Regina Mwalekwa wa Clouds FM alamba shavu BBC!

Regina Mwalekwa wa Clouds FM alamba shavu BBC!

hongera mno...clauz walikuwa wanaua kipaji chako.
 
Kwanini asingeenda TBC Fm maana Clouds hawana tofauti na TBCCCM!!

Huko BBC sijui kama atapaweza,..
 
Kama Ni Kweli Basi BBC Wamepata Jembe Kwani Dada Huyo Ana Karibia Sifa Zote Kuu Na Muhimu Za Mtangazaji Na Mwandishi Wa Habari. Sina Shaka Nae Na Hata Rekodi Yake Ni Nzuri. Binafsi Namtakia Kila La Kheri Huko Uingereza Aendako. Sifa Ziende Kwa Redio One Waliomwibua Kisha Clouds FM Kwa Kumtengeneza Na Kumsafishia Njia Ya Mafanikio. Hongera Na Heko Zako Dada Regie....................!
Kama sikosei (I stand to be corrected) alipitia Radio Tumaini kabla ya kwenda Radio One...Amekaa sana Radio Tumaini ambako alijijengea sifa ambayo ilipelekea Radio One wakamuona...
 
huyu mama anakubalika sana pia aishukuru sana radio one ndiyo iliyomtoa huko clouds alikuwa amepotea kabisa shimoni

Nyie huyu mmeanza kumsikiliza leo nini.? Regina mwalekwa alianzia kutangaza radio tumani, na wakina tom chilala. Hao radio one walimchukua toka radio tumaini, na amesave radio tumaini kwa kirefu kuliko vituo vyote hivyo vilivyobaki.
 
Bora ameachana na redio ambayo imejaa makanjanja na vishoka. Nilianza kumdharau na yeye wakati ni mchapakazi!!!!!!
Ni kweli...amesoma alama za nyakati. Kule alikuwa hafiti kabisa, katikati ya vijana wavaa milegezo kule alionekana kama aliyepitwa na wakati kumbe bado dunia inamuhitaji
 
Kama wamemchukuwa huyu dada anatakiwa amshukuru sana mwavile wa radio one
Yeye ndio alikuza kipaji cha mwalekwa kabla clouds hawajatia fitina na kumchukuwa!

Anatakiwa kumshukuru Mungu wake, hao wengine walikuwa ni moja ya njia ili neno litimie.

huyu mama anakubalika sana pia aishukuru sana radio one ndiyo iliyomtoa huko clouds alikuwa amepotea kabisa shimoni

Anatakiwa kumshukuru Mungu pekee kwa kufanikisha hilo, kama Mungu amepanga radio yoyote ingejitokeza.

Hongera nawajuwa yeye na mumewe ni watu wenye Hofu ya Mungu na wapo imara kwenye Sala

Thanks kwa kutukumbusha ni yeye pekee anayeweza kufanikisha pasipo sisi kufikiri, Mungu amzidishie dada wa watu.
 
Nani kasema Regina hatokei clouds? Kibonde panamtosha hapohapo...bbc patampwaya
Kwa kiwango cha elimu na uelewa wake ngoja tusubiri labda BBC wakianzisha redio ya Udaku itamfaa...
 
Mara ya Kwanza kumsikia Mawingu nikajua labda ameshuka kiwango, Mawingu uliwazidi sana ilibidi upunguze baadhi ya vitu ili uendane nao.!!
 
Nyie huyu mmeanza kumsikiliza leo nini.? Regina mwalekwa alianzia kutangaza radio tumani, na wakina tom chilala. Hao radio one walimchukua toka radio tumaini, na amesave radio tumaini kwa kirefu kuliko vituo vyote hivyo vilivyobaki.
Ni kweli mkuu, nadhani wanaodhani REDIO ONE ndiyo ilinayopaswa kushukuriwa watakuwa wanakosea sana. Nakumbuka sana enzi zile yuko na Wakina Rozi Mdami, Tom Chilala na yule Padri Mfaransa (Mzee wa kipindi cha Kahawa au Chai) ambaye aliondoka nchini....si mchezo aisee.....
 
Eti alipofika wakampa kipindi cha Jahazi hapo akapoteana kabisa wakamtoa kisiasa...

hahaaa wakaja mtoa wakamweka taarifa ya habari then power break saturday morning...yan angebakigi radio one angepaa sana japo maslah ni zero.
 
Sikujua kama alikuwa hii redio kwa maana sina kumbukumbu niliisikiliza lini mara ya mwisho! Hongera zake na jitahidi kuitendea haki Tanzania huko ughaibuni utupunguzie aibu ya madawa ya kulevya na 'ukondoo'!
 
Kama sikosei (I stand to be corrected) alipitia Radio Tumaini kabla ya kwenda Radio One...Amekaa sana Radio Tumaini ambako alijijengea sifa ambayo ilipelekea Radio One wakamuona...
Ni kweli kabisa mkuu....
 
Kama Ni Kweli Basi BBC Wamepata Jembe Kwani Dada Huyo Ana Karibia Sifa Zote Kuu Na Muhimu Za Mtangazaji Na Mwandishi Wa Habari. Sina Shaka Nae Na Hata Rekodi Yake Ni Nzuri. Binafsi Namtakia Kila La Kheri Huko Uingereza Aendako. Sifa Ziende Kwa Redio One Waliomwibua Kisha Clouds FM Kwa Kumtengeneza Na Kumsafishia Njia Ya Mafanikio. Hongera Na Heko Zako Dada Regie....................!

Aliibuliwa na Redio Tumaini sio Radio one just to put records corrected
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom