Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Mbunge wa viti maalum Chadema Mh Regina Mtema amefariki dunia katika ajali ya gari
eneo la Ruvu darajani, watu wengine 7 wamejeruhiwa.
Source Radio One

RIP
 
Innallaah wa inna Ilayhi Rajiun...
Dah! basi kwa siku ya leo napumzika JF...
Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi.
 
Dah inauma sana ni vigumu kuamini jamaIni.Pumnzika kwa amani Regia
 
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.

Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.

Habari hizi zimethibitishwa.

Ooh my God,nimemwona kwa macho yangu asubuhi ya leo akitoka kwenye geti la nyumba yake akiwa anaendesha gari lake kumbe ndio nilikuwa namuona kwa mara ya mwisho,dah RIP REGIA,so sadd!!
 
Pole mno kwa wazazi na ndugu zake. Pole sana kwa familia ya Jamii forum. Pole sana kwa wana Chadema wote. Pole kwa wapenda maendeleo wa nchi hii na wachukia mafisadi. Pole sana kwa kila aliyeguswa na msiba huu kwa jinsi yoyote ile. Pole Tanzania, pole Afrika na poleni sana.
 
Ewe MUNGU msamehe makosa yake yote,mjaalie pumziko la AMANI kamanda wetu,najua umetangulia tu,sisi tupo nyuma yako.
 
Wote tunaelekea huko ila hiki kifo cha mtema ni pigo kubwa sana kwa chadema.. Pliz mkuu fuatilia na utujuze zaidi about it. 0766 32 32 72
 
Inna Lillah Waina Illahi Rajoon
Sisi ni wa Mwenyezi Mungu nasi Kwake sote tutarejea.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
jamani wandg wapi mahali mipango ya mazishi inafanyika kwa watu wa dar???????????????????????????????tunataka kuhudhuria
 
ni vigumu kuamini dah!!
R.I.P dada Regia.
 
Ooh my God,nimemwona kwa macho yangu asubuhi ya leo akitoka kwenye geti la nyumba yake akiwa anaendesha gari lake kumbe ndio nilikuwa namuona kwa mara ya mwisho,dah RIP REGIA,so sadd!!

wapi apo kwake mkuu tunataka kufika msibani plzzzzzzzzzzzzzz tupe directions
 
From my self imposed ban, I have received with shock at the passing away of a budding, young and energetic politician, Regia Mtema.
I admired the confidence and determination that made her stand out among many young and up coming poliicians from the opposition spectrum.

She won many a hearts.

May I express my condolences to many, who are at present in grief, and may I also stand out to wish the Almight make her eternal rest be peaceful.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina Lake lihimidiwe.

AMEN
 
Inasikitisha sana! Mwenye details za jinsi ajali ilivyotokea, pls!
 
Sawa. Kazi ya Mungu haina makosa, lakini kwa nini awe REGIA na kwa wakati huu?

Sad news, R.I.P. Mpiganaji.
 
RIP mpendwa regia......ni bora wafe wabunge 10 wa CCM kuliko mmoja wa chadema
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom