trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
Mimi nimepokea habari hizi kwa mshtuko mkubwa maana wiki iliyopita nilichat naye kwenye facebook... Vipi na hali ya dereva wake?
Hakuzaliwa nao lakini alipata ajali wakati wa michezo ya utotoni. Kutokana na huduma kuchelewa kutolewa ndio maana akapata ulemavu.
Mimi nimepokea habari hizi kwa mshtuko mkubwa maana wiki iliyopita nilichat naye kwenye facebook... Vipi na hali ya dereva wake?