hakuna anayepinga kuwa aliibuliwa na Redio tumaini lakini redio one zaidi na zaidi kuliko wasikilizaji aliokuwa nao tumainiAliibuliwa na Redio Tumaini sio Radio one just to put records corrected
ndoo maana tunasema redio one imemfanya afahamike zaidi kwani ina wasikilizaji wengi kuliko TumainiNyie huyu mmeanza kumsikiliza leo nini.? Regina mwalekwa alianzia kutangaza radio tumani, na wakina tom chilala. Hao radio one walimchukua toka radio tumaini, na amesave radio tumaini kwa kirefu kuliko vituo vyote hivyo vilivyobaki.
Kama Ni Kweli Basi BBC Wamepata Jembe Kwani Dada Huyo Ana Karibia Sifa Zote Kuu Na Muhimu Za Mtangazaji Na Mwandishi Wa Habari. Sina Shaka Nae Na Hata Rekodi Yake Ni Nzuri. Binafsi Namtakia Kila La Kheri Huko Uingereza Aendako. Sifa Ziende Kwa Redio One Waliomwibua Kisha Clouds FM Kwa Kumtengeneza Na Kumsafishia Njia Ya Mafanikio. Hongera Na Heko Zako Dada Regie....................!
Nimekuwa nikijiuliza nini kinafanya Mtangazaji Bora kabisa kama huyu asipae kimataifa? Nadhani sasa swali langu limepata jibu. Namkubali zaidi ya sana, hasa katika kukuza lugha ya kiswahili na matumizi fasaha ya lugha hiyo....
Kaitangaze Tanzania Mama, Kaikuze Lugha yetu adhimu ya Kiswahili Kimataifa....Kila la heri
then they beg you.First they ignore you,
Then they laugh at you,
Then they fight you,
Then you WIN
MUNGU akuongeze dada