Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,866
Wabongo bana nimewavulia kofia.. hizi tafiti uchwara zinashikiwa bango kana kwamba ni kijito cha maji jangwani. Kweli uono wa typical mbongo unaeza kweli hauzidi pua yake.
Hamjapata urais mnatutukana wabongo namna hivi, sasa je tukiwapa si mtakunya katika vichwa vyetu.
Jamani hawa wenzetu bado wanahitaji muda, maana ni wachanga, tena wachanga kweli kweli.
Mmmm ninamashaka na hawa wenzetu!!!!!