Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,991
mamlaka ya RC ni undefined kama Magavana....
Hata ukimshitaki anashinda.
Angetumua sheria za kiutumishi hata kuwashusha vyeo inge make sense...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ukimshitaki anashinda.
Angetumua sheria za kiutumishi hata kuwashusha vyeo inge make sense...
Natamani wakitoka ndani, wamfungulie mashtaka. Haiwezekani kutesana kwa tukio lolote kisa tu ana mamlaka makubwa!
Sent using Jamii Forums mobile app