Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 5,895
- 11,788
Kwani nani amesema haufi? Hapa mleta mada anamaanisha baada ya kifo, kwamba kuna uwezekano mtu akazaliwa kwenye mwili mwingineAliyetueleza ametuumba kwa utaratibu huu na huu, na sayansi imethibitisha ndio yeye ametueleza tukifa tunaenda wapi, na uhalisia ni shahidi mzuri, umeona mtu amekwepa kifo?! hata uwe Buddha wa nyota 70 siku ikifika unaenda na maji kirahisi sana, so na wewe ukiuza simu punguza kujipa matumaini jiandae na mauti yako.
Hakuna tofauti na wanaoamini kuhusu motoni na peponi
Pia unaposema nijiandae na umauti, actually mimi sijiandai na kifo chochote kile, ninaishi kawaida kivyangu mpaka umauti utakaponikuta wenyewe. Kwa nini nijiandae na sijui nakufa lini?