Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Matokeo ya utafiti yanatoa muongozo wa nani anaweza kushinda, na hayo yanaweza kubaki hivyo endapo upepo utabaki kuwa kama ulivyokuwa wakati utafiti unafanyika.Ikumbukwe kuwa katika ulingo wa siasa muda ni kitu muhimu sana kwani ndani ya wiki moja upepo wa siasa unaweza kutoa ishara tofauti na mwanzo.
Hebu tujikumbushe yaliyotokea wakti ule George Bush alipopambana na John Kerry wa Democratic huko Marekani.Mtakumbuka John Kerry aliendelea kuongoza tangu mwanzo wa kampeni hadi wiki ya mwisho ya kampeni.Lakini mambo yalibadilika zikiwa zimebaki siku saba kupiga kura pale ulipofanyika mdahalo wa mwisho, ambapo John nkerry aliulizwa swali moja la msingi kuhusu msimamo wake juu ya NDOA ZA JINSIA MOJA.
John kerry alijibu kuwa ndoa za jinsia moja ni uhuru na haki ya mwanadamu kuamua.Ikumbukwe kwamba John Kerry ni mkristu Mkatoliki kanisa ambalo linapinga kwa nguvu zote ndoa za jinsia moja. Kwa upande wake George W.Bush alipoona mwenzake kachemsha alipinga huku kionyeshwa kukerwa sana na swali liele kwa maaana kwamba halikupaswa kuulizwa kwani HAIKUBALIKI katika dini ya kikristu na kumbuka Bush ni muumini wa madhehebu ya Mashahidi wa yehova nayo yanapinga.
Baada ya majibu hayo John KERRY upepo ulimwendea vibaya kuliko kawaida yake kwani wakatoliki wote walimhama kwa kuwadhalilisha kukubali kuota uhuru wa watu kuamua badala ya kuzuia kwa nguvu zote.
NA HAPO KERRY ALIANGUKA NA KUMUACHA BUSH AKIPETA.
Ninachotaka kusema kwa upande wa Tanzania ni kwamba, kura za utafiti zilizotolewa kwa mfululizo kwa makampuni mawili tofauti, REDET NA SYNOVATE ndani ya masaa 72, haziwezi kutushawishi moja kwa moja kuwa JK ndiyo atakuwa mshindi, la hasha hizi zinawakilisha muda Fulani tu, zinaweza kubadilika kuendana na kampeni zinavyobadilisha upepo na pia wapiga kura kuendelea kuelimika kwa kusikiliza sera.
Mazingira ya kura hizi pia yanaonyesha kupikwa kwa mtindo wa PROPAGANDA ILI KUWAKATISHA TAMAA WAPIGA KURA.
Tukumbuke JK nimtaalam wa PROPAGANDA na kwamba kaisomea anajua fika namna ya kutumia na ndiyo maana yawezekana matokeao HAYA YAMEMSAIDIA KUMUINUA kwa kiwango Fulani.Lakini baada ya muda watu watasahau.
NINI KIFANYIKE
Wadau/chadema waendelee kuwaelimisha wapiga kura na kuyakataa kwa nguvu zote matokeo kwa kutumia PROPAGANDA PIA, maana dawa ya moto ni moto.Kwa kufuatilia kwangu nimendua matokea hayana IMPACT kwa wapiga kura ila faida ya haya matokeo kwa JK ni kwamba sasa anao uwanja uliobarikiwa kumuwezesha kuiba kura kwani atajitetea hata tifiti zimeonyesha ndiyo maana kafanya tafiti zaidi ya mbili ili kutoa uwanja mpana wa kujitetea.CHADEMA wajizatiti kuimarisha ulinzi wa kura na kuziba mianya yote .YOTE YANAWEZEKANA KWA KUMTUMAINI MUNGU
Hebu tujikumbushe yaliyotokea wakti ule George Bush alipopambana na John Kerry wa Democratic huko Marekani.Mtakumbuka John Kerry aliendelea kuongoza tangu mwanzo wa kampeni hadi wiki ya mwisho ya kampeni.Lakini mambo yalibadilika zikiwa zimebaki siku saba kupiga kura pale ulipofanyika mdahalo wa mwisho, ambapo John nkerry aliulizwa swali moja la msingi kuhusu msimamo wake juu ya NDOA ZA JINSIA MOJA.
John kerry alijibu kuwa ndoa za jinsia moja ni uhuru na haki ya mwanadamu kuamua.Ikumbukwe kwamba John Kerry ni mkristu Mkatoliki kanisa ambalo linapinga kwa nguvu zote ndoa za jinsia moja. Kwa upande wake George W.Bush alipoona mwenzake kachemsha alipinga huku kionyeshwa kukerwa sana na swali liele kwa maaana kwamba halikupaswa kuulizwa kwani HAIKUBALIKI katika dini ya kikristu na kumbuka Bush ni muumini wa madhehebu ya Mashahidi wa yehova nayo yanapinga.
Baada ya majibu hayo John KERRY upepo ulimwendea vibaya kuliko kawaida yake kwani wakatoliki wote walimhama kwa kuwadhalilisha kukubali kuota uhuru wa watu kuamua badala ya kuzuia kwa nguvu zote.
NA HAPO KERRY ALIANGUKA NA KUMUACHA BUSH AKIPETA.
Ninachotaka kusema kwa upande wa Tanzania ni kwamba, kura za utafiti zilizotolewa kwa mfululizo kwa makampuni mawili tofauti, REDET NA SYNOVATE ndani ya masaa 72, haziwezi kutushawishi moja kwa moja kuwa JK ndiyo atakuwa mshindi, la hasha hizi zinawakilisha muda Fulani tu, zinaweza kubadilika kuendana na kampeni zinavyobadilisha upepo na pia wapiga kura kuendelea kuelimika kwa kusikiliza sera.
Mazingira ya kura hizi pia yanaonyesha kupikwa kwa mtindo wa PROPAGANDA ILI KUWAKATISHA TAMAA WAPIGA KURA.
Tukumbuke JK nimtaalam wa PROPAGANDA na kwamba kaisomea anajua fika namna ya kutumia na ndiyo maana yawezekana matokeao HAYA YAMEMSAIDIA KUMUINUA kwa kiwango Fulani.Lakini baada ya muda watu watasahau.
NINI KIFANYIKE
Wadau/chadema waendelee kuwaelimisha wapiga kura na kuyakataa kwa nguvu zote matokeo kwa kutumia PROPAGANDA PIA, maana dawa ya moto ni moto.Kwa kufuatilia kwangu nimendua matokea hayana IMPACT kwa wapiga kura ila faida ya haya matokeo kwa JK ni kwamba sasa anao uwanja uliobarikiwa kumuwezesha kuiba kura kwani atajitetea hata tifiti zimeonyesha ndiyo maana kafanya tafiti zaidi ya mbili ili kutoa uwanja mpana wa kujitetea.CHADEMA wajizatiti kuimarisha ulinzi wa kura na kuziba mianya yote .YOTE YANAWEZEKANA KWA KUMTUMAINI MUNGU