie sasa hiyo roho sijui nafsi inaenda wapi lakini suala la kufa liko palepale
 
Kuna m-cameroon nilikutana nae, akasema kwao huwa wanaamini mtoto anaezaliwa baada ya mtu kufariki ktk familia anakuwa amechukua roho ya mtu yule aliyefariki. So kabla ya kuzika wanauwekea alama ule mwili na mtoto akizaliwa na ile alama sehemu ileile basi wanaamini yule mtu amerudi.
Wengine wanasema ile hali ya kufika mahali ukahisi kwamba ulishawahi kufika(dejavu) maana yake uliwahi kuishi hapo kwenye previous life. Your soul has been there before.
 
Huwezi ukajua maana ya MUNGU ni mengi. Ni jambo linafkrisha pia, hv vip kama kweli mtu unapofariki kumbe unazaliwa nchi nyingne na tayal umepoteza kumbukumbu yoyote, yaan upo kama mtu aliyepata ajali kichwa kikaathirika kwa kupoteza data yoyote, hapo hata mama ako humkumbuki tena, in short hukumbuki chochote hata jina lako hulijui na hujui wew ni nan! Inafkrisha sana, huenda hata mm niliwah kuish kabla sijafa huko na kuzaliwa tena bongo! Mm sijui
Nafkiri ni kama inawezekana kuna ukweli Fulani kuna nyakati Fulani unajikuta unaenda sehemu au unaona sehemu katika TV halafu unajikuta kama Ile sehemu unaifahamu yaani sio sehemu ngeni kabisa machoni pako
 
Ulishawahi kuota ndoto ambayo hukujua kama ni ndoto hadi ulipoamka? Kama ukibaki kwenye ile ndoto kwa muda mrefu, je huu ulimwengu wa sasa hauwi ndio ndoto ?😂.
Anyways physics, quantum physics, quantum entanglement na baadhi ya theories kama Ralativity havijawacha wanascience na majibu zaidi ya kuwaongezea maswali mengi zaidi
 
Back
Top Bottom