Re: Ujinga

Re: Ujinga

Ujinga ni kurudisha kadi ya CCM na kuhamia vyama vya msimu
 
Ujinga ni kutaka kuacha ubunge eti posho haitoshi.
Ujinga ni kwa student kumpiga mzinga mzazi hela ya kununulia ganja!
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Ujinga ni kusema Necta wamenifelisha kumbe ulikuwa husomi.
 
ujinga ni kupanda kwenye daladala usimame then ulipe nauli sawa na waliokalia siti kutoka posta mbagala
 
Ujinga ni kumshangilia S' Etoo kweye runinga
 
ujinga ni kuendesha gari automatic alafu wewe unaegesha mkono kwenye gear kama vile unataka kuchange gear.
Ujinga ni kununua gari kumbe pesa auna muda wa jioni ukiwa unarudi home unapakia abiria noha
ujinga ni mwanamke kukojoa uku kasimama
 
ujinga ni kumtishia daktari nyau.wakati wewe huwezi hata kumdunga mgonjwa sindano
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Ujinga ni kwenda msibani ukiwa na simu ya kichina huku umeweka wimbo msumalii huooo..
 
Ujinga ni ku2mia arrow kwny computer kumfukuza mdudu alie kwenye screen ya computer

Hapo kwenye bold, unanikumbusha avatar ya Yo Yo ilivyonipa taabu nilipoiona mara ya mwanzo! Sikutumia arrow ya mouse ila kidole changu kufukuza mdudu kwenye screen!
 
Ni ujinga kumtongoza mke wa mtu wakati wasichana/wanawake ambao hawajaolewa wapo na unawajua,
 
Back
Top Bottom