na tabasamu lake lile
Natamani kuona picha ya huyu mama kwenye ujana wake. Najiuliza kama yuko hivi kwa umri wake, je ujanani alikuwaje?..sipati picha. Miss chagga nadhani unaweza kuwa nayo kwenye archive yako uturushie tufaidishe macho.
Nililitegemea hili..kumbe mkemia! Halafu huyu mama hana makuu kama akina Salma. Huwa ana keep low profile tofauti na wanawake wengine wengi inapotokea waume zao wako vizuri kiuchumi.Mm alinifundisha form 2 mwaka 1985 ilboru sec.alikuwa anafundisha chemistry. .si unajua mautundu ya form..alikuwa ni bomba mbaya acha kabisa..tulikuwa tukimwona anakuja kuingia class. .hiyo miguno..ilikuwa ni hatari...EL alikuwa anamleta na gari asbh anamrudia jioni..ilikuwa noma mkuu!
Kuna mengine mengi zaidi ya kujifunza kutoka kwake zaidi ya hayo na nitajaribu kuongelea machache.Mke wa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Ndugu Edward Lowassa ni wa kupigiwa makofi ya pongezi. Yuko na mumewe bega kwa bega. Hamwachi. Ametoka naye huku;akaenda naye kule. Hongera sana Regina Lowassa. Wanamama wa Tanzania mpatecha kujifunza toka kwake.
Ndoa ina mambo yake!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
naitafuta nikiipata nitawekaNatamani kuona picha ya huyu mama kwenye ujana wake. Najiuliza kama yuko hivi kwa umri wake, je ujanani alikuwaje?..sipati picha. Miss chagga nadhani unaweza kuwa nayo kwenye archive yako uturushie tufaidishe macho.
Katika wanawake wanaoongoza kunyanyasika duniani na mfumo dume ni wanawake wa Kimasai.Mwanamke wa kimasai hana sauti kwa mumewe yaani acha tu.Ni wa kuburuzwa tu hana hiari.Uliza mwanamke yeyote wa kimasai akwambie.Huyo mama naomba tu mumuache kama ni mateso aliyopata yanamtosha msimwongezee mengine.Nawaombeni tafadhali.Na naomba nimpe pole ya dhati kwa yote mama Regina LOWASA.Amwachie tu mwenyezi Mungu.
naitafuta nikiipata nitaweka
Watanzania kwa unafiki hatujambo tunamsifia mtu wakati huwa tunamuona kwenye tv hata hatujui tabia zake.