Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.

Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.

Habari hizi zimethibitishwa.
May Allah rest her soul in eternal peace
 
Nimesikia Kupitia clouds fm sasa hivi mh. Mchungaji msigwa amethibitisha kifo na sasa anakwenda hospital ya tumbi kibaha ili kuona mwili wa marehemu
 
Ni kweli nimecomfirm na katibu mwenezi wa CHADEMA ndugu John Mnyika sasa hivi, ni pigo kwa chama na nchi kwa ujumla
 
just too soon Preta
it is hard to accept
RIP my dear Friend
Poleni sana JF Members
kwa kweli imeniuma sana, lakini ndo hivyo tena. RIP REGIA, that is all we can say for now
 
NI PIGO KWA WANAWAKE WOTE WA TANZANIA, NAMAANISHA. Kwa kumuenzi WANAWAKE WOTE wakiongozwa na spika wafanye kitu MAALUM kumuenzi mbunge huyu. Hii ilikuwa taa ya wanawake Tanzania nadhani spika ajae angefaa kuwa Regia. Ushupavu na bidii zake ni tunu kwa wanawake wa tanzania.PROMISE MY DAUGHETER ATAKAYEFUATA HAKI YA MUNGU NTAMWITA REGIA.
 
sorry mkuu naomba kuuliza.! Huu ulemavu alizaliwa nao au ulisababishwa na ajari.?
Hakuzaliwa nao lakini alipata ajali wakati wa michezo ya utotoni. Kutokana na huduma kuchelewa kutolewa ndio maana akapata ulemavu.
 
Poleni sana wana JF kwa kuwa alikuwa member mwenzetu..........

Lakini zaidi kwa wana CHADEMA, Mvomero na Tanzania kwa ujumla kwa kuwa tumepoteza mmoja kati ya watu muhimu kwa taifa.....

Niliposikia for the first time it was a shock and i did not believe but i had to believe..

Rest in Peace Regia
 
Daaaah!
Ngumu mnooo kumeza asee!


Bwana ametoa, bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.


RIP dada mpendwa!
 
I AM SPEECHLESS...SINA LA KUSEMA ...

raha ya milele umpe eeh Bwana....apumzike kwa Amani Amen.....

Raha ya milele umpe Regia EE BWANA APUMZIKE KWA AMANI..AMEN...

......BABA YETU......

...SALAM MARIA......

....MOYO MTAKATIFU WA YESU....

......TUNAKIMBILIA...

....EEH BWANA UMPOKEE MTUMISHI WAKO REGIA MTEMA ..ULIYEAMUA KUMUITA LEO HII ....UKAPATE KUMSAMEHE DHAMBI ZAKE ..ILI LEO HII AKAE MKONO WAKO WA KUUME PAMOJA NA MWANAO YESU KRISTO NA MALAIKA ..KWENYE KARAMU YAKO YA MILELE ...HUKU MALAIKA NA MAKERUBI WAKIIMBA ...NA KUSHANGILIA..

UWASAMEHE DHAMBI ZAO NA MAREHEMU WOTE WALIO TOHARANI ....ILI WOTE WAIONE PEPO YAKO......

TUNAOMBA HAYO YOTE KWA NJIA YA KRISTO BWANA WETU....AMEEN!!!
 
Wakuu huu uzi umezidiwa kweli Dada Regia alikuwa mtu wa watu.There are currently 1093 users browsing this thread. (249 members and 844 guests)
 
TUNAOMBA MUONGOZO WA INVISIBLE ..INAPOTOKEA MEMBER KAMA HUYU KATUTOKA HASA WALE AMBAO WAMEAMUA KUWA MSTARI WA MBELE KWA KUWEKA MAJINA YAO DHAHIRI.....BASI KWENYE HOME PAGE TUKIFUNGUA TUONE PICHA YAKE KWA SIKU ZITAKAZOKUBALIKA...NA BENDERA YA JF..ambayo ina nembo ya JF ..IONESHWE IKIPEPEA NUSU MLINGOTI..

NAOMBA KUTOA HOJA!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom