Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,121
- 4,788
Ni kweli mkuu, nadhani wanaodhani REDIO ONE ndiyo ilinayopaswa kushukuriwa watakuwa wanakosea sana. Nakumbuka sana enzi zile yuko na Wakina Rozi Mdami, Tom Chilala na yule Padri Mfaransa (Mzee wa kipindi cha Kahawa au Chai) ambaye aliondoka nchini....si mchezo aisee.....
Yule padri alikuwa ananifurahisha sana, Radio tumaini mpaka leo bado wanatumia vocal yake katika vipindi vyao.
"Kahawa au chai.?, siku njema " Hapa na pale, my best kipindi..