IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
We will meet you in our Next life, R.I.P
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.
Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.
Habari hizi zimethibitishwa.
Mungi we acha tu, hali ni ngumu watu mioyoni tumefadhaika sana ila kwa kuwa ni maamuzi ya Mungu hayana appeal!!!!
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.
Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.
Habari hizi zimethibitishwa.
kero ulizopewa jamvini hapa majuzi tafadhali sana regia zifikishe mbinguni