Nyakijooga
Senior Member
- Dec 9, 2018
- 123
- 202
Muda mchache baada ya Wakili wa Dk. Slaa Dickson Matata kutoa taarifa kuhusu mteja wake kupewa dhamana, Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii amesema kuwa akiwa na viongozi wengine wa dini na kisiasa wanatarajia kutoa kauli ya pamoja wakiwa nyumbani kwa Dk. Slaa.
"Sisi Askofu tunaelekea Mbweni, nyumbani kwa Dkt. Slaa muda huu. Tutakuwa na Mheshimiwa James Mbatia pamoja na viongozi wengine wakiwemo viongozi wa dini. Tutatoa kauli ya pamoja mchana huu tukiwa mahali pale." ameeleza Wakili huyo
Ikumbukwe Taarifa liyoripotiwa na kituo cha runinga cha Azam Tv ni kuwa Wakili wa Dk. Slaa, Dickson Matata amethibitisha kuachiwa kwa mteja wake leo Agosti 18, 2023.
"Sisi Askofu tunaelekea Mbweni, nyumbani kwa Dkt. Slaa muda huu. Tutakuwa na Mheshimiwa James Mbatia pamoja na viongozi wengine wakiwemo viongozi wa dini. Tutatoa kauli ya pamoja mchana huu tukiwa mahali pale." ameeleza Wakili huyo
Ikumbukwe Taarifa liyoripotiwa na kituo cha runinga cha Azam Tv ni kuwa Wakili wa Dk. Slaa, Dickson Matata amethibitisha kuachiwa kwa mteja wake leo Agosti 18, 2023.