Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
TUWE MAKINI SANA NCHI HII MAANA WANAHARAKATI WANAKWISHA SIKU HADI SIKU NA WIMBI LA AJALI NDO LINALOWATEKETEZA ZAIDI,NAKUMBUKA WABUNGE NA MAWAZIRI KIBAO WENYE NIA NZURI NA MAENDELEO YA NCHI YETU. mungu awasamehe zambi zao lakini mbia wanaozua majanga kama hayo kwa nguvu za giza wajue adhabu yao ipo... POLENI SANA NDUGU,JAMAA NA MARAFIKI WA MAREHEMU... "MUNGU AILAZE PEMA ROHO YA MAREHEMU... AMINA"
 
....Mungu wangu, machozi yananitiririka hapa nilipo. Regia, Regia jamani siamini jamani kifo hichi!!! Eeee Mungu Baba mpe pumziko la milele dada yetu. Bwana alitoa na Bwana ametoa jina la bwana lihimidiwe.
 
It is with deep sorrow that Regia Mtema has died before accomplishing her mission. My condolences to all members
of her family and everyone who has been touched with this loss. We will remember you forever. R.I.P
 
MUNGU ailaze pema peponi nakulilia kwa kukufahamu hapa JF sijawahi kuona sura yako zaidi ya kukuona kwenye Luninga ukipigania nchi yako ,Naamini Umetangulia kwa mema MUNGU AIWEKE ROHO YAKO PEMA PEPONI
 
Rest in Eternal Peace Regia. my condolences to her family members.
 
wezi na mafisadi hawafi, wema na watiifu wanafariki! Ooh God
 
Hakika ni huzuni kubwa tumeanza safari ya kutoka Tumbi kuelekea muhumbili.ipo picha ya mwili wake kwenye face book acc yangu.
 
Nimestushwa sana.
Natoa pole kwa wana JF, familia ya marehemu, WanaChadema na WaTz wote.
Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi, ameen.
 
Nakumbuka last tyme nilikutana nae ktk haruc ya john mrema she was happy! Ooh! Sister upumzike kwa amani!
 
Rip our beloved sister. We loved you but god loved you more. Amen
 
Ni kweli,
Regia hayupo tena,
Regia mpendwa,
bado sijaamini,
sijui nisemeje,
Regia...
Upumzike kwa amani,
natamani kurudisha muda iwe jana lakini ni mapenzi ya Mungu kututenganisha mpendwa wangu.
Pumzika mama
 
Dah! Ni habari za mstuko mkubwa kwetu sote Wana-JF kwani alikuwa mchangiaji mkubwa kutupa habari za harakati za CHADEMA kumkomboa mwananchi kutoka kwa wale wasiowatakia maisha bora Watanzania.

Pia nawapa pole ndugu wa Mh. Mbunge Regia Mtema na kuwa tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu.

Mwenyenzi Mungu amlamze pema peponi mpiganaji Mh. Regia Mtema, Amen.
 
Haitafaa labda nduguye... No no no., euuuuwi mi .,... No si kweli.., sijui
 
Nimechanganyikiwa hapa nilipo. Bora wangeondoka 100 wa kile chama kuliko yeye
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom