Regina Mwalekwa wa Clouds FM alamba shavu BBC!

Regina Mwalekwa wa Clouds FM alamba shavu BBC!

Ni mtangazaji mahiri, anaongea kwa ufasaha sana na madaha makubwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili... na huko anakoenda, BBC idhaa ya Kiswahili ndipo atang'aa zaidi. Bravo Regina, Bravo Radio One, Bravo BBC...hapo katikati alikuwa kapotea njia tu....
 
Hakuna ndumba ila bidii yake na maombi Mungu kajibu. Blesse be the name Of the Lord
 
Kama Ni Kweli Basi BBC Wamepata Jembe Kwani Dada Huyo Ana Karibia Sifa Zote Kuu Na Muhimu Za Mtangazaji Na Mwandishi Wa Habari. Sina Shaka Nae Na Hata Rekodi Yake Ni Nzuri. Binafsi Namtakia Kila La Kheri Huko Uingereza Aendako. Sifa Ziende Kwa Redio One Waliomwibua Kisha Clouds FM Kwa Kumtengeneza Na Kumsafishia Njia Ya Mafanikio. Hongera Na Heko Zako Dada Regie....................!

Aliibuliwa Redio Tumaini kaka kisha hizo redio nyingine
 
Dada mchapakazi sana yaani kumi na moja kashaamkia kazini hyo ni mpaka jioni daah angalau BBC wamemchukua.
 
Mambo mazuri hayaitaji haraka

Hongera dada kweli ni furaha sana najua utatuwakilisha vema
 
Kama Ni Kweli Basi BBC Wamepata Jembe Kwani Dada Huyo Ana Karibia Sifa Zote Kuu Na Muhimu Za Mtangazaji Na Mwandishi Wa Habari. Sina Shaka Nae Na Hata Rekodi Yake Ni Nzuri. Binafsi Namtakia Kila La Kheri Huko Uingereza Aendako. Sifa Ziende Kwa Redio One Waliomwibua Kisha Clouds FM Kwa Kumtengeneza Na Kumsafishia Njia Ya Mafanikio. Hongera Na Heko Zako Dada Regie....................!

Huyo alianzia Radio Tumaini,then ndo akahamia ktk hivyo vituo vengine ulivyovitaja..
 
Hii ni baraka kwa BBC.hatutegemei kuletewa habari ya madudu ya jinsia moja
 
Nilimkubali huyu dada tangu alipokuwa Radio Tumaini, Mungu ambariki.
 
Asanteni BBC LONDON kwa kumchukua REGINA MWALEKWA aje kufanya kazi nanyi...

Ameaga rasmi famila ya hapa nyumbani kupitia PowerBreakfast.
she was waaay better than clouds... radio ya yosso
 
Kwa level yake hakupaswa kutoka radio one na kwenda radio mawingu, huko alukoenda ndio hasa alitakiwa aende tangu mwanzao, Hongera Regina wape hi Kikeke na Charls
 
Lakini radio tumaini haikumpaisha kama radio one, radio one ndio ilimtangaza regina akajulikana hata na watu nje ya Dar, nakumbuka kipindi cha lugha ya kisahili alichokuwa akikiendesha radio one, kilimpa umaarufu sana


Regina alifanya kazi

kwa muda mrefu redio tumaini kabla ya kwenda radio one
 
Hongera zake. Amemuacha Onne Sigara peke yake kwa hisani ya NBC
 
Hii ni baraka kwa BBC.hatutegemei kuletewa habari ya madudu ya jinsia moja

HIVI kumbe kilele cha mafanikio ya mwanahabari wa huko Tanzania ni kufanya kazi BBC?
Naona watu wengi wanatoa pongezi au hamjui bado ataendelea kua msukule wa kutumikishwa na wazungu?
Ulizeni wanaoishi UK wakwambieni hao BBC wanavyotuchukulia sisi waafrika.
wapo ktk kupromote kua AFRIKA ni bara la njaa,umaskini,vita,maradhi,rushwa,viongozi Wasiofaa.
Kama kuna mtu anabisha alete ushahidi hapa lini BBC ilikuja na documentary ya 'how to solve ecomic,politics,social crisis in Africa.
Tuache kujipendekeza kwa wazungu.
 
Nchi hii kifaa ni Gaston Msingwa.BBC wabebe jembe hilo.Nasikia hata watangazaji wenzake pale TBC huwa wanamuonea wivu ndiyo maana hawaki awe makao makuu, eti atawafunika.

Mimi taarifa ya habari ya TBC huwa naangali kwa ajili yake tu.
Nashangaa kwa watangazaji wengine hawaigi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom