ujinga ni kuchechemea unapokanyaga kinyesi kana kwamba kina mwiba!!
ujinga ni kuwa shabiki wa timu za ulaya za ulaya utazani huna hisa au wanakujua katika timu hizo. ujinga ni kuogopa kifo wakati kifo ni sure event.
Ujinga ni kujamb ukiwa pekeako na kuhama sehem hyo eti pananuka.
ujinga ni kuzima taa wakati wa kufanya m.a-p.e-n.z-i ili usimuone mwenzako
Ujinga ni kumsafisha EL ukifikiri atapata mashiko kwa wanachi
ni ujinga kulala na mwanamke hoteli halafu unaibiwa na huyo mwanamke kisha unazingizia wenye hoteli