Huyo dada alikua anajiita rc computer aisee namkubali sana na aliwahi kusimulia stori ya Karen na Jons yaani niliburudika sana. Sijui kwa sasa yuko wapi huyu mama?
Enzi za Rose Chitallah na Flora Nducha!
Huyo dada alikua anajiita rc computer aisee namkubali sana na aliwahi kusimulia stori ya Karen na Jons yaani niliburudika sana. Sijui kwa sasa yuko wapi huyu mama?
Bourgeoisie Mwalekwa hajawahi kufanya kazi rfa utakuwa umechanganya na radio tumaini. Alipotokq tumaini alihamiq radio uhuru akafanya kazi na akina abubakar liongo na masoud masoud kisha ndio akahamia radio one then clouds